Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Sisi tunaishi ili tutimize mapenzi ya Mungu hapa duniani na sio Mungu atimize mapenzi yetu. Ukisoma Biblia utaona kuwa manabii wote walikua wanatumwa kwa Kazi maalum na Mungu hakuwapa maandiko ya kutimiza haja zao za kimwili isipokua kumtukuza yeye.

Tukija kwa Muhammad no habari nyingine, Allah alikua anatimiza matamanio ya kimwili ya Muhammad, Allah anashauriwa ashushe verse kuhusu mambo flani flani. Mfano huu hapa mpaka mkewe mtoto kipenzi akalalamika kwamba inaonekana Allah yuko faster kukutimizia haja zake za kimwili.
 

Attachments

  • IMG_20220627_061311.JPG
    IMG_20220627_061311.JPG
    33.1 KB · Views: 2
Nasubiri majibu ya maswali yangu.
Tumemaliza umekiri tayari waliona tukio la kusulubiwa likitokea na wakaandika walicho ona sasa anapo kuja Allah na muhammad kuelezea walidanganya ni shida kubwa mno

Tukio limetoa umeona na kuandika tukio alafu anakuja mtu anakwambia ilikuwa uongo 😂😂😂😂

Ngoja nikutafutie video ya huyo sheikh anasema ata yeye angekuwepo angeona kasulubiwa na akasema Kuna mtu Katia mkono kwenye Koran katunga hiyo Aya , lakini tunajua wazi muhammad Ali copy wapi 😂😂😂😂
 
Huyu mwamba alimtamani mke wa mtoto wake wa kufikia basis akashushiwa aya faster baada ya kutimiza lengo lake ili isionekane soo mbele ya Jamii. Ishu ya hijab zilikua tamaa za Abu Bakr,akamweleza Mohammed, mwamba akashushiwa verse faster kwamba women should veil themselves.

Kuna siku wafuasi wake wamechelewa kuondoka kwake baada ya kula,akashushiwa vesrse enyi waamini msiingie nyumbani kwa Mohammed bila kukaribishwa ,na mkikaribishwa msikae sana,mkila tu sepeni.
 
Tumemaliza umekiri tayari waliona tukio la kusulubiwa likitokea na wakaandika walicho ona sasa anapo kuja Allah na muhammad kuelezea walidanganya ni shida kubwa mno

Tukio limetoa umeona na kuandika tukio alafu anakuja mtu anakwambia ilikuwa uongo 😂😂😂😂

Ngoja nikutafutie video ya huyo sheikh anasema ata yeye angekuwepo angeona kasulubiwa na akasema Kuna mtu Katia mkono kwenye Koran katunga hiyo Aya , lakini tunajua wazi muhammad Ali copy wapi 😂😂😂😂
Wewe ruka ruka tu hapa nasubiri majibu ya maswali. Kuna muda huwa nakiri kabisa una matatizo ya akili.
 
Wewe ruka ruka tu hapa nasubiri majibu ya maswali. Kuna muda huwa nakiri kabisa una matatizo ya akili.
Tumemaliza umeshakiri waliona tukio la kusulubiwa , sasa kosa lao nini kuandika walichoona 😂😂😂😂
 
Tumemaliza umeshakiri waliona tukio la kusulubiwa , sasa kosa lao nini kuandika walichoona 😂😂😂😂
Nasubiri majibu ya maswali niliyo kuuliza.

Kingine ukiwa huwezi kujibu maswali unayo ulizwa hasa mimi, usijadiliane na mimi.
 
Kiama na pepo ya Uislam in copy kutoka kwenye imani ya zoorostian ambayo INA asili ya Iran na ilikuwepo before Islam. Mo sio prophet kwa sababu yeye mwenyewe hajawahi kuclaim kwamba alitabiriwa kwa kusoma maandiko na kupin poin mistari kwenye vitabu vilivyokuwepo kabla yake,bahati mbaya alikua hajui kusoma.

Yesu mwenyewe amejipambanua kupitia vitabu vya kale kabla yake kwamba amekuja kutimiza unabii. Waislam mnajitahidi kumweka Mohammed kwenye Bible lakini hatoshi,mnajitahidi kumuunganisha kwenye familia ya Ibrahim kupitia Ishmael lakini hiyo link ni very weak.
 
Nasubiri majibu ya maswali niliyo kuuliza.

Kingine ukiwa huwezi kujibu maswali unayo ulizwa hasa mimi, usijadiliane na mimi.
Waliona tukio wakaandika walichoona tumeshamaliza
 
Mpaka najiuliza kwanini hujibu maswali yangu. Nilitegemea hapa ungeanza kuchambua nasaba ya Mtume wetu, kisha ukaonyesha ya kuwa hajatokea kwenyw dhuriya wa nabii Ismaili, hili umeshindwa.

Lakini umezua lingine kwamba manabii na mitume wote walikuwa Mayahudi. Hapa nikashangaa sana, sababu napenda mjihukumi wenyewe. Naomba uthibitishe ya kuwa Manabii wote na mitume walikuwa Mayahudi.

Kisha utuonyeshe je uyahudi ni dini na kabila, kama ni dini, msingi wa dini ya uyahudi ni upi ? Kingine utuambie Uyahudi ulianza lini ? Sababu mpaka nabii Musa anaondoka hapa duniani, Uyahudi ulikuwa haupo. Sasa naomba utuonyeshe hili kielimu.
Ishmael hakuwahi kuwa nabii, alifukuzwa asirithi chochote kwa Abraham.

Achana na masuala ya wayahudi. Elezea muhammad kwanini yeye katokea from nowhere kama muarabu mtume na hakujawahi kutokea muarabu mwingine kabla yake au baada yake kuwa mtume.

Tetea imani yako na usijifiche kwa wayahudi na maandiko yao au wakristo na biblia yao.
 
Ishmael hakuwahi kuwa nabii, alifukuzwa asirithi chochote kwa Abraham.

Achana na masuala ya wayahudi. Elezea muhammad kwanini yeye katokea from nowhere kama muarabu mtume na hakujawahi kutokea muarabu mwingine kabla yake au baada yake kuwa mtume.

Tetea imani yako na usijifiche kwa wayahudi na maandiko yao au wakristo na biblia yao.
Unajua mpaka muda huu sijaigusa imani yangu, hapa nakuhoji kwa yale uliyo yasema na mpaka muda huu hujathibitisha hata moja, yaani unakuja na jipya na hilo jipya linakuwa na maswali kwako.

Nithibitishie ya kuwa Ismailo hakuwa nabii na kingine onyesha wapi alifukuzwa na baba yake.

Suala la Mayahudi umelileta wewe nalo linahitaji ithibati, na hujaonyesha ya kuwa Mtume ametokea from no where, sababu hata uarabu una maana mbili. Sijui kwanini hamsomi Wakristo ?

Kwahiyo ili sasa usijijazie maswali yakawa mengi, jibu kwanza maswali yangu niliyo kuuliza.
 
Unajua mpaka muda huu sijaigusa imani yangu, hapa nakuhoji kwa yale uliyo yasema na mpaka muda huu hujathibitisha hata moja, yaani unakuja na jipya na hilo jipya linakuwa na maswali kwako.

Nithibitishie ya kuwa Ismailo hakuwa nabii na kingine onyesha wapi alifukuzwa na baba yake.

Suala la Mayahudi umelileta wewe nalo linahitaji ithibati, na hujaonyesha ya kuwa Mtume ametokea from no where, sababu hata uarabu una maana mbili. Sijui kwanini hamsomi Wakristo ?

Kwahiyo ili sasa usijijazie maswali yakawa mengi, jibu kwanza maswali yangu niliyo kuuliza.
Maswali haya tumeshayajibu sana hamtaki kuelewa.

Sasa hivi nataka wewe ndio uandike muhammad ambaye ni mwarabu katokea wapi akawa mtume pekee na dini yake ya uislam.

Kwanini kabla yake hapakuwahi kuwa na nabii muarabu na hata baada yake?
 
Huna swali , waliona na wakaandika walicho ona ni wakweli , au wewe unawabishia hawakuona
Mpaka najiuliza kwanini hujibu maswali yangu. Soma maswali yangu tena uone umejibu hata swali moja.
 
Maswali haya tumeshayajibu sana hamtaki kuelewa.

Sasa hivi nataka wewe ndio uandike muhammad ambaye ni mwarabu katokea wapi akawa mtume pekee na dini yake ya uislam.

Kwanini kabla yake hapakuwahi kuwa na nabii muarabu na hata baada yake?
Hili unatakiwa ulifanye wewe kijana, sababu haya umeuasema wewe.

Hapa nawaonyesha Wakristo ya kuwa mnatakiwa msome na muwe mnafanya utafiti, mambo mengi huwa mnajiandikia lakini mnakuwa hamjui chochote mpaka mtu unajiuliza hawa watu mbona wajinga kiasi hiki.

Wewe jibu maswali niliyo kuuliza.
 
Mnatia huruma kabisa 😂😂😂😂
Yani unakubali binadamu ni mwili + Roho = to one alafu hapo hapo unapinga Baba + mwana + Roho mtakatifu

Mungu wa wakristo sio physically being ni Roho ndio nature yake na ndio aliyotupulizia ili tuwe hai
Mungu Allah hana uhai ni statue

Soma
Yn 4:24 SUV
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Mwa 1:1-2 SUV​

Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
Kwa hiyo mwana ndiye amelaaniwa?😀. Umenichekesha kweli. Kwa nini unaabudu kiumbe kilicholaaniwa?

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
 
Mpaka najiuliza kwanini hujibu maswali yangu. Soma maswali yangu tena uone umejibu hata swali moja.
Nimekuuliza walio ona na kuandika walicho ona je ni waongo au wa kweli ?
 
Kwa hiyo mwana ndiye amelaaniwa?😀. Umenichekesha kweli. Kwa nini unaabudu kiumbe kilicholaaniwa?

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
Soma andiko Kwa kuelewa ameitwaa laana sio amelaaniwa , na dhambi za asili azitwaa

Soma
Yn 4:24 SUV
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Mwa 1:1-2 SUV​

Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
 
Soma andiko Kwa kuelewa ameitwaa laana sio amelaaniwa , na dhambi za asili azitwaa

Soma
Yn 4:24 SUV
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Mwa 1:1-2 SUV​

Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.

Labda uniambie wewe upo sahihi kuliko biblia. Nimekuwekea rangi kabisa​

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.
 

Labda uniambie wewe upo sahihi kuliko biblia. Nimekuwekea rangi kabisa​

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.
Kuna kitu kinakushinda kijana jifunze kabla Hujaleta andika nenda kasome commentary ya wakristo hujue Aya inaongea nini , Mimi sijawahi leta Aya humu kabla sijasoma tafsir za waislamu nijihakikishie waislam wanasemaje kuhusu Aya, nakushauri kuliko kurudia rudia Verse kasoma commentary ya wakristo alafu rudi
 
Back
Top Bottom