Miwani meusi ya Jacky , yazua Utata msibani.

Aliyoyataka kayapata, Jacky full shangwe, milionea, yuko single madha, bado anawaka, kazi kwenu masharobaro...
 
Hasa yule mpambe yaani yuko pale kama bodyguard wako tayari kwa lolote litakalotikea
 
Kila mtu ana mapungufu yake tusihukumu na ku assume
Maisha yanasonga na haya yatapita
 
Unavuruga na Kupamba.
 
Mwacheni dada wa watu. Hii kuvaa miwani ya jua misibani mbona kitu cha kawaida hata kwenye misiba yetu kajambanani?!!
 
Huna akili wewe, umeona mwisho wa thread nimeandika Jina gani ? , Sasa hata kama nikija na ID Mia so what ? , we hujitambui Kweli wewe, kwa hiyo unajukuta umeniumbua eeh ? Mxieew
Hivi kwanini Wanawake hampendani?
Wewe , ingekuwa wewe mzee mengi alikufata, ungemkataa dada?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…