Shida Yako kubwa ni kutokujua dini Yako, Allah anasema atachukua dhambi za waislamu awabebeshe wakristo na wayahudi, unamdhalilisha Sana Allah 😂😂😂😂😂😂Sio amewakomboa. Amelaaniwa. Usitake kuipinga biblia hadharani.
Yeye na shetani wote wamelaaniwa. Yeyote anayetundikwa msalabani amelaaniwa. Kila mtu atabeba dhambi zake mwenyewe.
Kosa afanye Adam mimi niwajibike. Hizi bangi mnazovuta sio mchezo. Nakuongezea Ezekieli 18:20. Hakuna mtu anabeba maovu ya mwingine.
Sijaweka maneno matupu Bali maandiko.
Angalia kwenye biblia. Usije kusema nimetunga😀
Soma
Muslim and narrated by Abu Moosa al-Ash’ari that the Prophet said: “There would come people amongst the Muslims on the Day of Resurrection with as heavy sins as mountains, and Allah would forgive these sins for them and place them on the Jews and the Christians.”