Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Tangu nmeanza kukuuliza maswali yangu hakuna hata moja ulojibu unazurura tu na kuleta hivo vionjo vyako
Basi usipate shida kama hujapata majibu hapa jaribu kuongea na allah au endelea kumswalia kipenzi chake muhammad ambaye hata allah anamuombea.
 
Hivi nyie mlioumbwa na Mwenyezi Mungu,siku mtakaporudi kwake halafu mkakutana naye,mkamwambia sisi hatukutambua siyo uliyotuumba,aliyeetuumba Yesu,mnategemea adhabu yenu itakuwaje?
 
Hivi nyie mlioumbwa na Mwenyezi Mungu,siku mtakaporudi kwake halafu mkakutana naye,mkamwambia sisi hatukutambua siyo uliyotuumba,aliyeetuumba Yesu,mnategemea adhabu yenu itakuwaje?
Nyie ndio mnatakiwa kuwa na mashaka makubwa maana muhammad hakurudi kuwaambia kama ahera ipo na mtakuwa mnafanya ngono kama alivyowaahidi. Alizikwa na akaoza.

Sisi Yesu Kristo alirudi na kaburi li wazi, tunajua tunapoenda.
 
Basi usipate shida kama hujapata majibu hapa jaribu kuongea na allah au endelea kumswalia kipenzi chake muhammad ambaye hata allah anamuombea.
Swali jingine nakuuliza jibu utaamua kuliweka hapa au kubaki nalo. Kama utaamua kukaanalo n vizur kutoa taarifa kwa wanajukwaa kama hutolijibu.

Kabla ya Yesu(Mungu wa wakristo) kuja kuwaokoa wana wa Adam, Mitume ilotangulia (Adam, Noah, Abraham, Musa......) Walikua dini gan?

Je Yesu nae alikua na dini au kwa kua yeye ni mungu( wa wakristo) hakua na dini?
 
Swali jingine nakuuliza jibu utaamua kuliweka hapa au kubaki nalo. Kama utaamua kukaanalo n vizur kutoa taarifa kwa wanajukwaa kama hutolijibu.

Kabla ya Yesu(Mungu wa wakristo) kuja kuwaokoa wana wa Adam, Mitume ilotangulia (Adam, Noah, Abraham, Musa......) Walikua dini gan?

Je Yesu nae alikua na dini au kwa kua yeye ni mungu( wa wakristo) hakua na dini?
Dini ni jitihada za mwanadamu kumtafuta Mungu na kutimiza ile kiu ya kuabudu iliyopo ndani ya mtu.

Sasa hao manabii wa kale hawakuhitaji dini kwasababu tàyari walikuwa na mahusiano mazuri na Mungu aliyehai.

Yesu ni Mungu aliyehai hivyo hahitaji dini. Wafuasi wa Yesu Kristo hawahitaji dini kwasababu wanao ushirika (fellowship) au uhusiano (relationship) na Mungu aliyehai. Wafuasi wa Yesu Kristo wapo ndani ya kanisa la waamini wote kama mwili wa Kristo.

Waislamu, wabudha, nk ni watu wa dini, wapo kwenye searching. Bado wana kiu ya kumjua Mungu. Mpaka watakapompokea Yesu Kristo na kupata msamaha wa dhambi ndipo watapata pumziko.
 
Haha sawa

Naamini sasa mnamacho ila hamuoni,mnamasikio ila hamsikii mioyo yenu inadoa jeusi

Allah katika uumbaji wake amedhihirisha ukuu wake ila watu mmekua vipofu na viziwi
Leo ngoja nkuongezee maarifa kiasi

Allah amemuumba binadamu kwa namna nne

1. Allah kamuumba binadamu kutokana na udongo(hapa binadamua hakua na baba wala mama): Adam

2. Allah kamuumba binadamu kutoka kwa baba pekee.; Hawa/Eve

3. Allah kamuumba binadamu kutokana na baba na mama(akina sisi).

4. Allah kamuumba binadamu kutoka kwa mama pekee; Yesu/Issa.

Ukiwa smart utakaa chini ujitafakari njia unayoipita kama n sahihi au la.
ulishawahi kujiuliza kwanini Issa atarudi tena na hakufa ila mtume Mohammed amekufa na hatarudi.

Halafu wakati huo huo unaamini Mohammed ni mkuu kuliko Issa !
 
ulishawahi kujiuliza kwanini Issa atarudi tena na hakufa ila mtume Mohammed amekufa na hatarudi.

Halafu wakati huo huo unaamini Mohammed ni mkuu kuliko Issa !
Muhammad kama walivo mitume wengne waliomtangulia(Adam, Moses, Noah, Abraham..... ) Walikufa hivo hawawezi kurud ad siku ya mwisho.

Yesu/Issa hakufa msalabani kama mnavofikiria na kwakua Mnamsingizia yeye n Mungu wenu hivo atarud kuthibitisha na kuwakana kwamba yeye sio munguwenu ila mnamsingizia kisha Nafsiyake itaonja umauti kama Allah alivoahid katika Qur'an Tukufu

IMG_20220626_224105_1.jpg
 
Kubali biblia ipo sahih kuliko MAANDIKO Yako ndio tuendelee
Ipo sahihi kwa kujaza pumba.

Kristo=laana
Shetani=laana
Kristo=Shetani
Tunaendelea kama kawaida haukutupa jibu kutoka kwenye biblia

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
 
Ndio ni viumbe ambavyo vimesha hukumiwa , na ndio vyenyewe vikaandika Koran 😂😂😂😂😂

Mmoja wapo huyu hapa kalaaniwa​

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
 
Nyie wafuasi wa allah hilo suala la uungu wa Yesu Kristo tumeshawaandikia sana ila mmegoma kuelewa.

Najua ni vigumu sana kuelewa kwasababu nyie ni watu wa mwilini na mnaamini mkifa basi hadi ahera mtakuwa mnafanya ngono.

Nyinyi watu kweli akili zenu zero. Mtu aliyelaaniwa atakuaje Mungu? Muwe mnaakili mara moja moja​

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
 
Mtume Paulo aliyaomba makanisa ya Rumi, Efeso na lile la Korintho yamuombee ili injili iweze kufika mbali zaidi kwa kinywa chake.

Alipomaliza huduma aliaga katika barua kwa Timotheo kwamba ameilinda imani na kwamba anaenda zake kwenye taji aliyowekewa.

Mtume Petro naye alikumbusha kuombea huduma na alipomaliza aliwaambia waumini kwamba wakati umefika kwake kuondoka tena itakuwa kutundikwa juu ya msalaba kichwa kikiwa chini na miguu juu.

Hawa wote wawili walikuwa na furaha na kuondoka duniani kwa uhakika na ushindi. Walikuwa wakiwasisitiza waumini wafuate mfano wao.

Sasa nashangaa kuna nabii eti ni wa mwisho na ndio mkuu kwa wote lakini mpaka sasa anaombewa akiwa amefariki.

Alikwama wapi na nini kimemfanya yeye asiwe na uhakika wa kuingia mbinguni mpaka aendelee kuombewa?
Takbiiir
 
Kwahiyo wewe ulipotubu jana basi sasa hivi unajiachia mpaka mwakani tarehe kama hizi?

Yesu Kristo ni Mungu aliyehai.

Shida huyu mnamfuata kwenye kitabu amelaaniwa kama shetani​

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
 
Mtu muongo na mpotoshaji anayejiita mtume ni mmoja tu, muhammad s.a.w
Muhamad Hakuja kwa jina la yesu, wala hakusemapo kuwa yesu ni Kristo.
Unabii huu unawahusu wakiristo nyinyi kwa nyinyi -tafadhali usipotoshe maana ya andiko, Ona aibu na Muogope Mungu.
 
alitukomboa kutoka katika laana ya sheria
Anaye sema sheria ya Torati ni laana, huyo , mtu huyo anataka kuishi kiholela pasi na Sheria(free will)
Hilo hakuna unalotaka ni kuishi bila kanuni na sheri, tena bila shuruti.Kwa hiyo Theory ya kuto tii sheria ni Kukubali kuasi maelekezo ya Mungu.
Msikilize yesu anafundisha hivi
Luka 18 :18 Yesu akamwambia, Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, naye ndiye Mungu. Wazijua amri; Usizini, Usiue, Usiibe, Usishuhudie uongo, Waheshimu baba yako na mama yako.........
 
Utasemaje kuwa Sheria za Torani na Manabii ni Laana ,wanaosema hivyo hao wenyewe wamelaaniwa na ni makristo wa Uongo, wapotoshaji .Wanaompinga Yesu mwenyewe.

Paulo hakuwahi kuishi na Yesu wala hakuwa mwnafunzi wa Yesu,Iweje leo Mtu aliozuka tuu adai Unabii wakati hakusomeshwa na Mwalimu ?
Huyu Pulo ndiye aliye kuja na Fikra za Kiyunani na Kirumi dhidi ya Mafundisho sahihi ya Yesu.

Akajiita Mtume wa Mataifa ,na wakiristo wote wanaomwita Yesu Mungu na kusema Torati ni Laana, na kudai kuwa hawafungwi na sheria hutumia maandiko ya Paulo.

Mathayo 5:17 BHN​

“Msidhani kuwa nimekuja kutangua sheria na mafundisho ya manabii. Sikuja kutangua bali kukamilisha.
 
Muhamad Hakuja kwa jina la yesu, wala hakusemapo kuwa yesu ni Kristo.
Unabii huu unawahusu wakiristo nyinyi kwa nyinyi -tafadhali usipotoshe maana ya andiko, Ona aibu na Muogope Mungu.
Mitume wote pamoja na manabii ni uzao wa Abraham, Isaac and Jacob (Israel). Nashangaa sana nyie mnamuita muhammad mtume wakati katokea kwa Ishmael. Nitajie nabii yoyote wa kale aliyetokea kwa Ishmael.
 
Dini ni jitihada za mwanadamu kumtafuta Mungu na kutimiza ile kiu ya kuabudu iliyopo ndani ya mtu.

Sasa hao manabii wa kale hawakuhitaji dini kwasababu tàyari walikuwa na mahusiano mazuri na Mungu aliyehai.

Yesu ni Mungu aliyehai hivyo hahitaji dini. Wafuasi wa Yesu Kristo hawahitaji dini kwasababu wanao ushirika (fellowship) au uhusiano (relationship) na Mungu aliyehai. Wafuasi wa Yesu Kristo wapo ndani ya kanisa la waamini wote kama mwili wa Kristo.

Waislamu, wabudha, nk ni watu wa dini, wapo kwenye searching. Bado wana kiu ya kumjua Mungu. Mpaka watakapompokea Yesu Kristo na kupata msamaha wa dhambi ndipo watapata pumziko.

Mkuu champion umetisha. Ubarikiwe
 
Unahoji kitoto sana, mpaka akabadilishwa ujue huyo hakuwa tena Isa bali alikuwa wa kufanana naye, hili kwa Allah ni dogo sana. Hakuwa Isa bali afananizwa, kwahiyo anajua Allah. Sababu Allah akitaka jambo liwe linakuwa tu.

Alitaka iwe hivyo, na huenda pia hakuumizwa pia.

Naam, hata ingekuwa zaidi ya miaka elfu hiyo pia siyo hoja sababu Allah anafanya jambo kwa hekima zake.
Kisai kazi ya uongo ni ya Lucifer yeye ndie baba wa uongo na kweli haimo ndani yake
Mjinga ni wewe ,kwa sababu Wana wa israeli waliletewa manabii wengi mno ,lakani wakawa wakaidi na wengine wakawaua.
Sasa wewe unasema ninikuhusu kosa hili la kuu mitume?
Hii ni sifa mbaya kwa waisraeli waovu tokea zama hizo, japo sio wote ,lakini wengi wao ni wakorofi, wewe unawatetea nini ?
Au umefurahia kuuliwa kwa Yesu?
Umeingizwa kingi mkuu.

Unaenda Kuzini nini na wanawake wachafu ndio maana unazingatia Hadithi hii?
Hi ndio hivyo
Kwa ni sayansi ndogo Sana ya nyama kuoza Muhammad alikuwa hajui 😂😂😂😂
 
Sasa kati yenu na Yesu nani mjuzi zaidi mpaka yeye awe hajasema kuwa nu mungu mje nyinyi kusema kuwa ni mungu...?

Sasa akili mmepewa bure zitumieni vizuri.
Kisai issue ya Allah kudanganya ni anajitambusha kabisa yeye ni Lucifer, uzuri biblia imeshatujulisha uongo ni kazi ya Allah na watoto wake nyie kina Kisai

Yn 8 neno biblia transaction
44 Ninyi ni watoto wa baba yenu shetani; kwa hiyo mnapenda kufanya maovu kama yeye. Tangu mwanzo yeye alikuwa muuaji na hana uhusiano wo wote na mambo ya kweli; kwa maana hana asili ya kusema lililo kweli. Shetani anapodanganya anadhihirisha asili yake kwa kuwa yeye ni mwongo na ni baba wa uongo.
 
Weka andiko hapa ambapo Yesu anasema yeye ni Mungu.

Hizi ni falsafa za wasomi wenu lakini hakuna andiko sahihi linalosema Yesu ni Mungu.
Yesu anajitambulisha anavyoona inafaa sio wewe binadamu umpangie
Msome Allah anavyo ongea kumtambulisha Yesu kwa kutetemeka

Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
Rev 22:12.“Sikiliza!” Asema Yesu..... 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.

Koran 20:114. Ametukuka Mwenyezi Mungu, Mfalme wa Haki....
Itim 6:15 Kutokea kwake kutafanyika wakati ufaao uliopangwa na Mungu mwenye heri na aliye Mtawala pekee, Mfalme wa wafalme,

Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....
John 14: 6Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uhai.

102. Huyo ndiye Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wenu, hapana mungu ila Yeye, Muumba wa kila kitu...
John1: 3 Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye.

Koran 3:135.....na nani anaye futa dhambi isipo kuwa Mwenyezi Mungu?........
Math 9:6Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo duniani wa kuwasamehe watu dhambi.”....

Koran 22:69. Mwenyezi Mungu atahukumu baina yenu...
Math25:32 Mataifa yote yatakusanyika mbele yake, naye atawatenganisha watu kama mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi.

Koran 59:23. Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana mungu isipo kuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, ....
Luke 4:34“Una nini nasi, wewe Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Ninakufahamu wewe ni nani. Wewe ni Mtakatifu wa Mungu!”
 
Back
Top Bottom