Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
- Thread starter
-
- #541
Basi usipate shida kama hujapata majibu hapa jaribu kuongea na allah au endelea kumswalia kipenzi chake muhammad ambaye hata allah anamuombea.Tangu nmeanza kukuuliza maswali yangu hakuna hata moja ulojibu unazurura tu na kuleta hivo vionjo vyako
Nyie ndio mnatakiwa kuwa na mashaka makubwa maana muhammad hakurudi kuwaambia kama ahera ipo na mtakuwa mnafanya ngono kama alivyowaahidi. Alizikwa na akaoza.Hivi nyie mlioumbwa na Mwenyezi Mungu,siku mtakaporudi kwake halafu mkakutana naye,mkamwambia sisi hatukutambua siyo uliyotuumba,aliyeetuumba Yesu,mnategemea adhabu yenu itakuwaje?
Swali jingine nakuuliza jibu utaamua kuliweka hapa au kubaki nalo. Kama utaamua kukaanalo n vizur kutoa taarifa kwa wanajukwaa kama hutolijibu.Basi usipate shida kama hujapata majibu hapa jaribu kuongea na allah au endelea kumswalia kipenzi chake muhammad ambaye hata allah anamuombea.
Dini ni jitihada za mwanadamu kumtafuta Mungu na kutimiza ile kiu ya kuabudu iliyopo ndani ya mtu.Swali jingine nakuuliza jibu utaamua kuliweka hapa au kubaki nalo. Kama utaamua kukaanalo n vizur kutoa taarifa kwa wanajukwaa kama hutolijibu.
Kabla ya Yesu(Mungu wa wakristo) kuja kuwaokoa wana wa Adam, Mitume ilotangulia (Adam, Noah, Abraham, Musa......) Walikua dini gan?
Je Yesu nae alikua na dini au kwa kua yeye ni mungu( wa wakristo) hakua na dini?
ulishawahi kujiuliza kwanini Issa atarudi tena na hakufa ila mtume Mohammed amekufa na hatarudi.Haha sawa
Naamini sasa mnamacho ila hamuoni,mnamasikio ila hamsikii mioyo yenu inadoa jeusi
Allah katika uumbaji wake amedhihirisha ukuu wake ila watu mmekua vipofu na viziwi
Leo ngoja nkuongezee maarifa kiasi
Allah amemuumba binadamu kwa namna nne
1. Allah kamuumba binadamu kutokana na udongo(hapa binadamua hakua na baba wala mama): Adam
2. Allah kamuumba binadamu kutoka kwa baba pekee.; Hawa/Eve
3. Allah kamuumba binadamu kutokana na baba na mama(akina sisi).
4. Allah kamuumba binadamu kutoka kwa mama pekee; Yesu/Issa.
Ukiwa smart utakaa chini ujitafakari njia unayoipita kama n sahihi au la.
Muhammad kama walivo mitume wengne waliomtangulia(Adam, Moses, Noah, Abraham..... ) Walikufa hivo hawawezi kurud ad siku ya mwisho.ulishawahi kujiuliza kwanini Issa atarudi tena na hakufa ila mtume Mohammed amekufa na hatarudi.
Halafu wakati huo huo unaamini Mohammed ni mkuu kuliko Issa !
Ipo sahihi kwa kujaza pumba.Kubali biblia ipo sahih kuliko MAANDIKO Yako ndio tuendelee
Nyie wafuasi wa allah hilo suala la uungu wa Yesu Kristo tumeshawaandikia sana ila mmegoma kuelewa.
Najua ni vigumu sana kuelewa kwasababu nyie ni watu wa mwilini na mnaamini mkifa basi hadi ahera mtakuwa mnafanya ngono.
TakbiiirMtume Paulo aliyaomba makanisa ya Rumi, Efeso na lile la Korintho yamuombee ili injili iweze kufika mbali zaidi kwa kinywa chake.
Alipomaliza huduma aliaga katika barua kwa Timotheo kwamba ameilinda imani na kwamba anaenda zake kwenye taji aliyowekewa.
Mtume Petro naye alikumbusha kuombea huduma na alipomaliza aliwaambia waumini kwamba wakati umefika kwake kuondoka tena itakuwa kutundikwa juu ya msalaba kichwa kikiwa chini na miguu juu.
Hawa wote wawili walikuwa na furaha na kuondoka duniani kwa uhakika na ushindi. Walikuwa wakiwasisitiza waumini wafuate mfano wao.
Sasa nashangaa kuna nabii eti ni wa mwisho na ndio mkuu kwa wote lakini mpaka sasa anaombewa akiwa amefariki.
Alikwama wapi na nini kimemfanya yeye asiwe na uhakika wa kuingia mbinguni mpaka aendelee kuombewa?
Kwahiyo wewe ulipotubu jana basi sasa hivi unajiachia mpaka mwakani tarehe kama hizi?
Yesu Kristo ni Mungu aliyehai.
Muhamad Hakuja kwa jina la yesu, wala hakusemapo kuwa yesu ni Kristo.Mtu muongo na mpotoshaji anayejiita mtume ni mmoja tu, muhammad s.a.w
Anaye sema sheria ya Torati ni laana, huyo , mtu huyo anataka kuishi kiholela pasi na Sheria(free will)alitukomboa kutoka katika laana ya sheria
Mitume wote pamoja na manabii ni uzao wa Abraham, Isaac and Jacob (Israel). Nashangaa sana nyie mnamuita muhammad mtume wakati katokea kwa Ishmael. Nitajie nabii yoyote wa kale aliyetokea kwa Ishmael.Muhamad Hakuja kwa jina la yesu, wala hakusemapo kuwa yesu ni Kristo.
Unabii huu unawahusu wakiristo nyinyi kwa nyinyi -tafadhali usipotoshe maana ya andiko, Ona aibu na Muogope Mungu.
Dini ni jitihada za mwanadamu kumtafuta Mungu na kutimiza ile kiu ya kuabudu iliyopo ndani ya mtu.
Sasa hao manabii wa kale hawakuhitaji dini kwasababu tàyari walikuwa na mahusiano mazuri na Mungu aliyehai.
Yesu ni Mungu aliyehai hivyo hahitaji dini. Wafuasi wa Yesu Kristo hawahitaji dini kwasababu wanao ushirika (fellowship) au uhusiano (relationship) na Mungu aliyehai. Wafuasi wa Yesu Kristo wapo ndani ya kanisa la waamini wote kama mwili wa Kristo.
Waislamu, wabudha, nk ni watu wa dini, wapo kwenye searching. Bado wana kiu ya kumjua Mungu. Mpaka watakapompokea Yesu Kristo na kupata msamaha wa dhambi ndipo watapata pumziko.
Kisai kazi ya uongo ni ya Lucifer yeye ndie baba wa uongo na kweli haimo ndani yakeUnahoji kitoto sana, mpaka akabadilishwa ujue huyo hakuwa tena Isa bali alikuwa wa kufanana naye, hili kwa Allah ni dogo sana. Hakuwa Isa bali afananizwa, kwahiyo anajua Allah. Sababu Allah akitaka jambo liwe linakuwa tu.
Alitaka iwe hivyo, na huenda pia hakuumizwa pia.
Naam, hata ingekuwa zaidi ya miaka elfu hiyo pia siyo hoja sababu Allah anafanya jambo kwa hekima zake.
Kwa ni sayansi ndogo Sana ya nyama kuoza Muhammad alikuwa hajui 😂😂😂😂Mjinga ni wewe ,kwa sababu Wana wa israeli waliletewa manabii wengi mno ,lakani wakawa wakaidi na wengine wakawaua.
Sasa wewe unasema ninikuhusu kosa hili la kuu mitume?
Hii ni sifa mbaya kwa waisraeli waovu tokea zama hizo, japo sio wote ,lakini wengi wao ni wakorofi, wewe unawatetea nini ?
Au umefurahia kuuliwa kwa Yesu?
Umeingizwa kingi mkuu.
Unaenda Kuzini nini na wanawake wachafu ndio maana unazingatia Hadithi hii?
Hi ndio hivyo
Kisai issue ya Allah kudanganya ni anajitambusha kabisa yeye ni Lucifer, uzuri biblia imeshatujulisha uongo ni kazi ya Allah na watoto wake nyie kina KisaiSasa kati yenu na Yesu nani mjuzi zaidi mpaka yeye awe hajasema kuwa nu mungu mje nyinyi kusema kuwa ni mungu...?
Sasa akili mmepewa bure zitumieni vizuri.
Yesu anajitambulisha anavyoona inafaa sio wewe binadamu umpangieWeka andiko hapa ambapo Yesu anasema yeye ni Mungu.
Hizi ni falsafa za wasomi wenu lakini hakuna andiko sahihi linalosema Yesu ni Mungu.