Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Habari ya 2022… nikajua kibali kimetoka..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rostam ana teknolojia ya kumuuzia Elon?Rostam atapambana kuwazuia hawa
Na mm nilihisi kuna kazibe tuu sehemu ila sikujua ni nani, ila huko kenya na rwanda nako si kuna makampuni makubwa tuu ya simu mbona wamekubali nasikia? Au ndio ukiritimba tuliozoea Tanzania maana mtu kama Elon documents gani hizo zidelay muda wote huoRostam atapambana kuwazuia hawa
Rostam ndo mmiliki WA Tigo.Zantel ..kampuni zinazowakamua watanzania hela Kwa bandoRostam ana teknolojia ya kumuuzia Elon?
Hiyo ngoma inaenda kudondokea Kenya au Rwanda, si mnakumbuka hata deal la Volkswagen lilivyosepa mbele ya Macho yetu?Na mm nilihisi kuna kazibe tuu sehemu ila sikujua ni nani, ila huko kenya na rwanda nako si kuna makampuni makubwa tuu ya simu mbona wamekubali nasikia? Au ndio ukiritimba tuliozoea Tanzania maana mtu kama Elon documents gani hizo zidelay muda wote huo
thubutu, bei ya modem pekee ya Starlink ni $600Rostam atapambana kuwazuia hawa
Musk ashasema anapigana internet iwe bure kabisa...hizo bei zitashuka Tu Sana miaka inavyoendathubutu, bei ya modem pekee ya Starlink ni $600
bando la chini ni $110 kwa mwezi
so hata ikija leo, Tigo n.k. zitakua pale pale, mpaka huyo Musk afanye burehizo bei zitashuka Tu Sana miaka inavyoenda
Ni sawa na kusema PSIPHON au HA TUNNEL inakuwezesha kuaccess internet free kumbe sio kweliso hata ikija leo, Tigo n.k. zitakua pale pale, mpaka uyo Musk afanye bure
Starlink inafaa kama waishi interior au unasafiri sana interior.thubutu, bei ya modem pekee ya Starlink ni $600
bando la chini ni $110 kwa mwezi
Kama mtu anatumia zaidi ya Elfu 20 kwa mwezi - kwa gharama za intanet tu.Wanaoitaka starlink ije wengi wao hawana uwezo wa kuihudumia. Hiyo ni nzuri kwa watu ambao wako remote areas, hapa mjini hata vodacom kwa 120,000 unapata unlimited 30Mbps
Kwamba mnaishi sehemu 1 auKama mtu anatumia zaidi ya Elfu 20 kwa mwezi - kwa gharama za intanet tu.
Watashindwa kuungana watu 10 kwa gharama ya Elfu 20 walipie? -Tena ni unlimited
Ulishawahi kusoma Reviews za hizi App mbili?Ni sawa na kusema PSIPHON au HA TUNNEL inakuwezesha kuaccess internet free kumbe sio kweli
1. hao watu yabidi waishi sehemu moja ku share modemKama mtu anatumia zaidi ya Elfu 20 kwa mwezi - kwa gharama za intanet tu.
Watashindwa kuungana watu 10 kwa gharama ya Elfu 20 walipie? -Tena ni unlimited