Mitungi 100 ya gesi ya January Makamba kwa ufafanuzi wa Spika Tulia ilikuwa siri, Salma Kikwete karopoka bila kujua?

Mitungi 100 ya gesi ya January Makamba kwa ufafanuzi wa Spika Tulia ilikuwa siri, Salma Kikwete karopoka bila kujua?

Leo katika uwasilishaji wa bajeti ya Wizara ya nishati na Madini Mama Salma Kikwete alimpongeza Waziri January Makamba kwa kutoa zawadi ya mitungi 100 ya gesi kwa kila Mbunge sintofahamu ikaanza pale Spika wa Bunge alipoanza kutoa ufafanuzi mwingi zaidi ya mwasilisha hoja juu ya ugawaji wa mitungi hiyo mia moja kwa kila Mbunge na zaidi alipoenda mbali zaidi kwa kusema kuwa Fedha za kuwanunulia Wabunge mitungi hiyo zimetoka katika bajeti ya mwaka jana.
My Take haya maigizo hayana faida kwa Watanzania wa hali ya chini hizo Fedha mitungu100xbeikwakilamtungi50000xidadi ya Wabunge wasiopungua300=B1.5 Tsh na Kuna vijiji hadi leo umeme haujafika bajeti ya Wizara Wabunge wanagawana tena kipindi ambacho Bunge linatakiwa kupitisha Bajeti ya Wizara husika hapa Makamba Kama Taasisi lazma akubali kubeba lawama na kashafa ya Aina yoyote.

MUNGU IBARIKI AFRIKA MUNGU IBARIKI TANZANIA 🇹🇿🤲
Hajaropoka kabisa.Alichofanya Salma NI kuutaarifu imma kwa kuwa Jambo hili lilikuwa halijulikani
 
Sema huyo taycoon mwenye company ya mitungi ya gesi ni mjinga sana, Hana market strategy nzuri Huwezi kumpa Bure MTU mtungi wa gesi , asiyeweza nunua mtungi wa gesi na kuujaza, hii ni hasara kubwa anapàta, Hawa watu wakimaliza kutumia mitungi wataiacha bila kuitumia Kwa muda mrefu sana.
Kwahiyo ROI itachelewa kurudi Kwa wakati, na kumfanya asupate faida yenye tija.

Nika unasajili lakini ya simu Kwa MTU aneutumia HaliChachi , hautapata faida ya maana kwenye commission yako,
Ngoja tuone hii drama itakavyo isha
 
Leo katika uwasilishaji wa bajeti ya Wizara ya nishati na Madini Mama Salma Kikwete alimpongeza Waziri January Makamba kwa kutoa zawadi ya mitungi 100 ya gesi kwa kila Mbunge sintofahamu ikaanza pale Spika wa Bunge alipoanza kutoa ufafanuzi mwingi zaidi ya mwasilisha hoja juu ya ugawaji wa mitungi hiyo mia moja kwa kila Mbunge na zaidi alipoenda mbali zaidi kwa kusema kuwa Fedha za kuwanunulia Wabunge mitungi hiyo zimetoka katika bajeti ya mwaka jana.
My Take haya maigizo hayana faida kwa Watanzania wa hali ya chini hizo Fedha mitungu100xbeikwakilamtungi50000xidadi ya Wabunge wasiopungua300=B1.5 Tsh na Kuna vijiji hadi leo umeme haujafika bajeti ya Wizara Wabunge wanagawana tena kipindi ambacho Bunge linatakiwa kupitisha Bajeti ya Wizara husika hapa Makamba Kama Taasisi lazma akubali kubeba lawama na kashafa ya Aina yoyote.

MUNGU IBARIKI AFRIKA MUNGU IBARIKI TANZANIA 🇹🇿🤲
Hiyo mitungi 100 ya gesi, hao wabunge wanaenda kugawa au?
 
Sasa rushwa inaingia mpaka bungeni wazi wazi, Spika Tulia anaona huo ujinga nae anajaribu kuuficha, hii ni kashfa iliyolichafua bunge inayostahili Tulia ajiuzulu, Makamba mtoa rushwa nae ajiuzulu.

Akili ndogo za wabunge wasiojua nini cha kuongea sasa zinasababisha wajivue nguo wenyewe, aibu kwao.
Hyo siyo rushwa ni transparency kwenye utuaji wa HUDUMA za jamii ndo maana tunahoji mkeka wa join the chain hatupati hyo Sasa ndo rushwa
 
Leo katika uwasilishaji wa bajeti ya Wizara ya nishati na Madini Mama Salma Kikwete alimpongeza Waziri January Makamba kwa kutoa zawadi ya mitungi 100 ya gesi kwa kila Mbunge sintofahamu ikaanza pale Spika wa Bunge alipoanza kutoa ufafanuzi mwingi zaidi ya mwasilisha hoja juu ya ugawaji wa mitungi hiyo mia moja kwa kila Mbunge na zaidi alipoenda mbali zaidi kwa kusema kuwa Fedha za kuwanunulia Wabunge mitungi hiyo zimetoka katika bajeti ya mwaka jana.
My Take haya maigizo hayana faida kwa Watanzania wa hali ya chini hizo Fedha mitungu100xbeikwakilamtungi50000xidadi ya Wabunge wasiopungua300=B1.5 Tsh na Kuna vijiji hadi leo umeme haujafika bajeti ya Wizara Wabunge wanagawana tena kipindi ambacho Bunge linatakiwa kupitisha Bajeti ya Wizara husika hapa Makamba Kama Taasisi lazma akubali kubeba lawama na kashafa ya Aina yoyote.

MUNGU IBARIKI AFRIKA MUNGU IBARIKI TANZANIA 🇹🇿🤲
Mwalimu wako aliekufundisha hesabu anastahili viboko!!

Mitungi 300 KWA bei ya elfu50 KILA mtungi unapataje Bilioni 1.5 Badala ya milioni 15!?
 
Acha watu wale maisha nyie WaTz kuleni matembele mlale mkashabikie Yanga na Simba
 
Naweza ku bet, Jembe asinge kubali ujinga kama huu.
 
Mwalimu wako aliekufundisha hesabu anastahili viboko!!

Mitungi 300 KWA bei ya elfu50 KILA mtungi unapataje Bilioni 1.5 Badala ya milioni 15!?
Huyo mwalimu wako wa hesabu na wewe mnatakiwa mnyang'anywe certificate zenu ili zichomwe Moto!
Wabunge 300+ times 100 times 50000 unapata 1.5 billion acha uboya!
 
Huyo mwalimu wako wa hesabu na wewe mnatakiwa mnyang'anywe certificate zenu ili zichomwe Moto!
Wabunge 300+ times 100 times 50000 unapata 1.5 billion acha uboya!
Wee ni kiazi! Mitungi 300 sawa na wabunge 300.....300 times 50,000 unapata Bilioni 1 na nusu!?!!!.....kiazi wahead!
 
Leo katika uwasilishaji wa bajeti ya Wizara ya nishati na Madini Mama Salma Kikwete alimpongeza Waziri January Makamba kwa kutoa zawadi ya mitungi 100 ya gesi kwa kila Mbunge sintofahamu ikaanza pale Spika wa Bunge alipoanza kutoa ufafanuzi mwingi zaidi ya mwasilisha hoja juu ya ugawaji wa mitungi hiyo mia moja kwa kila Mbunge na zaidi alipoenda mbali zaidi kwa kusema kuwa Fedha za kuwanunulia Wabunge mitungi hiyo zimetoka katika bajeti ya mwaka jana.
My Take haya maigizo hayana faida kwa Watanzania wa hali ya chini hizo Fedha mitungu100xbeikwakilamtungi50000xidadi ya Wabunge wasiopungua300=B1.5 Tsh na Kuna vijiji hadi leo umeme haujafika bajeti ya Wizara Wabunge wanagawana tena kipindi ambacho Bunge linatakiwa kupitisha Bajeti ya Wizara husika hapa Makamba Kama Taasisi lazma akubali kubeba lawama na kashafa ya Aina yoyote.

MUNGU IBARIKI AFRIKA MUNGU IBARIKI TANZANIA 🇹🇿🤲
Fanya hesabu yako vizuri usizue taharuki...
 
Leo katika uwasilishaji wa bajeti ya Wizara ya nishati na Madini Mama Salma Kikwete alimpongeza Waziri January Makamba kwa kutoa zawadi ya mitungi 100 ya gesi kwa kila Mbunge sintofahamu ikaanza pale Spika wa Bunge alipoanza kutoa ufafanuzi mwingi zaidi ya mwasilisha hoja juu ya ugawaji wa mitungi hiyo mia moja kwa kila Mbunge na zaidi alipoenda mbali zaidi kwa kusema kuwa Fedha za kuwanunulia Wabunge mitungi hiyo zimetoka katika bajeti ya mwaka jana.
My Take haya maigizo hayana faida kwa Watanzania wa hali ya chini hizo Fedha mitungu100xbeikwakilamtungi50000xidadi ya Wabunge wasiopungua300=B1.5 Tsh na Kuna vijiji hadi leo umeme haujafika bajeti ya Wizara Wabunge wanagawana tena kipindi ambacho Bunge linatakiwa kupitisha Bajeti ya Wizara husika hapa Makamba Kama Taasisi lazma akubali kubeba lawama na kashafa ya Aina yoyote.

MUNGU IBARIKI AFRIKA MUNGU IBARIKI TANZANIA 🇹🇿🤲
Hii ndiyo Tanzania ya CCM!
 
Hiyo mitumgi kama wamepewa wabunge wenyewe kuna walioiuza.

Kuna vijiji wakandarasi (REA) wametandaza nguzo na nyaya ila hakuna transformers miezi inakatika hiyo pesa si ingeelekezwa hata huko.
 
Back
Top Bottom