Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,742
- 3,224
Wanataka msiambizane na kusambaza taarifa za Tundu Lissu na unajua mzee alisema Airtel ni ya CCM na vodacon wana hisa huko.wakubwa kuna jambo la ajabu sijaelewa ukitumia line ya Vodacom kutuma ujumbe mfupi wa maandishi wenye maneno Tundu Lissu meseji haiendi.
hii maana yake nini?
Saiv wamesanuka wakarekebishaView attachment 1610358
Kwenye Lissu weka Antipas Mughwai au "TL the fearless"
Mambo yaendelee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Magufuli inaendaView attachment 1610239
Umeongea na MUNGU?CCM baada ya miaka 59 ya uhuru wa Tanganyika ndiyo imefika mwisho wa safari yake. Mungu ameikataa, wananchi hawaitaki na hata Ibilisi mwenyewe amekaa mbali nayo. Isipokuwa wamebaki wanafiki wachache ambao bado wanajishebedua tu kutoka na kutaka kulinda maslahi yao binafsi.View attachment 1610217
Fool!Huo ni uzushi na upumbavu wa kiwango cha lami! Unataka kutuaminisha nini? , hakuna na hakiwezi kutokea kitu kama hicho! Bado kuna watu mmejaa ujinga sana humu!.
Jaribisha mkuu,usibishe bila kujaribuHuo ni uzushi na upumbavu wa kiwango cha lami! Unataka kutuaminisha nini? , hakuna na hakiwezi kutokea kitu kama hicho! Bado kuna watu mmejaa ujinga sana humu!.
Kwani kujaribisha inachukua dakika ngapi?Hakuna kitu kama hicho!
Ndio nami nimejaribu zinagoma kisa nini sasWadau nini kimetokea?
Ukijaribu tuma ujumbe mfupi wenye maneno Tundu Lissu au John Magufuli hauendi ila jumbe nyingine zinaenda....
Jaribu kwa Airtel, Vodacom
View attachment 1610197
Mkuu jaribu kwanza ndo ufoke. Haziendi. Hoja upingwa hoja mbadalaUsifikili wote wajinga humu kama ninyi! Kuna uthibitisho gani message haziend?,, Kam mtu hana salio! Msitake kulazimisha propaganda za kijinga!