mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Sema hawa watu serikalini hawafahamu kuwa internet ya bei rahisi itawazalishia kodi zaidi. Assume kwa sanabu ya internet ya bei chee kitu kama Netflix kiwezekane kwa bongo movies, watu waangalie mipira kwa kustream, muziki wasikilize hivyo nk nk. Ni pesa nyingi na ajira watazalisha kuliko kodi kubwa na kufanya internet iwe ghali.
watu wa kufikiria hayo ndio hawa akina nape[emoji38][emoji38]