Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza ubishi usio na lazimaUsifikili wote wajinga humu kama ninyi! Kuna uthibitisho gani message haziend?,, Kam mtu hana salio! Msitake kulazimisha propaganda za kijinga!
UkiandikaMagufuli inaendaView attachment 1610239
Kuzuia hakumaanishi wamezuia ujumbe kufikaKama wamezuia kote Haina shida
Kikate hicho kichwa chako,halina faida hata kwa wazazi wako,unabisha kwa kitu kilicho wazi,hayo siyo mapenzi ya chama,nizaidi ya uendawazimu.Hakuna kitu kama hicho!
John naye amefanya jina lake pia lisiwezekane kutumwa a GOOD ACTORWadau nini kimetokea?
Ukijaribu tuma ujumbe mfupi wenye maneno Tundu Lissu au John Magufuli hauendi ila jumbe nyingine zinaenda....
Jaribu kwa Airtel, Vodacom
View attachment 1610197
Ukiandika Antipas linaendaMagufuli inaendaView attachment 1610239
Kuzuia hakumaanishi wamezuia ujumbe kufikaKama wamezuia kote Haina shida
Huo ni uzushi na upumbavu wa kiwango cha lami! Unataka kutuaminisha nini? , hakuna na hakiwezi kutokea kitu kama hicho! Bado kuna watu mmejaa ujinga sana humu!.
Sasa mtu kakwanbia jaribu na ww sio unamtukana ndugu. Yeye kashafanya ndo imetokea ivyo.Huo ni uzushi na upumbavu wa kiwango cha lami! Unataka kutuaminisha nini? , hakuna na hakiwezi kutokea kitu kama hicho! Bado kuna watu mmejaa ujinga sana humu!.
Sasa wewe na mtoa mada Nani mjinga,,,wee ndo mjinga usibishe tu hio kitu Ni kweli chukua simu yako jaribuHuo ni uzushi na upumbavu wa kiwango cha lami! Unataka kutuaminisha nini? , hakuna na hakiwezi kutokea kitu kama hicho! Bado kuna watu mmejaa ujinga sana humu!.
Sasa we umeamua kubisha tu au. Karibu uone ndo uje ukatae. Mbona simple tu? Mijitu mingine bwanaHuo ni uzushi na upumbavu wa kiwango cha lami! Unataka kutuaminisha nini? , hakuna na hakiwezi kutokea kitu kama hicho! Bado kuna watu mmejaa ujinga sana humu!.
Nadhani kwa busara ungejaribu kuandika ndio uje ukoment. Wote tuliposkia haya tumeprove na kuona ni kweliHuo ni uzushi na upumbavu wa kiwango cha lami! Unataka kutuaminisha nini? , hakuna na hakiwezi kutokea kitu kama hicho! Bado kuna watu mmejaa ujinga sana humu!.
Andika John Pombe Magufuli uone Kama itaenda.Magufuli inaendaView attachment 1610239
Wewe ndiye mpumbavu!Huo ni uzushi na upumbavu wa kiwango cha lami! Unataka kutuaminisha nini? , hakuna na hakiwezi kutokea kitu kama hicho! Bado kuna watu mmejaa ujinga sana humu!.