Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Hii statement inavuruga logic. Kumbuka hata minerals, micronutrients, water, etc, ukizichoma zinabadilika kuwa hewa.Hata ukichoma mti mkubwa, utaona sehemu kubwa inapotelea angani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii statement inavuruga logic. Kumbuka hata minerals, micronutrients, water, etc, ukizichoma zinabadilika kuwa hewa.Hata ukichoma mti mkubwa, utaona sehemu kubwa inapotelea angani.
Mmmmmh, imbombo ingalipo. Kweli udongo ni somo pana. Tunakushukuru kwa elimu hii; inaonekana umebobea kwenye fani hii. Hongera.
Hizo minerals zinazokuwa absorbed zinajizalisha tena kama alivyosema bwana Heriel. Hiyo ni process endelevu, ni kama tunavyosema mafuta (ya ardhini) yanatokana na decomposed animals and plants, kwahiyo hayataisha. Uarabuni ni lini wameanza kuchimba mafuta na mpaka leo bado wana tani za kutosha? Mkuu, najua ya kuwa, haya ni mepesi sana kwako kuyaelewa, nahisi unavunga tu. Ndio maana nikakuuliza; ni kweli unamaanisha mti huu wa kawaida au ni tafsida? Maana nahisi tunapigwa na kitu kizito kichwani!Mti kama mti. Kama umetoa minerals hadi kuwa na kilo laki tano(dry mass) basi tutegemee minerals kilo laki tano zitoke ardhini, lazima kuwe na shimo. Kila laki tano ni nyingi sana
Mimi ni igombe fishermanMkuu umeeleza vizuri sana..ww kama sio Mwalimu, basi ni Pastor!!
Soma usikurupuke incompetent wewe,, minerals must be dissolved on water kabla ya kwenda kwa plants,, minerals dont dissolve in soil,, that's why nimesema tunachoweza kupima na kupata majibu ni moisture na level na sio udongo,, na kwa taarifa yako hata kama minerals zikiwa kwa udongo huwa zinakuwa free na hazijashikwa na udongo,, we mtu vipi[emoji23][emoji23][emoji23]You’re outrageously lying. Unajua just per day, mti unasharabu nutrients, mineral salts, water kiasi gani ambazo ni equivalent na volume ama uzito wa udongo?
Uelewa wako wa sayansi ni kiduchu sana.
Bado nabisha uelewa wao ni mdogo mno wa plant anatomy and physiologyBasi wakuu yaishe. Juzi kati nilisoma kitabu Chuo cha ustaarabu. Kiliandikwa na mzungu mmoja Kenya mwaka 1935. Na mimi swali hilo lilinishtua. Alilijibu. Ukweli ni kuwa sehemu kubwa ya mti inatoka hewan. Mti unavyobadili carbondioxide kuwa cellulose ndiyo unavyojijenga hasa.
Asilimia 95 ya mti umetokana na carbondioxide na maji. ukitoa maji, zaidi ya 60% ya mti hutoka hewani kwenye carbondioxide. Ni vitu vichache sana(micronutrients+Nitrogen) ndivyo hutoka ardhini. Kwa hesabu hizo, ni kuwa mti hautoki ardhini ndiyo maana hatuoni shimo ulipoota.
Waliofanya utafiti, walipanda mmea kwenye kopo lenye udongo wa kilo kadhaa. Baada ya kutoa ule mmea, wakagundua kuwa kilo za udongo ule hazijabadilika. Hata ukichoma mti mkubwa, utaona sehemu kubwa inapotelea angani.
Pengine watu wa kabla ya uhuru walikuwa na maarifa kuliko sisi leo.
View attachment 2418298
Maji sawa. Si rahisi kwa micronutrients nyingi kama iron, magnesium nk kugeuka gas na kuingia hewani.Hii statement inavuruga logic. Kumbuka hata minerals, micronutrients, water, etc, ukizichoma zinabadilika kuwa hewa.
huyo jibu lake nikumwambia ajitahidi kadiriawezvyo aung`oe mti kwa kuuvuta juu kama atauweza, akiweza basi pale atona hilo li shimo analolitakaMtu kama huyu jibu hili halimfai hawezi kukuelewa mkuu
Udongo wenyewe ni minerals. Sehemu kubwa ni silica.Soma usikurupuke incompetent wewe,, minerals must be dissolved on water kabla ya kwenda kwa plants,, minerals dont dissolve in soil,, that's why nimesema tunachoweza kupima na kupata majibu ni moisture na level na sio udongo,, na kwa taarifa yako hata kama minerals zikiwa kwa udongo huwa zinakuwa free na hazijashikwa na udongo,, we mtu vipi[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa nini bado unabisha? Mti unatoka hewani. Sehemu ndogo sana inatoka ardhini. 95 ya mti no maji na hewa(Carbondioxide)Bado nabisha uelewa wao ni mdogo mno wa plant anatomy and physiology
[emoji89][emoji89][emoji89]Habari wakuu sana. Eti wakuu. Miti inakua kutoka wapi? Mbona unakuta mti mkubwa sana. Una kilo hata milioni moja(ukiwa mkavu), lakini pale ulipotoka hatuoni kama kuna kilo milioni moja zimetoka. Mti unatoka wapi?
View attachment 2417960View attachment 2417961View attachment 2417962View attachment 2417963View attachment 2417965
Shimo hilo litalingana na ukubwa wa mti? Tena fikiria mti wa matunda ambao kilo kadhaa zinavunwa kila mwaka. Miaka kumi labda zimevunwa hata kilo 1,000. Jumlisha na uzito wa mti wenyewe, je ni kiasi hicho kimeondolewa udongoni. Wataalamu waligundua kuwa mti hutoka hewani.huyo jibu lake nikumwambia ajitahidi kadiriawezvyo aung`oe mti kwa kuuvuta juu kama atauweza, akiweza basi pale atona hilo li shimo analolitaka
Which is not consumed by plant kwa sanaUdongo wenyewe ni minerals. Sehemu kubwa ni silica.
Sehemu ya mti kubwa kama sio yote ni tissue,, meristems, vascular na tisues zingineKwa nini bado unabisha? Mti unatoka hewani. Sehemu ndogo sana inatoka ardhini. 95 ya mti no maji na hewa(Carbondioxide)
Maji na hewa hutumika kutengeneza energy suppliments for plant growth (kutengenezwa kwa tissues for primary and secondary growth)Kwa nini bado unabisha? Mti unatoka hewani. Sehemu ndogo sana inatoka ardhini. 95 ya mti no maji na hewa(Carbondioxide)
Ina maana siku hizi sayansi ya darasa la 5 hawafundishi mambo ya kotiledoni moja na kotiledoni mbili...
Mwl Evelyn Salt na To yeye mnafundishaga nini siku hizi?
Tumejikita zaidi pia kwenye kucharaza viboko tu wale wote wasiochomekea, wasiovaa soksi, wanavaa modo na wanyoa viduku 😁Balehe na namna ya kutumia condom
Na hiyo inatengenezwa kwa cellulose ambayo ni poylmer ya glucose ambayo ni carbon, hydrogen na oxygen ambavyo.Sehemu ya mti kubwa kama sio yote ni tissue,, meristems, vascular na tisues zingine
Kwa kiasi, ndiyo sehemu ya majivu baada ya kuchoma.Which is not consumed by plant kwa sana
Ha ha haaa,Tumejikita zaidi pia kwenye kucharaza viboko tu wale wote wasiochomekea, wasiovaa soksi, wanavaa modo na wanyoa viduku 😁