Toka Uhuru hata baba wa taifa hakuwahi kufikiria kutufungia mitandao hata siku moja , mnajitapa majukwaani etu mnawaenzi waasisi wetu kwa lipi, agenda ya siri kutuua watanzania wote imejulikana endeleeni, safari hii ni ya wote nchi ni ya wote sio ya mtu mmoja, ni sawa na mhasibu aibe mali za ofisi halafu apambane na kila mtu asimuhoji kuhusu wizi wa mali za ofisi.
TUkutane kesho kwenye sanduku la kura.
MUNGU IBARIKI NA UIPONYE TANZANIA
TUkutane kesho kwenye sanduku la kura.
MUNGU IBARIKI NA UIPONYE TANZANIA