Josaje Mtui
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 2,461
- 2,158
Midomo yenu jamani.hebu na ww tuambie ya kwako sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Guess ni maisha yake hata kama ni kweli... you can do the same, hujakatazwa
Hasa yule mpambe yaani yuko pale kama bodyguard wako tayari kwa lolote litakalotikeaImebidi nicheke
Ameambiwa Wamachame watamsuta
Ukiangalia body language hata ya wanaombembeleza wanalazimisha tukio juu ya woga
Miwani, kilio kwa sauti mboni machozi siyaoni au ni mimi macho yangu...
Nilitegemea angekuwa nyambi nyambi lakini yupo poapoa
*** wants to get over it and move on.... It is what it is **** kuna mtu anawaza haya kwa mbaaali
Ni wivu tuHuruma ya ku own two rich men one as a husband the other one as mchepuko?
EtiNi wivu tu
Huruma ya ku own two rich men one as a husband the other one as mchepuko?
EtiNi wivu tu
Unavuruga na Kupamba.Kuna msemo wa kizungu usemao " Face is the mirror of mind" , kitu chochote kilicho ndani ya mioyo ya binadamu hudhihirika kupitia sura( macho). Ndio maana hata wana psychology na wapelelezi wengi hutumia macho kama silaha ya kupata ukweli kutokana na Jambo fulani, ingawa inaweze isiwe kwa asilimia zote, Ila macho ya mwanadamu yamebeba mambo mengi yaliyojificha kwenye mioyo yao ; aibu, fedheha, huzuni, furaha, upendo and etc.
Kitendo cha mfiwa jacky mengi , kuonekana akiwa amevaa sunglasses kwenye msiba wa mume wake Tena akiwa Hana huzuni yeyote , kinaashiria ishara ya hatari sana na pengine kuchochea tetesi za mjane huyo kuchepuka na mwanaume mwingine .
Wengi wanahisi pengine alikua anaficha kuonyesha unafiki kwenye sura yake, guilty especially scandal yake ya kutoka na mwanaume mwingine Tena inadaiwa walikua wote dubai .
By the way , kila mtu Ana jinsi ya kuomboleza kifo cha mpendwa wake, wengine sio rahis sana kulia kwa nguvu mbele za watu Ila deep down wanaumia zaidi kuliko hata wanaotoa machozi.
Tukumbuke Jacky amekua akilala na mengi kwa miaka yote hiyo kwenye uchumba mpaka ndoa , sio rahis Kusema kuwa kifo cha mume wake huyo hakijamgusa kwa namna yeyote , hata kama hakuwahi kumpenda mengi , Ila Yule ndiye mume wake na baba watoto wake , kifo chake lazima kitakua kimemgusa kwa namna yeyote ile.
Bwana ametoa na bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.
By warumi .
Hivi kwanini Wanawake hampendani?Huna akili wewe, umeona mwisho wa thread nimeandika Jina gani ? , Sasa hata kama nikija na ID Mia so what ? , we hujitambui Kweli wewe, kwa hiyo unajukuta umeniumbua eeh ? Mxieew