Mitandao ya simu ipige faida ya internet kwa mara ya mwisho. Elon Musk kuleta internet ya Starlink Tanzania

Wanaoitaka starlink ije wengi wao hawana uwezo wa kuihudumia. Hiyo ni nzuri kwa watu ambao wako remote areas, hapa mjini hata vodacom kwa 120,000 unapata unlimited 30Mbps
Hatq mjini Starlink ni nafuu. Mnaweza tumia hata watu mia na kasi ikawa nzuri tu.
 
thubutu, bei ya modem pekee ya Starlink ni $600
bando la chini ni $110 kwa mwezi
ila mkuu star link wana unafuu japokua starting price ni kubwa, na hapo pa 110$ inaweza isiwe hivo, nimecheki juzi hapa wa nigeria wanapata maximum speed ya 200 na ushee mbps kwa dollar 43, roughly 100K, ambayo ni far better.
 
Rudi ukafanye upya research yako mkuu....
 
Mkuu vipu kwasasa bado unadhani jamaa ni mtu wa "blah blah"?
 
Rudi ukafanye upya research yako mkuu....
Research zipi.


Na hii ni spidi test ya fiber ya at&t

Na wakati huo starlink ikitembea Sana 200ish mbps na wakati huo inaweza kushuka mpaka 30mbps na Kwa baadhi ya watu kwenye peak time inafika mpaka mpaka 5mbps

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…