Msumari Wa Shaba
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 344
- 464
Majina mengine ni utata mtupu, unamtuma mwanao eti kaniwekee mixx by yas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyash by MixxMixx by Nyashi
Bora nilihama, dharau hizi!
Mkuu hawa walianza kitambo, hilo jina tIGO lenyewe wengi hatukujua kama ni back door, wakaja na cha asubuhi wakapigiwa kelele mpaka bungeni hawakusikia. Ila ninajifunza kuwa huu mtandao unawafaa vijana tena wakihunikihuni, watu wazima tunatakiwa kutafuta mtandao mbadala wenye heshima zakeSasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.
The best names they had those days ni Mobitel, ndugu zao wakajiita Celtel, majina yenye maanaWashenzi hawa tunaonekana wote wale wale tu.
Wamekosa majina yakueleweka wanatuletea lugha za kisekondari??
Mkuu hapa Rostam kaboronga, basi angalau angesema 'Yaspesa au mix pesa'Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.
Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.
Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.
Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani?
Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.
Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.
Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.
Asante.
Mkuu hapa Rostam kaboronga, basi angalau angesema 'Yaspesa au mix pesa' !!!Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.
Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.
Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.
Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani?
Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.
Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.
Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.
Asante.
Toba!!!
Bado Lina maana ile ile. Kwa sasa ndio wamekinukisha zaidi.Hakuna mtu kaipokea vyema hili jina.
Walibadili tu.
Mixx my yassWanapenyeza agenda za kuzimu bila sisi kujua.
Mixx by yas hii imekaa kihuni sana kwa kweliSijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.
Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.
Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.
Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani?
Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.
Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.
Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.
Asante.
Hata salio itakuwa hivyo hivyo sio madeni tuHivi madeni yetu tigo pesa si ndio yatakua yamekufa au
Sijawahi kuona jina baya la kampuni kama YAS, sijawahi kuona mtandao wa miamala ya kifedha hauna neno (au kiambata chochote) linalohusiana na fedha, kwa Tanzania MIXX BY YAS ndio wa kwanza.Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.
Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.
Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.
Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani?
Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.
Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.
Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.
Asante.
Jina baya!Akili zenu za kipuuuzi haziwezi fanya kampuni ziache kufanya business decisions. Yas au Mixx yana maana gani mbaya katika Kiswahili? Ni maneno ya Kiswahili kwanza?
Mlibadilisha maana ya neno Tigo walibadilisha jina? Wapuuzi unawapuuuza.
Nyie wamatumbi ndo mbadilike muache kuwaza ngono muda wote labda mtapiga hatua. Akili zenu zimeoza mnawaza ngono tu muda wote.
Pale tiGo watoto wengi pia ni wajinga wajinga tu.Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.
Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.
Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.
Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani?
Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.
Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.
Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.
Asante.