Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Embu jikite kujibu swali maelezo unayotoa sio majibu kabisa
Kama hajadangaya eleza kwa nini aliweka Isa bandia na watu wakaona Isa kasulubiwa kwa nini alifanya hivyo?
 
Imani Yako ni kuwa Isa hakusulubiwa? Au Imani Yako Isa alisulubiwa?
 
Embu jikite kujibu swali maelezo unayotoa sio majibu kabisa
Kama hajadangaya eleza kwa nini aliweka Isa bandia na watu wakaona Isa kasulubiwa kwa nini alifanya hivyo?
Aliwaonesha Miujiz watu hawa kuwa Mungu amemuokowa Yesu na Kifo cha Laana
lakini akawaachia wao wadanganyike ili wapate Hukumu ya dhamira zao na uovu wao .

Kitandaili hiki kina hekima kwa ulimwengu.
Mungu Atamleta Yesu(Isa )akiwa na Nguvu na Utukufu tele na waislamu wote watampokea, na ataunganisha Uislamu na wakiristo waliokuwa na Imani ya kweli na Moyo Mwema.

Wote tutaabudu Mungu mmoja.
Baada ya Kuwatiisha wote kwa Mungu Moja ndio Ule mwisho utakuja.
Yesu atakenda Mecca Kuhiji pamoja na waislamu
Uadui kati yetu utapoa, na vita vitasimama. Amani Itatawala.

Ndio maana tunasema Dini ya Yesu ni Muislamu
 
Alioneshaje muujiza wakati aliweka Isa bandia bila kuwaambia ni Isa bandia ? Alikaa miaka zaidi ya 600 ndo alaja kusema , embu jiulize wewe ungekuwa pale ungeona nini kuhusu isa
 
embu jiulize wewe ungekuwa pale ungeona nini kuhusu isa
wale Wenye imani wliona Muujiza ule na walijua kilichoendelea,Mkono wa Munu uliingilia kati,
lakini waliokuwa waovu waliona kifo na mateso na wakazidi kujiaminisha kuwa wamefanikiwa lengo lao ovu.
Hekima yake , IMANI ilitengamaa kwa wanafunzi wema wa Yesu.
Qur-ana inasema:-
..........
 
Embu leta ushahidi wa walio ona uongo wa Alla na wakaamini na walio amini sio uongo

Nataka maandiko ya enzi hizo
 
Qur-an 61:14.
'' Enyi mlio amini! Kuweni wasaidizi wa Mwenyezi Mungu,
kama alivyo sema Isa bin Mariamu kuwaambia wanafunzi wake: Nani wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu? Wakasema wanafunzi: Sisi ni wasaidizi wa Mwenyezi Mungu! Basi taifa moja la Wana wa Israili liliamini, na taifa jingine lilikufuru. Basi tukawaunga mkono walio amini dhidi ya maadui zao, wakawa wenye kushinda''
.
Hawa walitiwa nguvu na kupewa maono
 
Unatoa maelezo mengi sio majibu
Weka ushahidi wa watu ambao walianini uongo wa Allah na ambao hawakuamini Yani wale walio andika walicho kiona Isa kasulubiwa
 
Leta ushahidi walioona na mkono wa mungu ukaingilia Kati!!
Mpaka sasa walio ona Isa kasulubiwa ni wakweli na ukweli umekuja baada ya uongo wa Allah 😂😂😂😂 Allah mjinga Sana na muongo
 
Aliwaonesha Miujiz watu hawa kuwa Mungu amemuokowa Yesu na Kifo cha Laana
lakini akawaachia wao wadanganyike ili wapate Hukumu ya dhamira zao na uovu wao .
Kweli dunia ina mambo. Haya ulivyoandika hapa unayaamini?

Halafu huyu Yesu yupo kwenye quran? Otherwise unatakiwa umzungumzie Issa.
 
baada ya uongo wa Allah 😂😂😂😂 Allah mjinga Sana na muongo
Kwa maneno yako haya umeonesha dharau kubwa Kwa Mwenyezimungu (ALlah aliyetakasika na mapungufu yote) kwa kumuita MJINGA na MUONGO.
Sikutarajia ,natamani nione unomba radhi na kujutia kauli hii,
kinyumechake ,mimi nakuhurumia kwani vita vyake Allah huviwezi. Omba toba.
Mimi Sisubutu kumsema vibaya Yesu, wala Mama yake, wala mwingine yeyote.
Hata Miungu ya Uongo ya mabaniani siwezi kuitusi kwa kuheshimu maamuzi yao ya kuabudu.
Nakuhurumia na litakalokufika mimi simo.
 
Kweli dunia ina mambo. Haya ulivyoandika hapa unayaamini?

Halafu huyu Yesu yupo kwenye quran? Otherwise unatakiwa umzungumzie Issa.
Hebu nikuulize Huyu Yesu hasa Jina lake ni lipi?
Jesus
Yesso
Emanueli,
Mungu pamoja nasi,
Jasasa
au lipi?
Maana Muhammad ana jina Mojakuu kwa Lugha zote, Kwa nini Huyu Yesu abadilishwe jina kwa kila Lugha?
 
Allah is nothing ni 😈 devil
 
  1. Kuhusu tukiola Yesu/Issa kuzaliwa bila ya Baba ,balializaliwa kwa nguvu za Mungu Tunakubaliana Waislamu na Wakiristo.
  2. Kuhusu kitabu cha Yesu kuitwa Injili hakuna tofauti kati yetu.
  3. Kuhusu Kupaa kwenda Mbinguni ,tunakubaliana sote.
  4. Kuhusu Kurejea siku za karibu na Mwisho wa dunia tunakubaliana.
  5. Kuhusu Utukufu aliopewa na Mungu na uwezo wa Kufufuwa wafu, kuponesha wagonjwa, kutowa mapepo tunakubaliana.
  6. Tumetofautiana kwenye kusulubiwa,kufa na kufufuka kwa Yesu.
  7. Sisi waislamu tunasema Yesu Si Mungu lakini pia Hakusulubiwa, Hakuuwawa na kwa hiyo Hakufufuka bali alipishwa mawinguni na Mungu yuko hai hadi leo Mbinguni.
  8. Nyinyi munadai Yesu Ni Mungu kisha Munaamini kuwa Kasulubuwa, Kauwawa, Kisha Kafufuka.
Ukichunguza utaona kuwa Wale wanao dai kuwa Yesu ni Mungu ndio wangekubali kuwa Mungu Hawezi kufa, wala kusulubiwa na viumbe wake.
Lakini wale wanaoaminikuwa Yesi ni Mwanadamu ndio wangeliamini kuwa Yawezekana Kufa, kusulubiwa na Kufufuka kwa kuwa ni kiumbe . Naomba uzingatie kitendawili hiki na Maajabu haya ya Mungu wetu mwenye Upendo.

Warumi 1: 23 Wakauacha utukufu wa Mungu aishiye milele wakageukia sanamu zinazofanana na mwanadamu ambaye hufa, na ndege na wanyama na viumbe vitambaavyo.
 
Warumi 1: -5 Lakini kwa sababu ya ugumu na ukaidi wa moyo wako usioku bali kutubu, unajiwekea ghadhabu kwa siku ile ambapo ghadhabu ya Mungu na hukumu yake ya haki itadhihirishwa. 6 Siku hiyo, Mungu atamlipa kila mtu kulingana na matendo yake. 7 Wale ambao hutenda wema wakati wote na kutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyo haribika, Mungu atawapa uzima wa milele. 8 Lakini wote watafu tao kujinufaisha, wanaokataa kweli na kufuatauovu, watapokea ghadhabu na hasira ya Mungu. 9 Kwa maana kila binadamu atendaye uovu atapata mateso na shida, kuanzia kwa Myahudi na kisha kwa mtu wa mataifa mengine. 10 Lakini Mungu atawapa utukufu, heshima na amani wote watendao mema; Wayahudi kwanza na kisha watu wa mataifa mengine. 11 Kwa maana Mungu hana upendeleo.

Ukichunguza sana Hekima za Mungu utakufuru, bora ukubali matokeo.
Hiviunadhani kulikuwa nahaja gani Mungu kumleta Yesu bila ya baba ?
Mayahudi hadi leo wanasema Yesu ni Mtoto wa Nje ya Ndoa. WanakataaUweza wa Mungukuumba pasi na Mbeguza kiume.
Karibu katika Uislamu Usome Qur-an upate kufaidika na kulinganisha Mandiko - Hutajuta kamwe.
 
Allah is nothing ni 😈 devil
Nafuta mikono yangu kwako,
Nakusubiri Kwenye Uislamu kwa haraka,
Naomba Maono utakayoyapata uje hapa unisimulie kwa ukweli kabisa bila kudanganya.
ALlah akusamehe kwani hujui uyasemayo, na akuongoze katika nia sahihi ili ujuwe ukweli wayale yaliyo fichikana kwako.
 
Allah ni Lucifer ndio alimpa Muhammad mafunuo na kikubwa ilikuwa kumpinga Yesu
Ndio maana unakuta aya za mapepo demons surah nzima ndani ya Koran , kumbuka demons ni wasaidizi wa shetan
 
Hebu nikuulize Huyu Yesu hasa Jina lake ni lipi?
Jesus
Yesso
Emanueli,
Mungu pamoja nasi,
Jasasa
au lipi?
Maana Muhammad ana jina Mojakuu kwa Lugha zote, Kwa nini Huyu Yesu abadilishwe jina kwa kila Lugha?
Moses analo jina lake kiebrania lakini tunamuita Musa, David tunamwita Daudi, Elijah tunamwita Eliya nk kwahiyo hapo hamna kipya. Kila lugha ina namna yake ya matamshi. Tanzania yenyewe inaitwa Tanzanie ukienda pale France.
 
Yesu Kristo wa Nazareth sio Issa wa kwenye quran. Kwanini mnapenda kulazimisha? Quran haina utambulisho wa kujitegemea mpaka ihusishwe na biblia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…