Miti inakua kutoka wapi? Mbona hatuoni shimo pale ulipotoka?

Miti inakua kutoka wapi? Mbona hatuoni shimo pale ulipotoka?

Mti kama mti. Kama umetoa minerals hadi kuwa na kilo laki tano(dry mass) basi tutegemee minerals kilo laki tano zitoke ardhini, lazima kuwe na shimo. Kila laki tano ni nyingi sana
Hizo minerals zinazokuwa absorbed zinajizalisha tena kama alivyosema bwana Heriel. Hiyo ni process endelevu, ni kama tunavyosema mafuta (ya ardhini) yanatokana na decomposed animals and plants, kwahiyo hayataisha. Uarabuni ni lini wameanza kuchimba mafuta na mpaka leo bado wana tani za kutosha? Mkuu, najua ya kuwa, haya ni mepesi sana kwako kuyaelewa, nahisi unavunga tu. Ndio maana nikakuuliza; ni kweli unamaanisha mti huu wa kawaida au ni tafsida? Maana nahisi tunapigwa na kitu kizito kichwani!
 
You’re outrageously lying. Unajua just per day, mti unasharabu nutrients, mineral salts, water kiasi gani ambazo ni equivalent na volume ama uzito wa udongo?

Uelewa wako wa sayansi ni kiduchu sana.
Soma usikurupuke incompetent wewe,, minerals must be dissolved on water kabla ya kwenda kwa plants,, minerals dont dissolve in soil,, that's why nimesema tunachoweza kupima na kupata majibu ni moisture na level na sio udongo,, na kwa taarifa yako hata kama minerals zikiwa kwa udongo huwa zinakuwa free na hazijashikwa na udongo,, we mtu vipi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Basi wakuu yaishe. Juzi kati nilisoma kitabu Chuo cha ustaarabu. Kiliandikwa na mzungu mmoja Kenya mwaka 1935. Na mimi swali hilo lilinishtua. Alilijibu. Ukweli ni kuwa sehemu kubwa ya mti inatoka hewan. Mti unavyobadili carbondioxide kuwa cellulose ndiyo unavyojijenga hasa.

Asilimia 95 ya mti umetokana na carbondioxide na maji. ukitoa maji, zaidi ya 60% ya mti hutoka hewani kwenye carbondioxide. Ni vitu vichache sana(micronutrients+Nitrogen) ndivyo hutoka ardhini. Kwa hesabu hizo, ni kuwa mti hautoki ardhini ndiyo maana hatuoni shimo ulipoota.

Waliofanya utafiti, walipanda mmea kwenye kopo lenye udongo wa kilo kadhaa. Baada ya kutoa ule mmea, wakagundua kuwa kilo za udongo ule hazijabadilika. Hata ukichoma mti mkubwa, utaona sehemu kubwa inapotelea angani.

Pengine watu wa kabla ya uhuru walikuwa na maarifa kuliko sisi leo.

View attachment 2418298
Bado nabisha uelewa wao ni mdogo mno wa plant anatomy and physiology
 
Hii statement inavuruga logic. Kumbuka hata minerals, micronutrients, water, etc, ukizichoma zinabadilika kuwa hewa.
Maji sawa. Si rahisi kwa micronutrients nyingi kama iron, magnesium nk kugeuka gas na kuingia hewani.
 
Soma usikurupuke incompetent wewe,, minerals must be dissolved on water kabla ya kwenda kwa plants,, minerals dont dissolve in soil,, that's why nimesema tunachoweza kupima na kupata majibu ni moisture na level na sio udongo,, na kwa taarifa yako hata kama minerals zikiwa kwa udongo huwa zinakuwa free na hazijashikwa na udongo,, we mtu vipi[emoji23][emoji23][emoji23]
Udongo wenyewe ni minerals. Sehemu kubwa ni silica.
 
Habari wakuu sana. Eti wakuu. Miti inakua kutoka wapi? Mbona unakuta mti mkubwa sana. Una kilo hata milioni moja(ukiwa mkavu), lakini pale ulipotoka hatuoni kama kuna kilo milioni moja zimetoka. Mti unatoka wapi?

View attachment 2417960View attachment 2417961View attachment 2417962View attachment 2417963View attachment 2417965
[emoji89][emoji89][emoji89]
JamiiForums-1472308810.jpg
 
huyo jibu lake nikumwambia ajitahidi kadiriawezvyo aung`oe mti kwa kuuvuta juu kama atauweza, akiweza basi pale atona hilo li shimo analolitaka
Shimo hilo litalingana na ukubwa wa mti? Tena fikiria mti wa matunda ambao kilo kadhaa zinavunwa kila mwaka. Miaka kumi labda zimevunwa hata kilo 1,000. Jumlisha na uzito wa mti wenyewe, je ni kiasi hicho kimeondolewa udongoni. Wataalamu waligundua kuwa mti hutoka hewani.
 
Ni sawa na miguu kubeba tumbo kubwa au mwili wote. Nguzo kubeba jengo lenye gorofa 50 n.k
 
Kwa nini bado unabisha? Mti unatoka hewani. Sehemu ndogo sana inatoka ardhini. 95 ya mti no maji na hewa(Carbondioxide)
Maji na hewa hutumika kutengeneza energy suppliments for plant growth (kutengenezwa kwa tissues for primary and secondary growth)
 
Back
Top Bottom