binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Hili ni la kweli hata haujawasingizia.
Vodacom ninyi, kwanza kabisa wateja wenu tunalipia huduma kwa gharama kubwa sana, bado mnatuibia hivyo vipesa vidogo vidogo why? very unfair.
Kuna siku tutashitakiana nawaambia.
Vodacom ninyi, kwanza kabisa wateja wenu tunalipia huduma kwa gharama kubwa sana, bado mnatuibia hivyo vipesa vidogo vidogo why? very unfair.
Kuna siku tutashitakiana nawaambia.