Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
- Thread starter
- #461
Hapa vijana wa muhammad na allah wanapita kimyakimya, mungu wao kapiga bonge moja la uongo.View attachment 2272937
Haya Qur'an 4:157-158
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa vijana wa muhammad na allah wanapita kimyakimya, mungu wao kapiga bonge moja la uongo.View attachment 2272937
Haya Qur'an 4:157-158
Ukweli uko wapi ?Hapa vijana wa muhammad na allah wanapita kimyakimya, mungu wao kapiga bonge moja la uongo.
Halafu kwa kuandika ujinga kama huu, mtu aendelee kujadiliana na wewe.Usirudie tena kusema hakuna mtu kubeba dhambi za mwingine , nimekupiga kwenye kidonda , hujui dini Yako kabisa 😂😂😂😂😂😂 nitakufundisha kama navyo mfundishaga Kisai
Wewe kwenye biblia nataka uniambie umenukuu wapi?Wewe andiko lako linasema dhambi za waislamu Allah atawabebesha wakristo na wayahudi , sasa unaamnin andiko lako au andiko la wakristo 😂😂😂😂
Ujinga ni nyie mnatuandikia sasa Eva kafanya dhambi wanawake wa kiislamu wamerithi kwa nini 😂😂😂😂😂Halafu kwa kuandika ujinga kama huu, mtu aendelee kujadiliana na wewe.
Wewe wa puuzwa maana hata ule upumbavu unaelekea kuuzidi.
Allah alimbadilisha Issa halafu akaweka issa mwingine? Huyu aliyeuwawa alikuwa nani? Allah aliachaje aumizwe na kuuawa? Kwahiyo Allah akakaa miaka 600 ndio akasema kwamba alifanya mabadiliko ya issa?Ukweli uko wapi ?
Huoni mnajidanganya wenyewe kwa maandiki yenu ambayo yanasema yule aliye sulubiwa msalabani amelaaniwa ? Maana yake mungu wenu amelaaniwa ? Sasa haya ni matusi ya wazi kwa nabii wa Allah.
Allah alimuokoa mja wake kutokana na udhalimu wa watu waovu, na huu ndiyo utaratibu wa Allah. Sasa uongo uko wapi ?
Wakristo laiti kama mngekuwa mnahoji na kufanya utafiti juu ya maandiko asingesalia mkristo hata mmoja.
Kubali biblia ipo sahih kuliko MAANDIKO Yako ndio tuendeleeWewe kwenye biblia nataka uniambie umenukuu wapi?
Hiyo hadith inapingana na Ezekieli 18:20. Yaani leo umeamua kupinga andiko hadharani? Hii hatari.
Uongo alifanya Allah Kuweka Isa mwingine , na kwa uongo wake akatengeza watu walio amini uongo wake , Allah ni Lucifer yeye ndie baba wa uongo na kweli haimo ndani yakeUkweli uko wapi ?
Huoni mnajidanganya wenyewe kwa maandiki yenu ambayo yanasema yule aliye sulubiwa msalabani amelaaniwa ? Maana yake mungu wenu amelaaniwa ? Sasa haya ni matusi ya wazi kwa nabii wa Allah.
Allah alimuokoa mja wake kutokana na udhalimu wa watu waovu, na huu ndiyo utaratibu wa Allah. Sasa uongo uko wapi ?
Wakristo laiti kama mngekuwa mnahoji na kufanya utafiti juu ya maandiko asingesalia mkristo hata mmoja.
Nenda kasome surah inaitwa jini ni surah Yao mapepo yanaongea
Nimesoma, Kumbe bora majiniwanawuelewa kuliko binadamu kama wewe,!Nenda kasome surah inaitwa jini ni surah Yao mapepo yanaongea
| 72.Surat Al-Jinn |
| Imeshuka Makka | Ina aya 28 |
Poa.Ujinga ni nyie mnatuandikia sasa Eva kafanya dhambi wanawake wa kiislamu wamerithi kwa nini 😂😂😂😂😂
Soma
Muhammad said, "Were it not for Bani Israel, meat would not decay; and were it not for Eve, no woman would ever betray her husband."Sahih al-Bukhari 3399
Muhammad mjinga Sana eti mpaka nyama kuoza ni dhambi za waisrael 😂😂😂😂😂
Yesu ameumba nini?Yesu Kristo ni wa milele, muumbaji asiyeumbwa.
Unahoji kitoto sana, mpaka akabadilishwa ujue huyo hakuwa tena Isa bali alikuwa wa kufanana naye, hili kwa Allah ni dogo sana. Hakuwa Isa bali afananizwa, kwahiyo anajua Allah. Sababu Allah akitaka jambo liwe linakuwa tu.Allah alimbadilisha Issa halafu akaweka issa mwingine? Huyu aliyeuwawa alikuwa nani? Allah aliachaje aumizwe na kuuawa? Kwahiyo Allah akakaa miaka 600 ndio akasema kwamba alifanya mabadiliko ya issa?
Ukurasa wa kujadiliana na wewe nimeshaufunga.Uongo alifanya Allah Kuweka Isa mwingine , na kwa uongo wake akatengeza watu walio amini uongo wake , Allah ni Lucifer yeye ndie baba wa uongo na kweli haimo ndani yake
Kisai islam without lie dies
Sawa hiyo ndio surah ya demons mapepo ndani ya Koran , kwa nini ulijifanya hujui 😂😂😂😂Nimesoma, Kumbe bora majiniwanawuelewa kuliko binadamu kama wewe,!
Wao walijua kuwa kuna Mungu na wakamuuamini, lakini wewe hutaki kumamini Mungu wa Yesu?
Hii ni ajabu sana
72.Surat Al-Jinn
Imeshuka Makka Ina aya 28
![]()
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
1. Sema (MUHAMMAD): Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!
2. Inaongoza kwenye uwongofu, kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yeyote na Mola wetu Mlezi. 2
3. Na kwa hakika utukufu wa Mola wetu Mlezi umetukuka kabisa; hana mke wala mwana.
4. Na kwa hakika wapumbavu miongoni mwetu ( sisi majini) walikuwa wakisema uwongo ulio pindukia mipaka juu ya Mwenyezi Mungu (Eti Mungu ana Mtoto).
5. Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwongo Mwenyezi Mungu (kusema eti mungu ana Mtoto).
6. Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.
7. Na kwa hakika wao (majini) walidhani, kama mlivyo dhani nyinyi binaamu washirikina, ya kuwa Mwenyezi Mungu hatamleta Mtume.
8. Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo. 8
9. Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia!
11. Na hakika katika sisi wamo walio wema, na wengine wetu ni kinyume na hivyo. Tumekuwa njia mbali mbali. 11
12. Nasi tulijua kuwa hatutomshinda Mwenyezi Mungu duniani, wala hatuwezi kumponyoka kwa kukimbia. 12
13. Nasi tulipo usikia uwongofu tuliuamini. Basi mwenye kumuamini Mola wake Mlezi basi haogopi kupunjwa wala kudhulumiwa. 13
wewe ndie usie juwaSawa hiyo ndio surah ya demons mapepo ndani ya Koran , kwa nini ulijifanya hujui 😂😂😂😂
Ni nywema ukaeleza kwa nini Allah alidanganya, waislamu wote hawajibu kwa nini allah alidanganyaUkurasa wa kujadiliana na wewe nimeshaufunga.
Kwahiyo hicho alichofanya allah ni hekima na alifanya kwasababu anaweza kufanya chochote? Alichofanya hapo sio udanganyifu?Unahoji kitoto sana, mpaka akabadilishwa ujue huyo hakuwa tena Isa bali alikuwa wa kufanana naye, hili kwa Allah ni dogo sana. Hakuwa Isa bali afananizwa, kwahiyo anajua Allah. Sababu Allah akitaka jambo liwe linakuwa tu.
Alitaka iwe hivyo, na huenda pia hakuumizwa pia.
Naam, hata ingekuwa zaidi ya miaka elfu hiyo pia siyo hoja sababu Allah anafanya jambo kwa hekima zake.
Hayo ni mapepo Yana surah Yao 😂😂😂😂 kwenye Koranwewe ndie usie juwa
Kama Umesoma contentst za sura hii, usingelii taja, maana inakufanya wewe uonekane hujui unalosema
Lakini Yesu si ndio kaumba hayo mapepo?Hayo ni mapepo Yana surah Yao 😂😂😂😂 kwenye Koran