Mitego ya Rais ya kununua Magoli iwakamate wajinga wa hili Taifa tu. Mimi siwezi kamatwa kamwe

Mitego ya Rais ya kununua Magoli iwakamate wajinga wa hili Taifa tu. Mimi siwezi kamatwa kamwe

Hakuwa na maana hiyo. Unawezaje kuenjoy ukiwa na njaa? Hiyo ndo alomaanisha.
Njaa ni yeye anayo mkuu ..maisha haya hatuezi wote tukawa na njaa
Au wote tukawa na pesa
Sasa shida zake ndio na cc r
K

waiyo mkuu wewe uko radhi ununue nguo kuliko ulipie hela ya matibabu sio?
Mtoto utampeleka hospital uchi ?
 
Kuna watu wanamawazo ya kijinga hasira kila kitu mpk kwenye michezo inayotupa furaha watu wanaeka makasiriko
Mkuu ni kutofautiana mitazamo tu wewe unona Rais kutoa pesa na kuzipeleka kwa wasio wahitaji kwamba ni jambo la furaha kwa wapenzi wa soka tu ila mwengine yeye kaona si sahihi Rais kutoa pesa badala ya kuzipeleka kwenye uhitaji tena wa msingi ambao utawafaa wananchi wote yeye anaenda kuzipeleka kusiko na uhitaji ili tu kuwafurahisha wapenzi wa mpira.
 
Kwa hiyo ulitaka rais awapelekee watu pesa majumbani?
Asiwapelekee watu pesa majumbani wala asiwapelekee pesa wachezaji kwenye timu zao, hayo yote sio majukumu yake na hakuna atakaye lalamika kwa kutoyafanya hayo.
 
Sijui mantiki au logic ya kununua magoli ni ipi, ila ninacho jua kuna makumi kwa maelefu ya Watanzania wanataabika sana mtaani unaweza zania nchi haijapata uhuru, Raia wanaaugulia majumbani hawana pesa ya vipumo vya hospitali, ambako unakuta kipimo kimoja ni zaidi ya laki na mtu hana kwa sababu ya umasikini mkubwa sana na ambao walio sababisha ni hao hao wanao nunua Magoli ya Yanga na Simba.

Mpira wa miguu hasa haya mambo ya Yanga na Simmba yanatumika kisiasa kuhafaa wajinga wa hili Taifa, hadi too much.

Huwezu Raisi ukawa unanunua starehe ilihali raia wako wana hali mbaya sana mtaani, Raia wanatembeza fomu za michango ya kutibiwa Raisi anagawa bulungutu za pesa za Magoli na wajinga sisi tunashangilia kwa sababu tu wanao teseka watajijua wenyewe.

Ukiachana na Wagonjwa kuna shule kibao za Serikali yaani unaweza zania ni magofu ya kambi za maaskari wa vita ya Veitnam. Madarasa kama mabanda ya kufugia mbuzi na mkuu wa nchi anagawa pesa uwanjani

Magari ya Kubeba wagonjwa ni hadi raia ndugu jamaa na marafiki wajichange kumbuka gari ni STK na zimenunuluwa kwa kodi na stilli raia wanakamuliwa kwa kisingizio hakuna bajeti ya mafuta huku Raisi akinunua Magoli.

Nenda Police Gari za police unaambiwa hazina mafuta toa pesa ya mafuta mtuhumiwa wako akakamatwe yaani Raia ndio inabidi atoe pesa ya mafuta kuwezesha Police kwenda kukamata mtuhumiwa,Raisi ananunua Magoli ya Yanga na Simba.

Mimi ni Yanga na sisapoti huu ujinga na hakuna hata siku moja nitaingia kwenye huu mtego wa kutega wajinga wa hili Taifa kwa kununua Magoli ilihali Raia wanataabika sana mitaani.

Mitego hii ya kununua magoli iwakamate wajinga wa hili Taifa tu.
Viongozi dhaifu, taifa dhaifu, kila kitu kitakuwa dhaifu.
 
Hiyo ni kutoka kwenye bajeti ya wizara ya Michezo...

Hayo ya matibabu yanatokea kwenye bajeti ya waizara ya Afya...


Cc: Mahondaw
 
Hoja za kutafuta huruma kwa kuutumia umaskini hazisaidii chochote. Kumbuka hao wanaopewa hizo pesa za magoli ni walipa kodi wakubwa.

Wiki chache zilizopita kulikuwa na siku ya mwananchi na Simba Day, umeshajiuliza ni kiasi gani cha pesa kwa maana ya mzunguko wa pesa unaozaa ulipaji wa kodi, kilichopatikana katika hizo siku mbili tu?.

Serikali inajenga barabara za mwendo kasi jijini Dar kwa kasi kubwa, inajenga zahanati kila kata huko mikoani, Mifumo ya umeme inaboreshwa kila kukicha, zote hizo ni pesa ambazo zinatoka hazina zikiwa ni sehemu ya kodi tunazolipa.

Milioni 20 ni kitu gani kwa makusanyo ya siku moja tu pale TRA?. Tuachane na hizi akili za kishamba, zinazojaa hulka za kimaskini.
Kama million 20 ni kitu gani mbona kuna raia wanateseka laki 1 ya vipimo hospitali za umma?
 
Kuna watu wanadaiwa laki 5 tu hosp tena za serikali wanakosa huduma lakini yupo tayari kutoa milioni 50 kununua magoli kwa siku
 
Lengo sio baya ila kwa Level za simba na Yanga nadhani ingekua busara kuanzia hatua ya mtoano ..Azam na hasa hasa Coast kwa hatua za awali ni sahihi mana ingewapa hamasa zaidi ya kuenda hatua inayofata …simba na yanga hawahitaji tena hamna katika hatua za awali.
Kwanini asinunue dawa hosp badala ya magoli?
 
Asiwapelekee watu pesa majumbani wala asiwapelekee pesa wachezaji kwenye timu zao, hayo yote sio majukumu yake na hakuna atakaye lalamika kwa kutoyafanya hayo.
Kuwapelekea pesa wachwzaji ni motivation ili mpira ukue tz kama ambavyo kaukuza sasa hivi. Mpira ni source ya uchumi kwa kupitia utalii na uwekezaji pia. Wachezaji wanakatwa kodi. Sasa akikuletea pesa wewe una msaada gani zaidi ya kulewea tu
 
Kuwapelekea pesa wachwzaji ni motivation ili mpira ukue tz kama ambavyo kaukuza sasa hivi. Mpira ni source ya uchumi kwa kupitia utalii na uwekezaji pia. Wachezaji wanakatwa kodi. Sasa akikuletea pesa wewe una msaada gani zaidi ya kulewea tu
Hakuna aliyesema anataka apewe pesa nilichosema ni kwamba apeleke pesa kwenye uhitaji ambako watafaidika wananchi wengi zaidi, bado kuna mambo mengi ya muhimu zaidi yenye kuhitaji pesa na yanawagusa wananchi wengi.

Ila kama unaona Rais kujipa kazi ya kukuza soka kwa muendelezo wa kugawa pesa kwa wachezaji na kwamba ndio kunakuza soka basi sawa naheshimu mtazamo wako.
 
Hakuna aliyesema anataka apewe pesa nilichosema ni kwamba apeleke pesa kwenye uhitaji ambako watafaidika wananchi wengi zaidi, bado kuna mambo mengi ya muhimu zaidi yenye kuhitaji pesa na yanawagusa wananchi wengi.

Ila kama unaona Rais kujipa kazi ya kukuza soka kwa muendelezo wa kugawa pesa kwa wachezaji na kwamba ndio kunakuza soka basi sawa naheshimu mtazamo wako.
You are welcome
 
The state inapaswa kutambua kwamba katiba mpya ilipaswa Kupatikana miaka kumi na tano iliyopita na sio sasa!Sasa no kuchelewa sana na aibu sana kwa vikosi vya ulinzi kulinda kiongozi anaetumia fedha za walipa Kodi anavyojisikia!!
Labda kama anatoa mfukoni mwake!
 
Sijui mantiki au logic ya kununua magoli ni ipi, ila ninacho jua kuna makumi kwa maelefu ya Watanzania wanataabika sana mtaani unaweza zania nchi haijapata uhuru, Raia wanaaugulia majumbani hawana pesa ya vipumo vya hospitali, ambako unakuta kipimo kimoja ni zaidi ya laki na mtu hana kwa sababu ya umasikini mkubwa sana na ambao walio sababisha ni hao hao wanao nunua Magoli ya Yanga na Simba.

Mpira wa miguu hasa haya mambo ya Yanga na Simmba yanatumika kisiasa kuhafaa wajinga wa hili Taifa, hadi too much.

Huwezu Raisi ukawa unanunua starehe ilihali raia wako wana hali mbaya sana mtaani, Raia wanatembeza fomu za michango ya kutibiwa Raisi anagawa bulungutu za pesa za Magoli na wajinga sisi tunashangilia kwa sababu tu wanao teseka watajijua wenyewe.

Ukiachana na Wagonjwa kuna shule kibao za Serikali yaani unaweza zania ni magofu ya kambi za maaskari wa vita ya Veitnam. Madarasa kama mabanda ya kufugia mbuzi na mkuu wa nchi anagawa pesa uwanjani

Magari ya Kubeba wagonjwa ni hadi raia ndugu jamaa na marafiki wajichange kumbuka gari ni STK na zimenunuluwa kwa kodi na stilli raia wanakamuliwa kwa kisingizio hakuna bajeti ya mafuta huku Raisi akinunua Magoli.

Nenda Police Gari za police unaambiwa hazina mafuta toa pesa ya mafuta mtuhumiwa wako akakamatwe yaani Raia ndio inabidi atoe pesa ya mafuta kuwezesha Police kwenda kukamata mtuhumiwa,Raisi ananunua Magoli ya Yanga na Simba.

Mimi ni Yanga na sisapoti huu ujinga na hakuna hata siku moja nitaingia kwenye huu mtego wa kutega wajinga wa hili Taifa kwa kununua Magoli ilihali Raia wanataabika sana mitaani.

Mitego hii ya kununua magoli iwakamate wajinga wa hili Taifa tu.
Hii nchi imejaa wajinga na wapumbavu wako simba na yanga
 
Back
Top Bottom