Miti inakua kutoka wapi? Mbona hatuoni shimo pale ulipotoka?

Miti inakua kutoka wapi? Mbona hatuoni shimo pale ulipotoka?

Iko ivi mkuu mti haujatengenezwa kwa udongo Bali ni Yale madini yanayochukuliwa ardhini +air+water hivi vikichanganyika vinatenge ki2 chenye sifa tofaut na vitu vinavyo unda kumbuka hii sio mixture kama cement na mchanga kwamb ukiweka 25kg +25kg lzma upate 50kg hpn compound unaeza changanya product Ika shrink au expand
 
Kaosme composition ya hzo tissues vzr
Mkuu, anachosema mleta mada ni kwamba;
Mti unachukua simple elements kama nitrogen, calcium etc pamoja na simple compounds kama maji(H2O), carbondioxide(CO2) etc kwa msaada wa mwanga wa jua na chlorophyll etc unatengeneza glucose na baadae hubadilishwa kuwa cellulose ambayo inaenda kutengeneza hizo meristems, cell walls na vascular tissues nyingine.

Kwa mantiki hiyo pointi yake inasimama, sehemu kubwa ya mti inatokana na maji na hewa.
 
Mkuu, anachosema mleta mada ni kwamba;
Mti unachukua simple elements kama nitrogen, calcium etc pamoja na simple compounds kama maji(H2O), carbondioxide(CO2) etc kwa msaada wa mwanga wa jua na chlorophyll etc unatengeneza glucose na baadae hubadilishwa kuwa cellulose ambayo inaenda kutengeneza hizo meristems, cell walls na vascular tissues nyingine.

Kwa mantiki hiyo pointi yake inasimama, sehemu kubwa ya mti inatokana na maji na hewa.
Glucose inabadili kuwa cellulose inayotengeneza tissue? [emoji23][emoji23][emoji23] Hyo physiology ni ya wapi[emoji23]
 
Mkuu, anachosema mleta mada ni kwamba;
Mti unachukua simple elements kama nitrogen, calcium etc pamoja na simple compounds kama maji(H2O), carbondioxide(CO2) etc kwa msaada wa mwanga wa jua na chlorophyll etc unatengeneza glucose na baadae hubadilishwa kuwa cellulose ambayo inaenda kutengeneza hizo meristems, cell walls na vascular tissues nyingine.

Kwa mantiki hiyo pointi yake inasimama, sehemu kubwa ya mti inatokana na maji na hewa.
Rudi kasome physiology in molecular level in angiosperms[emoji23]
 
Basi wakuu yaishe. Juzi kati nilisoma kitabu Chuo cha ustaarabu. Kiliandikwa na mzungu mmoja Kenya mwaka 1935. Na mimi swali hilo lilinishtua. Alilijibu. Ukweli ni kuwa sehemu kubwa ya mti inatoka hewan. Mti unavyobadili carbondioxide kuwa cellulose ndiyo unavyojijenga hasa.

Asilimia 95 ya mti umetokana na carbondioxide na maji. ukitoa maji, zaidi ya 60% ya mti hutoka hewani kwenye carbondioxide. Ni vitu vichache sana(micronutrients+Nitrogen) ndivyo hutoka ardhini. Kwa hesabu hizo, ni kuwa mti hautoki ardhini ndiyo maana hatuoni shimo ulipoota.

Waliofanya utafiti, walipanda mmea kwenye kopo lenye udongo wa kilo kadhaa. Baada ya kutoa ule mmea, wakagundua kuwa kilo za udongo ule hazijabadilika. Hata ukichoma mti mkubwa, utaona sehemu kubwa inapotelea angani.

Pengine watu wa kabla ya uhuru walikuwa na maarifa kuliko sisi leo.

View attachment 2418298
Umenena vyema
 
Kwa kweli nimekumbuka huu uzi nimecheka sana. Wabongo wanafurahisha sana.
 
Back
Top Bottom