Kwa hiyo Ismaiel si mzao wa Ibrahimu?Mitume wote pamoja na manabii ni uzao wa Abraham, Isaac and Jacob (Israel). Nashangaa sana nyie mnamuita muhammad mtume wakati katokea kwa Ishmael. Nitajie nabii yoyote wa kale aliyetokea kwa Ishmael.
Amina kubwa mtu wa Mungu.Mkuu champion umetisha. Ubarikiwe
Alizaliwa na Abraham kupitia kijakazi. Hakuwa mrithi wa Abraham. Tena alitengwa na kuondolewa kwenye familia ya Abraham akiwa na miaka 13. Mtoto wa ahadi alikuwa Isaka.Kwa hiyo Ismaiel si mzao wa Ibrahimu?
Mtume Muhammad.Alizaliwa na Abraham kupitia kijakazi. Hakuwa mrithi wa Abraham. Tena alitengwa na kuondolewa kwenye familia ya Abraham akiwa na miaka 13. Mtoto wa ahadi alikuwa Isaka.
Nitajie nabii yoyote aliyetokea uzao wa Ishmael.
Weka andiko ambalo Yesu anasema yeye ni Mungu.Yesu anajitambulisha anavyoona inafaa sio wewe binadamu umpangie
Msome Allah anavyo ongea kumtambulisha Yesu kwa kutetemeka
Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
Rev 22:12.“Sikiliza!” Asema Yesu..... 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
Koran 20:114. Ametukuka Mwenyezi Mungu, Mfalme wa Haki....
Itim 6:15 Kutokea kwake kutafanyika wakati ufaao uliopangwa na Mungu mwenye heri na aliye Mtawala pekee, Mfalme wa wafalme,
Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....
John 14: 6Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uhai.
102. Huyo ndiye Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wenu, hapana mungu ila Yeye, Muumba wa kila kitu...
John1: 3 Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye.
Koran 3:135.....na nani anaye futa dhambi isipo kuwa Mwenyezi Mungu?........
Math 9:6Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo duniani wa kuwasamehe watu dhambi.”....
Koran 22:69. Mwenyezi Mungu atahukumu baina yenu...
Math25:32 Mataifa yote yatakusanyika mbele yake, naye atawatenganisha watu kama mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi.
Koran 59:23. Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana mungu isipo kuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, ....
Luke 4:34“Una nini nasi, wewe Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Ninakufahamu wewe ni nani. Wewe ni Mtakatifu wa Mungu!”
Kuna swali nimekuuliza nitajie watu watano tu walio ona Yesu akisulubiwa. Hujajibu hili swali.Kisai issue ya Allah kudanganya ni anajitambusha kabisa yeye ni Lucifer, uzuri biblia imeshatujulisha uongo ni kazi ya Allah na watoto wake nyie kina Kisai
Yn 8 neno biblia transaction
44 Ninyi ni watoto wa baba yenu shetani; kwa hiyo mnapenda kufanya maovu kama yeye. Tangu mwanzo yeye alikuwa muuaji na hana uhusiano wo wote na mambo ya kweli; kwa maana hana asili ya kusema lililo kweli. Shetani anapodanganya anadhihirisha asili yake kwa kuwa yeye ni mwongo na ni baba wa uongo.
Weka andiko ambalo Yesu anasema yeye ni Mungu.Kisai kazi ya uongo ni ya Lucifer yeye ndie baba wa uongo na kweli haimo ndani yake
Kwa ni sayansi ndogo Sana ya nyama kuoza Muhammad alikuwa hajui 😂😂😂😂
Ukweli utaujua siku utakapokufa,na hutapewa mda wa kuwaambia wenzako sababu mda wako wa kuishi duniani utakuwa umekwisha,Siku utakapoulizwa kaburini Mungu wako nani?Dini yako diniNyie ndio mnatakiwa kuwa na mashaka makubwa maana muhammad hakurudi kuwaambia kama ahera ipo na mtakuwa mnafanya ngono kama alivyowaahidi. Alizikwa na akaoza.
Sisi Yesu Kristo alirudi na kaburi li wazi, tunajua tunapoenda.
Nyie ndio mnatakiwa kuwa na mashaka makubwa maana muhammad hakurudi kuwaambia kama ahera ipo na mtakuwa mnafanya ngono kama alivyowaahidi. Alizikwa na akaoza.
Sisi Yesu Kristo alirudi na kaburi li wazi, tunajua tunapoenda.
Ukiwa ndani ya Yesu Kristo hauhitaji dini. Yeye ni yote katika yote. Kila anayekufa nje ya Yesu Kristo anakuwa na mateso na majuto ya milele.Ukweli utaujua siku utakapokufa,na hutapewa mda wa kuwaambia wenzako sababu mda wako wa kuishi duniani utakuwa umekwisha,Siku utakapoulizwa kaburini Mungu wako nani?Dini yako dini
🤣🤣🤣🤣 Swali mnalikimbia. Tunasema muhammad kaja from nowhere kuwapotosha watu na tunawauliza kuna nabii gani mwingine kabla yake aliyetokea nje ya uzao wa Abraham, Isaac na Jacob (Israel)?Mtume Muhammad.
Ndugu yangu Mungu asingemuumbia mwanadamu bila Dini,hata huyo Yesu alikuta wazazi wake wana Dini na aliabudu kwa kupitia dini ya wazazi wake na mpaka anaondoka hakuihasi dini yake,Ukiwa ndani ya Yesu Kristo hauhitaji dini. Yeye ni yote katika yote. Kila anayekufa nje ya Yesu Kristo anakuwa na mateso na majuto ya milele.
Yesu hajawahi kuwa na dini. Dini ni jitihada za mwanadamu kumtafuta Mungu. Yesu Kristo ni Mungu aliyehai na hahitaji dini. Wafuasi wa Yesu Kristo tunao uhusiano na ushirika na Mungu aliyehai hivyo hatuhitaji dini.Ndugu yangu Mungu asingemuumbia mwanadamu bila Dini,hata huyo Yesu alikuta wazazi wake wana Dini na aliabudu kwa kupitia dini ya wazazi wake na mpaka anaondoka hakuihasi dini yake,
Hivi ndugu yangu tuongee ukweli wa kumuogopa mwenyezi Mungu,Yesu hakuwa kuwa na Dini?Mitume wote wa Mwenyezi Mungu walikuwa wana Dini na ndiyo maana walikuwa hawapingani,na wote wanatoka kwa Ibrahimu ambaye ndiye baba yaoYesu hajawahi kuwa na dini. Dini ni jitihada za mwanadamu kumtafuta Mungu. Yesu Kristo ni Mungu aliyehai na hahitaji dini. Wafuasi wa Yesu Kristo tunao uhusiano na ushirika na Mungu aliyehai hivyo hatuhitaji dini.
Niambie tafsiri yako, dini ni nini?Hivi ndugu yangu tuongee ukweli wa kumuogopa mwenyezi Mungu,Yesu hakuwa kuwa na Dini?Mitume wote wa Mwenyezi Mungu walikuwa wana Dini na ndiyo maana walikuwa hawapingani,na wote wanatoka kwa Ibrahimu ambaye ndiye baba yao
Kwa hiyo Mungu wa Ibrahim ambaye ndiye Yesu kwa mujibu wa mitazamo yenu alimtenga Ishamael mwana wa Ibrahim kwa Hajira na kumfukuza? Au hayo ni maoni yako tuu binafsi?Alizaliwa na Abraham kupitia kijakazi. Hakuwa mrithi wa Abraham. Tena alitengwa na kuondolewa kwenye familia ya Abraham akiwa na miaka 13. Mtoto wa ahadi alikuwa Isaka.
Nitajie nabii yoyote aliyetokea uzao wa Ishmael.
Mungu wa Abraham, Yesu Kristo alimuahidi mtoto atakayekuwa mrithi wake kupitia kwa mke wake Sarah.Kwa hiyo Mungu wa Ibrahim ambaye ndiye Yesu kwa mujibu wa mitazamo yenu alimtenga Ishamael mwana wa Ibrahim kwa Hajira na kumfukuza? Au hayo ni maoni yako tuu binafsi?
Sasa nimekimbia swali vipi na umeuliza nabii gani ametokea katika uzao wa Isamili nimekutajia Muhammad, sasa swali limekimbiwa kivipi ?🤣🤣🤣🤣 Swali mnalikimbia. Tunasema muhammad kaja from nowhere kuwapotosha watu na tunawauliza kuna nabii gani mwingine kabla yake aliyetokea nje ya uzao wa Abraham, Isaac na Jacob (Israel)?
Swali zuri hata sisi pia sote tulikuwepo, kwahiyo hii si hoja.Kila saa mnarudia hili swali. Tunawajibu tena mnalirudia.
Yesu Kristo ni Mungu, pata kio kionjo kidogo hapa akijieleza:
Yokaokohana 17:5 SUVk
Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako