ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Kwenye Uislamu wema hauishi hata mtu akifa , kama alisomesha watu utanufaika mpaka wale watu waishe wote, huku ni rahaa tupuu, Mtume Mohamadi kafundisha watu tutamtakia imani mpaka waislamu wote waisheMnamtakia Aman mfu marehemu?
Hizo kumtakia Aman zinamsaidia nn?
Kama alikufa katika dhambi ,asubiri Moto wa jehanum
Maswali yangu umeyaona? narudia hili moja labda unaweza elewa , kwanini Mungu aliendelea kumbariki Yakobo pamoja na kutumia njia za uongo? inakuwaje ubatili ulete jambo jema? aya jibuKama umesoma Ile habari vizuri utagundua Isaka alikuwa anampenda Esau zaidi ya Yakobo. Ndio maana mama akaamua kusaidia kumdanganya kwasababu yeye alikuwa anampenda Yakobo.
Baraka za Mungu zinamfikia mtu aliye na haki. Tena Mungu alimchukia Esau kwa kuuza haki yake kwa mlo mmoja.
Mungu makemeo yake tayari yapo kwenye neno, hahitaji kuja leo specifically amkemee mtu. Ukisoma neno utapata maelekezo na makemeo.
Litaje Hilo dhehebu katika Shia ,Sunni na hayo mengine 70+Dhehebu pekee linalo kiri kuwa Allah hana mshirika , hakuzaa wala hakuzaliwa, Mohamadi ni mtume wa Mungu na Issa bin Maryamu ni nabii tu wala sio Mungu, hili ndio dhehebu la kufata, swali jingine?
Huo wema unamsaidia nn ikiwa hakutubu?Kwenye Uislamu wema hauishi hata mtu akifa , kama alisomesha watu utanufaika mpaka wale watu waishe wote, huku ni rahaa tupuu, Mtume Mohamadi kafundisha watu tutamtakia imani mpaka waislamu wote waishe
Unamsaidia sana maana tunaendelea kufundisha na kumuombea dua, hivyo thawabu tunazo pata na yeye anapataHuo wema unamsaidia nn ikiwa hakutubu?
Anapata nn marehemu ?
Kuna wale wanakufa halafu wanafufuliwa na akina gwajima na bushiri, wale siku wanakufa mara ngapi?Hakika mkuu, huu ni ukweli unaodumu milele. Imeandikwa mtu anakufa mara moja na baada ya hapo ni hukumu.
Wote hao wanakubali kuwa Allah hana mshirika hakuzaa wala hakuzaliwa, Mohamadi ni nabii wa Mungu, Isa bin maryamu ni nabii sio Mungu, hivyo yote hayo yako sawa , swali jingine?Litaje Hilo dhehebu katika Shia ,Sunni na hayo mengine 70+
ACHA kudanganywa ukifa hujatubu na kuungama ,imeisha hiyoUnamsaidia sana maana tunaendelea kufundisha na kumuombea dua, hivyo thawabu tunazo pata na yeye anapata
Kama wanakubaliana kipi kinachowafanya watofautiane ?Wote hao wanakubali kuwa Allah hana mshirika hakuzaa wala hakuzaliwa, Mohamadi ni nabii wa Mungu, Isa bin maryamu ni nabii sio Mungu, hivyo yote hayo yako sawa , swali jingine?
Haki ya mzaliwa wa kwanza aliipata kihalali hivyo ndio maana akapata na baraka zake.Maswali yangu umeyaona? narudia hili moja labda unaweza elewa , kwanini Mungu aliendelea kumbariki Yakobo pamoja na kutumia njia za uongo? inakuwaje ubatili ulete jambo jema? aya jibu
Yasio kuhusu achana nayo broo we elewa ivyo ivyo na sisi acha tumuombee huyo wetu kwani we unaumiaMtume Paulo aliyaomba makanisa ya Rumi, Efeso na lile la Korintho yamuombee ili injili iweze kufika mbali zaidi kwa kinywa chake.
Alipomaliza huduma aliaga katika barua kwa Timotheo kwamba ameilinda imani na kwamba anaenda zake kwenye taji aliyowekewa.
Mtume Petro naye alikumbusha kuombea huduma na alipomaliza aliwaambia waumini kwamba wakati umefika kwake kuondoka tena itakuwa kutundikwa juu ya msalaba kichwa kikiwa chini na miguu juu.
Hawa wote wawili walikuwa na furaha na kuondoka duniani kwa uhakika na ushindi. Walikuwa wakiwasisitiza waumini wafuate mfano wao.
Sasa nashangaa kuna nabii eti ni wa mwisho na ndio mkuu kwa wote lakini mpaka sasa anaombewa akiwa amefariki.
Alikwama wapi na nini kimemfanya yeye asiwe na uhakika wa kuingia mbinguni mpaka aendelee kuombewa?
1. Wote wanakubali kuwa Allah ni MunguKama wanakubaliana kipi kinachowafanya watofautiane ?
Na hiyo uliyotaja sio mising ya uislamu
Hizo Ni sababu zako binafs
Sina uhakika na hao unaowataja kwasababu sijafuatilia kwa karibu kujua details zao.Kuna wale wanakufa halafu wanafufuliwa na akina gwajima na bushiri, wale siku wanakufa mara ngapi?
Au wao hili andiko haliwahusu?
Swadakta kabsaUkiwa huna uhakika na unachoandika ni BORA KUTOANZISHA UZI....
kwenye Uislam ukisikia anatajwa Mola Mlezi utasikia kwa mfano Allah Subhanah Wataala, akitajwa Mtume utasikia Rehema na Amani ziwe juu yake, wakitajwa mitume wote waliobakia aliwemo mtume wa Allah Issah utakisikia Alayh Salam, wakitajwa maswahaba utasikia Radhiallah Anhu, Waja wema waliotangulia Rahmahullah au waliopo HAI utasikia hafidhallah
Kwa hiyo siyo kweli UNACHOKISEMA KUWA KWENYE UISLAM MTUME ANAOMBEWA MSAMAHA.....
MOLA MLEZI ameweka utaratibu wa kumtukuza YEYE kila anapotajwa au unapotaja jina la Mola Mlezi, kuwatakia salama na amani Waja wema waliotangulia kwa maana waliishi na kumridhisha YEYE na YEYE amewaridhia na wanaombewa mpaka na malaika...
KINYUME CHAKE kwa kila aliyeishi kwa UJABARI NA KUMUASI MOLA MLEZI KAMA FIRAUNI na wote wanaomfuatia basi utasikia yakitamkwa MKASIRIKO YA MOLA MLEZI NA KUWEKWA MBALI NA REHEMA ZAKE baada ya majina yao!!!!
Kwa aliye hai ataombewa UONGOFU ila akifa mwanadamu kati uasi basi hadi Malaika watamwombea Makasiriko ya Mola Mlezi....
HUJAWAHI ONA MTU ANAFARIKI NA WATU WANAFURAHI KUWA WATAPUMZIKA KUTOKANA NA MAUDHI AU DHULMA ZAKE???? Au MWINGINE ANAFARIKI KILA YUALIA KUTOKANA NA WEMA WAKE KWA WATU???
Basi jua vivyo hivyo kwa wanadamu na Mailaka kumwombea aliyefariki au hata aliye HAI...
Hili ni swali kwa ajili ya kujifunza na kufundisha watu wasihusike na ibada za wafu.Yasio kuhusu achana nayo broo we elewa ivyo ivyo na sisi acha tumuombee huyo wetu kwani we unaumia
Maombezi sio jambo la kukurupuka, ni matokeo ya kazi nzuri uliofanya duniani, kama mtoto dini ulikuwa unaacha kumuelekeza sasa atakuombea vip dua? ukiona watu wanaomba dua ujue ni matokeo ya kazi nzuri za hao watu walipokuwa duniani, kama mimi namuombea sheikh wangu kwa kunipa elimu hii murua kabisa, ukiona vyaelea vimeundwaACHA kudanganywa ukifa hujatubu na kuungama ,imeisha hiyo
Yaan ufanye upuuz duniani utegemee ukifa uombewe Aman na rehema ? Yaan uende mbinguni kwa lift?
Haya mafundisho Ni ya mashetan ,muasisi Ni Roman Catholic , wao wanaita purgatory
NDIO maana ukichunguza kwa jicho la 3
Utagundua Uislamu ULIANZISHWA na Roman Catholic
Uhalali uko wapi kijana wakati mtoa baraka kadanganywa ? au hujui mzee Isiaka alilalamika kudanganywa, yaani wewe haki iwe yako halafu utumie uongo kuipata uko serious kweli!!!Haki ya mzaliwa wa kwanza aliipata kihalali hivyo ndio maana akapata na baraka zake.
Kijana baraka inatoka kwa Mungu, Isaka alikuwa channel tu ya kupitishia ndio maana hakuwa na namna ya kumbariki Esau baada ya Yakobo kuchukua nafasi. Isaka hakulalamika popote, alishangaa tu na nadhani hakuwa na taarifa kwamba Esau alishauza haki yake.Uhalali uko wapi kijana wakati mtoa baraka kadanganywa ? au hujui mzee Isiaka alilalamika kudanganywa, yaani wewe haki iwe yako halafu utumie uongo kuipata uko serious kweli!!!
Baraka inatoka kwa Mungu kupitia baba mzazi, sasa baba mzazi tayari alishadanganywa na akatoa baraka kwa kudanganywa, maana yake process nzima imejaa ubatili na baraka zimejaa ubatili, vip Mungu atie mkono wake kwenye ubatili wa namna hii?Kijana baraka inatoka kwa Mungu, Isaka alikuwa channel tu ya kupitishia ndio maana hakuwa na namna ya kumbariki Esau baada ya Yakobo kuchukua nafasi. Isaka hakulalamika popote, alishangaa tu na nadhani hakuwa na taarifa kwamba Esau alishauza haki yake.
Rudi hapa kwenye komenti yako. Watu wamechoka kuombea wafu.Uduni wa wachangiaji ni ishara kuwa mleta mada umefeli kwenye lengo lako.......watu wamekausha tu wanaendelea na mambo mengine. Kajipange tena!