CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
Kaosme composition ya hzo tissues vzrNa hiyo inatengenezwa kwa cellulose ambayo ni poylmer ya glucose ambayo ni carbon, hydrogen na oxygen ambavyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaosme composition ya hzo tissues vzrNa hiyo inatengenezwa kwa cellulose ambayo ni poylmer ya glucose ambayo ni carbon, hydrogen na oxygen ambavyo.
ungezisema tu hapaKaosme composition ya hzo tissues vzr
Ule uzi wa jamaa yetu wa clearing and freigh forward, bweni near JKT umeufuta[emoji16][emoji16][emoji1783][emoji41]
Tumejikita zaidi pia kwenye kucharaza viboko tu wale wote wasiochomekea, wasiovaa soksi, wanavaa modo na wanyoa viduku 😁
Mkuu, anachosema mleta mada ni kwamba;Kaosme composition ya hzo tissues vzr
Glucose inabadili kuwa cellulose inayotengeneza tissue? [emoji23][emoji23][emoji23] Hyo physiology ni ya wapi[emoji23]Mkuu, anachosema mleta mada ni kwamba;
Mti unachukua simple elements kama nitrogen, calcium etc pamoja na simple compounds kama maji(H2O), carbondioxide(CO2) etc kwa msaada wa mwanga wa jua na chlorophyll etc unatengeneza glucose na baadae hubadilishwa kuwa cellulose ambayo inaenda kutengeneza hizo meristems, cell walls na vascular tissues nyingine.
Kwa mantiki hiyo pointi yake inasimama, sehemu kubwa ya mti inatokana na maji na hewa.
Rudi kasome physiology in molecular level in angiosperms[emoji23]Mkuu, anachosema mleta mada ni kwamba;
Mti unachukua simple elements kama nitrogen, calcium etc pamoja na simple compounds kama maji(H2O), carbondioxide(CO2) etc kwa msaada wa mwanga wa jua na chlorophyll etc unatengeneza glucose na baadae hubadilishwa kuwa cellulose ambayo inaenda kutengeneza hizo meristems, cell walls na vascular tissues nyingine.
Kwa mantiki hiyo pointi yake inasimama, sehemu kubwa ya mti inatokana na maji na hewa.
Ametishia au kujifungua elimu ndogo? Hata thamani ya tarakimu hajui, kilo milioni moja?We jamaa una uhakika hujavuta bangi kweli?
Mti na mimea haijengwi kwa mawe na udongo, ni carbondioxide ndio inaukuza mmeaMkuu unafahamu mti unakotoka?
Umenena vyemaBasi wakuu yaishe. Juzi kati nilisoma kitabu Chuo cha ustaarabu. Kiliandikwa na mzungu mmoja Kenya mwaka 1935. Na mimi swali hilo lilinishtua. Alilijibu. Ukweli ni kuwa sehemu kubwa ya mti inatoka hewan. Mti unavyobadili carbondioxide kuwa cellulose ndiyo unavyojijenga hasa.
Asilimia 95 ya mti umetokana na carbondioxide na maji. ukitoa maji, zaidi ya 60% ya mti hutoka hewani kwenye carbondioxide. Ni vitu vichache sana(micronutrients+Nitrogen) ndivyo hutoka ardhini. Kwa hesabu hizo, ni kuwa mti hautoki ardhini ndiyo maana hatuoni shimo ulipoota.
Waliofanya utafiti, walipanda mmea kwenye kopo lenye udongo wa kilo kadhaa. Baada ya kutoa ule mmea, wakagundua kuwa kilo za udongo ule hazijabadilika. Hata ukichoma mti mkubwa, utaona sehemu kubwa inapotelea angani.
Pengine watu wa kabla ya uhuru walikuwa na maarifa kuliko sisi leo.
View attachment 2418298
Kuberi.......teh teh.....Kuberi haichanganwyi na kahawa mkuu
Hujawahi sikia kilo milioni moja?Ametishia au kujifungua elimu ndogo? Hata thamani ya tarakimu hajui, kilo milioni moja?