Tareq20
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 322
- 977
Coudrey ambaye alimshauri Elon kuileta Starlink Afrika Mashariki hususani Tanzania ili Watu wawe na internet ya uhakika ya kuwawezesha kupata taarifa na kuwa na kesho iliyo bora ambapo Elon alinukuliwa akijibu “Tunasubiri kibali kutoka Tanzania”
Kwa upande wa Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Nape Nnauye ambaye Watanzania wengi walimtag kwenye tweet hizo ili kupata kauli yake alinukuliwa akisema “Walishajibiwa siku nyingi wana documents wanatakiwa kukamilisha ili mchakato uendelee, hawajakamilisha documents”
Hua najiuliza yule jamaa aliemtolea nape bastola kipindi cha magu kwanini hakumtwanga ya kichwa moja tu akatuondolea hili tatizo nape hua ukiigusa mitandao voda Airtel tigo halotel atawatetea kufa kupona usitegemee Elon musk Safar Yake iwe nyepes kuingia bongo na nape akiwa hapo