RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Kwa tarifa zilizopo mitandao itarudi katika hali yakawaida tarehe 11/11/2020.mkuu we have learned the hard way
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa tarifa zilizopo mitandao itarudi katika hali yakawaida tarehe 11/11/2020.mkuu we have learned the hard way
Mbona mimi YouTube inafanya kazi... Weka bundle weweNajaribu kuingia YouTube lakini inagoma, kama nusu saa iliyopita nilikuwa naipata.
Kuna yeyote anapata tatizo kama langu?
Natumia mtandao wa Tigo
Mimi natumia VPN mkuu so sijaathirikaKwa tarifa zilizopo mitandao itarudi katika hali yakawaida tarehe 11/11/2020.
Mbona mimi YouTube inafanya kazi... Weka bundle wewe
Zinanihusu nini mimi mkuu?Umepitia comments za wadau wengine?
Amechaguwa kwenda the Hague sisi tulitaka akapumzike Chato amegoma hayaaJiwe hawezi kukiachia hicho kiti
Zinanihusu nini mimi mkuu?
Kunandugu yangu huwa anafanya biashara za viatu mitandaoni,karudi kafura leo kaka mbona fb,whatsp,insta siwezi kuzifungua nikamwambia raisi wako kazifunga, ananiuliza sasa wateja wangu wanataka niwatumie waone mzigo itakuwaje ,nikamwambia kawaulize ccm unawashabikiaga Kila siku, kasema kesho simpi sasa Maguful kura kanikosesha zaidi ya laki 4 kisa uraisi wake.mi natumia VPN mkuu so sijaathirika
Nadhani ukitumia VPN unapata hizo zote ambazo ziko restrictedNatumia Halotel now nusu saa sasa mimi pia haifunguki
Amefariki lini mama yetu mpendwa?Mtandao gani unaotaka wakat unapayukia hapa hapa.. Subiri tupo na maandalizi ya kumuapisha Magu na pia kutangaza msiba wa Mama wa kiongozi wetu
Tafuta kitabu kinaitwa dictitors mind's utaelewaHivi unaelewa maana ya dictetor?
Ila CHAPUTA mmepewa favor..
Porn sites zinapiga kazi kwa kasi ya ajabu, kitu clear kama kioo...[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanakosa safarii, wanapata hasara biashara hazitoki sababu ya uoga wenu whyKwa afya ya aman wacha waifunge