Kigugumiza
JF-Expert Member
- Mar 7, 2022
- 508
- 687
Wengine waliangamizwa kwa ukelele tu,na walikuwa na mamili makubwa, watu wa Tamudi leo aje apigwe mijeledi kwa lipi hasa,kweli watu wanadanganywa sanaAhahaha acha tu , Mungu anatemewa mate
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine waliangamizwa kwa ukelele tu,na walikuwa na mamili makubwa, watu wa Tamudi leo aje apigwe mijeledi kwa lipi hasa,kweli watu wanadanganywa sanaAhahaha acha tu , Mungu anatemewa mate
Wameichezea sana hiyo Biblia tofauti naQuruaniNeno la Mungu kamilifu lipo kwenye biblia takatifu.
Nani ni Nuru ya ulimwengu wote ?Aliyekudanganya kuwa tunamuombea Mtukufu wa Daraja na Nuru ya Ulimwengu wote ni nani?
Uislamu upi huo Shia ,au ahamadiya? Au sunniHakuna kitu kama hicho,kalibu kwenye Uisilamu upate Elimu ya kweli isiyokuwa na kupingana,inamaana ili wewe umsamehee mjukuu wako badala ya kumtandika fimbo badala yake yeye ndiye anayekutandika.Huo siyo upendo ili ujinga na usitarajie huyo mjukuu kama atakuheshimu tena
Tuleteeni biblia orijino ambayo haikuchezewa.Wameichezea sana hiyo Biblia tofauti naQuruani
Hakika waliokufuru, ni sawasawa juu yao, ukiwaonya ama usiwaonye, kamwe hawatoamini.Wewe uko upande upi hapo? Nabii wako ndio bado unamuombea aingie mbinguni?
Yesu ni njia, kweli na uzima.Hakika waliokufuru, ni sawasawa juu yao, ukiwaonya ama usiwaonye, kamwe hawatoamini.
Kwahiyo mungu anakufa? Maana siku ya ijumaa kuu yesu alikufa kwahiyo siku hiyo duniani mungu hakiwepo?
Mungu ana kanuni na utaratibu wake na kimsingi ulimwengu wa roho una utaratibu .Nimecheka sana,Mungu aliyeumba milima,bahari, wanyama wakubwa kama nyangumi anamuogopa binadamu aliyemuumba, wakati vizazi viliyopita alikuwa anatuma Malaika wake tu wakaviteketeze
Yesu aliishi Africa alipokuwa mtoto.Bwana we hizi injili mnahubiri daily mmezitoa wap? Mbona ktk zile barua zake za makanisa7 hakuna hata moja iliyo watag watu wa bara la africa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Do you know why?, sababu ni kuwa hizo dini ni biashara na mifumo ya watu weupe wa Asia, ulaya na marekani, ninyi watu weusi kihele hele cha kupokea hayo mainjili feki ndiko kunapelekea umasikini kuendelea kukua africa.
Fundisha watu elimu hata ukifa watakukumbuka na kukuombea, sasa wewe fundisha watu kula unga utalaaniwa hata ukiwa kaburiniIbada za wafu.
Ndio anaweza,lakini nimekutajia sifa za Mungu mwenye vyote,Kwa uelewa wako Mungu anaweza kuwa zaidi ya sehemu moja kwa wakati mmoja ?
Sasa hapa kuna shida gani ? ulitaka Mungu awaache wamuue Nabii ? ndio aliwachezea mboni zao wakaishia kuuana wenyewe , maana wote walikuwa na nia ovu
Nimekuwekea nakili ya quran hapo juu umekimbia kujibu.Fundisha watu elimu hata ukifa watakukumbuka na kukuombea, sasa wewe fundisha watu kula unga utalaaniwa hata ukiwa kaburini
Aisee, kweli mioyo yenu imejaa giza.Sasa hapa kuna shida gani ? ulitaka Mungu awaache wamuue Nabii ? ndio aliwachezea mboni zao wakaishia kuuana wenyewe , maana wote walikuwa na nia ovu
Wew ndo umeongea vema kbs Mungu hafananishwi na kiumbe chochote,Mungu hakuzaliwa,Mungu hazai,Mungu hanamfano wa kitu au hana sura,Mungu hafi,Mungu hanamshrika yaani yuko peke yake.Sasa sijui Yesu hapo anaingia vipi?
Nimeshajibu kuwa wote walikuwa waovu, ni halali kuchezewa mboni zao kisha wamalizane wenyewe, Mungu akitaka kusafisha mtaa anazo mbinu na jeshi kubwaNimekuwekea nakili ya quran hapo juu umekimbia kujibu.
ll anaweza,lakini nimekutajia sifa za Mungu mwenye vyote
Kama unakubaliana na hilo kumbe Mungu anaweza kuwepo mbinguni na duniani kwa wakati mmoja ?Ndio anaweza,lakini nimekutajia sifa za Mungu mwenye vyote,
Yaani wewe umtangaze Mungu kufanywa ndafu msalabani halafu unashangaa mambo ya kawaida , hivi nyie mko sawa sawa kweli, umesahau hata Yakobo alibarikiwa na Mungu pamoja kuwa alitumia uongo kupata baraka kutoka kwa baba yake IsiakaAisee, kweli mioyo yenu imejaa giza.