Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mtu kaipokea vyema hili jina.Yan Jina la kipuuzi sana yan,hv ndo upo kwa Wakala unamwambia "Niwekee hii hela Kwenye mixx by yas" yan hawa wana watu wa marketing kweli Au ndo kashauriwa na mkewe waje na Huu upuuzi?
Waliokua wanatoa 'Tigo' nimesikia sasa hivi eti anadai wanatoa 'Yas'.Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.
Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.
Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.
Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani??
Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.
Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.
Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu Huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.
Asante.
Si bora wangeiita tu YASPESA ili kurahisisha mambo na ingezoeleka kirahisi.Yan Jina la kipuuzi sana yan,hv ndo upo kwa Wakala unamwambia "Niwekee hii hela Kwenye mixx by yas" yan hawa wana watu wa marketing kweli Au ndo Kuna mtu kashauriwa na mkewe waje na Huu upuuzi?
Mixx kiswahili urojo.Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.
Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.
Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.
Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani??
Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.
Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.
Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu Huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.
Asante.
Hiii Mimi kwakwer tungeandamana tu wateja woteYaani wanatuchulia wateja wote kama wavuta bangi wenzao.
Apewe pesa zake.Wanabadili jina wasimlipe Lissu mabilion yake
Ndiyo yale ya Young Africans kushindwa kutamkwa badala yake ikawa Yanga😀😀Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.
Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.
Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.
Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani??
Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.
Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.
Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu Huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.
Asante.
Haaahaa sisi watu wa FINANCE tumesha smell fish.dhambi mbaya sana, yaani ukitaka kudhurumu jambo lolote akili yako inakuwa haiko sawa unakuwa unafanya mambo kama mtu ambaye hakwenda shule..ndicho wanakifanya sasa hivi hao mabwana. Nahisi kuna kodi inakwepwa hapo....hii si kawaida kabisa!!!..wasituzugishe. Wanakwepa jambo hao