Mitandao ya kijamii inaweza fanya mtu ukawa na msongo wa mawazo.

Mitandao ya kijamii inaweza fanya mtu ukawa na msongo wa mawazo.

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
Wakati nawaza mshahara upaongezeka kidogo japo ufike laki 9 au milini 1, nakutana na post mtu anasema ukiwa na mshahara wa milion 1.5 hutoboi, πŸ™ŒπŸ™Œ

Wakati naitafita miaka 35, sojawahi miliki gari chombo cha moto, kuna jamaa anasema kaagiza gari yake ya kwanza akiwa na miaka 22.

Kuna jamaa anasema akiweza 2 mil mfukoni akienda out harudi na kitu. EehπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ.

Naomba niondoke kwenye mitandao ya kijamii kwa miezi mitatu nitafakari maisha yangu.

Nitarudi siku tisini kama nikipata jibu.

See you later rich people on social media,
 
Wakati nawaza mshahara upaongezeka kidogo japo ufike laki 9 au milini 1, nakutana na post mtu anasema ukiwa na mshahara wa milion 1.5 hutoboi, πŸ™ŒπŸ™Œ

Wakati naitafita miaka 35, sojawahi miliki gari chombo cha moto, kuna jamaa anasema kaagiza gari yake ya kwanza akiwa na miaka 22.

Kuna jamaa anasema akiweza 2 mil mfukoni akienda out harudi na kitu. EehπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ.

Naomba niondoke kwenye mitandao ya kijamii kwa miezi mitatu nitafakari maisha yangu.

Nitarudi siku tisini kama nikipata jibu.

See you later rich people on social media,
Bado weww ujakutana nao...
Kuna watu wana mambo ya ajabu humu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
bado hujasikiliza motivational speakers si utajinyonga ww Poor Brain
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Wanaamua tu kutuchanganya sisi wenzangu na mimi...
Et mara kilimo, mara ufugaji ujakaa vizuri unaambiwa forex...
An ni kila mtu anavyojiskia hawa motivation speaker
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Wanaamua tu kutuchanganya sisi wenzangu na mimi...
Et mara kilimo, mara ufugaji ujakaa vizuri unaambiwa forex...
An ni kila mtu anavyojiskia hawa motivation speaker
Eti wanakuambia jitoe risk bet Mil uone......
 
Vingine unavipuuza tu.muda mwingine uongo mwingi kuliko ukweli
 
See you later rich people on social media
Watoto wa mjini wanakwambia

Kwenye mitandao usiishi kunyonge, usiache maisha yakuchape mtaani hadi kwenye mitandao ya kijamii

Humu kwenye mitandao kuna watu ni wa kuwaonea huruma badala ya kuwaonea wivu ila wanavyovimba sasa!
 
Watoto wa mjini wanakwambia

Kwenye mitandao usiishi kunyonge, usiache maisha yakuchape mtaani hadi kwenye mitandao ya kijamii

Humu kwenye mitandao kuna watu ni wa kuwaonea huruma badala ya kuwaonea wivu ila wanavyovimba sasa!
Ye anaamini kila kitu
 
Watu wanakomalia vitu vya hovyo kweli...
Mi sijawahi kuelewa kule wengi...
Ukiona wamekula et 4k πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ndo nn sasa
ni wangapi sasa? ndio maana ikaitwa michezo ya kubahatisha
 
Back
Top Bottom