Mitazamo ya kike na kiume

Mitazamo ya kike na kiume

am I overconfidence?
...only that question says it all, no one is perfect!
 
Ukichunguza sana utagundua tatizo unalo zungumzia ni 'chemistry'
au 'lack of chemistry' kati yako na hao wanaume

kuna maneno yanaitwa 'sweet nothin'
ni mambo tu ya kijingajinga kati ya watu wawili
but kwa sababu wanaelewana na kupendana ...hawaboani
ukiona mtu anakuboa kwa kukueleza ujinga ujue kuna kitu serious missing...
'mapenzi ni mchezo wa kitoto kwa watu wazima'
 
Inapendeza mwanaume akuzidi vitu fulani fulani ila wewe umezidi my dia.Hiyo confidence yako inabidi uitathmini la sivyo utakosa.....
 
Habari za mchana wapendwa,

Leo nasukumwa kusema haya. Nimekuwa nikiwatazama watu wa jinsia tofauti kwa mtizamo wangu na mwishowe kumuweka huyo mtu kwenye kundi ninaloona anafaa. Hii imenisababishia hadi sasa siko kwenye mahusiano maana nimekuwa nikijiona niko juu ya hao wote ninaokutana nao.

Nomba msinielewe vibaya, si kuwa ninawasengenya au kuwasema watu niliokutana nao maana sitawataja hapa ila ntaongelea jinsi nilivyokuwa nawachukulia.Tangu niko mschana nimekuwa nikipenda niwe na mwanaume ambaye amenizidi kwa asilimia 40 hadi 60 kwenye nyanja zote.

Yani nakuwa nina furaha iwapo nakuwa na mwanaume anizidi kiumri, kimaarifa, kielimu, kiustaarabu, anizidi kimaamuzi, kiuchumi, uwezo wa kutafsiri mambo na hata kimtazamo kwa ujumla.

Mfano, huwa nagundua mwanaume ninayetoka naye nimemzidi kiuchambuzi au kiutambuzi pale ambapo tunakuwa tunaangalia movie ambapo wote mnaangalia hiyo movie halafu unakuta anakuuliza sasa hapo alipofanya hivo ndo anamaanisha nini, to me that’s a negative sign to go on with that relationship.

Kama huwa anafanya hivo ili kunogesha tuu maongezi au kuuliza tuu maswali kama maswali ya kimapenzi yaanimie huwa naboreka na huwa sijibu swali.Utakuta imefikia kipindi kwenye hiyo movie wana kiss on the move to make love halafu unakuta jamaa anakuuliza, ndo wanataka kufanyaje hapo mie kimoyomoyo.

Are you blind!? Kwa wana saikolojia huwa wanatumia picha au michoro flani kisha wanakupa uitafsiri ili kujua akili yako inaweza kuona nini na nini na unaweza kuitafsiri hiyo picha beyond au utaishia kutafsiri tukio moja tuu wakati picha inazaidi ya message moja.Sasa utakuta unatoka na mwanaume kwenye maonesho ya painting.

I like painting so huwa naenda sana kwenye maonesho ya picha na vitabu) sasa mnasimama kwenye picha au paint mojawapo halafu unaitizama na kuanza kuidadavua emotionally in my thinking kasha unamuuliza what do you see in this picture anakwambia flowers yaani najikuta nakuwa demoralized kuendelea kuwa nae I just keep myself off that relationship.

Si kuwa nawaona hawana akili ila kutokana na mie kuona kuwa naweza kuchambua vitu zaidi yake naona siwezi kuwa chini yake maana ideas zake ntaziona ziko low na ntaona kama ananirudisha nyuma kila nnachotaka kufanya.Kitu kingine huwa namuona mtu niliyemzidi ideas, thinking ntakuwa kama namburuza na mwisho kuniona mie ni kiburi.

My thinking has made me to date being single and I don’t think if I can intermingle. Yes I go out with a man, we talk, we chill, we dance da da da of we go no string attached lools. Hope sijamsema mtu hapa zaidi nimejidadavua mwenyewe.

Am I overconfidence!?

Iftar njema.

Kasie.


Bila Shaka utakua Muhaya, Kama sio basi Muha wa Kigoma
 
Nyi ndo mnaolewaga na maboya trust me. Kuwa makini sana utachagua sana mwisho wa cku umri nao ooh. Vp yule jamaa six pack wa mataa ubungo ulimpata?

Good luck am not interested to get married anymore hiyo was my past, my age has already lapse. That guy of Toyota Hilux hatujaonana tena kimeishia pale pale.
 
Ila mwanaume akikuzidi vitu flani flani kuna raha yake....teh ila we mama ya ma crush umezidi lol

yeah kuna raha kiukweli bad luck sijakutana nayo.......... mie naona hata mwenyewe nimejishindwa looh
 
Juzi nikakuuliza basi mitaa yako nijaribu kuzengea huko nicrash na wewe unajibu kisiasa wakati project iliyonileta mjini inaexpire hivi karibuni nirudi mkoa.

OK hilo tuu, isiwe shida, pitia mitaa ya ali hassan mwinyi road, ile barabara ya kutoka morocco kwenda mbezi beach kupitia njia panda kawe, na san nujoma road hiyo ni kwa week end tuu na holidays. week days kwa sasa niko bagamoyo until further notice, so ukizengea mitaa ya bagamoyo waweza kutana na Kasie uka crush.
All the best.
 
Mi nadhan kwa std izo, ukimuoa Kiranga mtakua the best couple eva.

hahaaaa Give me a break...........!!! NIMUOE....!!! we naona umeamua kumtusi Kiranga au ndo ulimi hauna mfupa??? teh teh
Ila kwa sasa hiyo era ya ndoa kwangu imeshapita, am just cruising in this ship called earth.
 
Last edited by a moderator:
hahaaaa Give me a break...........!!! NIMUOE....!!! we naona umeamua kumtusi Kiranga au ndo ulimi hauna mfupa??? teh teh
Ila kwa sasa hiyo era ya ndoa kwangu imeshapita, am just cruising in this ship called earth.

Ulishawahi kuumizwa kimapenzi?
 
Aah I know you are perfectionist ,utakua unadondokea sana kwa wanaume wasiokupenda cos you are so selective!!

yeah na hatukuwa tuna last kwenye hayo mahusiano na mie ndo nilikuwa nasepa ila not rudely.
 
Waswahili wanasema Mchagua Nazi siku zote huangukia Korona....Watch your Mouth
Weeh kiswahili tuachie waswahili, ....... sio korona ni koroma loh!!
watch ur words!!
 
am I overconfidence?
...only that question says it all, no one is perfect!

I agree am not either, and I was not looking for a perfect man, by then I was looking for a man who was ahead of me in areas like education, IQ, financially............................etc.
 
Back
Top Bottom