Kwa kukuongezea Mungu hakuzaliwa wala hakuzaa,wala hafi,Sasa nikuulize hizo sifa Yesu anazo?
Ngoja Allah akurajie sifa za Mungu na Yesu anajitaja mwenyewe
Koran 57:3. Yeye ndiye wa
Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
Rev 22:12.“Sikiliza!”
Asema Yesu, “Naja upesi pamoja na tuzo nitakalompa kila mmoja kufuatana na matendo yake.
13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”
Koran 24:35.
Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “
Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
Koran 20:114. Ametukuka
Mwenyezi Mungu, Mfalme wa Haki....
Itim 6:15 Kutokea kwake kutafanyika wakati ufaao uliopangwa na Mungu mwenye heri na aliye Mtawala pekee,
Mfalme wa
wafalme,
Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi
Mungu ndiye Wa Kweli,....
John 14: 6
Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na
ukweli na uhai.
102. Huyo ndiye
Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wenu, hapana mungu ila Yeye,
Muumba wa kila kitu...
John1: 3 Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa;
hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye.
Koran 3:135.....na nani
anaye futa dhambi isipo kuwa
Mwenyezi Mungu?........
Math 9:6Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu
anao uwezo duniani wa kuwasamehe watu dhambi.”....
Koran 22:69. Mwenyezi Mungu atahukumu baina yenu...
Math25:32 Mataifa yote yatakusanyika mbele yake,
naye atawatenganisha watu kama mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi.
Koran 59:23. Yeye ndiye
Mwenyezi Mungu ambaye hapana mungu isipo kuwa Yeye tu. Mfalme,
Mtakatifu, ....
Luke 4:34“Una nini nasi, wewe
Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Ninakufahamu wewe ni nani. Wewe ni
Mtakatifu wa Mungu!”