Mixx by Yas jina la kihuni sana badala ya Tigo Pesa

Mixx by Yas jina la kihuni sana badala ya Tigo Pesa

Ndio athari za kuingia kwenye kikao ukiwa umelewa. Huyu boss aliyependekeza hii mixx by yas alikua tungi na kama unavyojua wafanyakazi wake kuhofia kibarua chao wakashindwa kukosoa zaidi ya kupiga makofi.
 
Hizi kampuni wakitaka kufanya jambo lao wanafanya lolote wamejiunga na kampuni kutoka South Korea ili mradi wakwepe kodi tu hakuna kingine...
Hao ni Wakwepa kodi wakubwa Tanzania kisheria kwa kuangalia mapungufu ya Income Tax yetu harafu utasikia Waziri anaongeza kodi sehemu kwa kuwakandamiza Watanzania huku wakiwaachia hawa majambazi wakiichezea Tanzania.
 
Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.
Mkuu hawa walianza kitambo, hilo jina tIGO lenyewe wengi hatukujua kama ni back door, wakaja na cha asubuhi wakapigiwa kelele mpaka bungeni hawakusikia. Ila ninajifunza kuwa huu mtandao unawafaa vijana tena wakihunikihuni, watu wazima tunatakiwa kutafuta mtandao mbadala wenye heshima zake
 
LGBT.jpg
LGBT2.png
 
Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.

Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.

Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.

Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani?

Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.

Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.

Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.

Asante.
Mkuu hapa Rostam kaboronga, basi angalau angesema 'Yaspesa au mix pesa'
 
Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.

Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.

Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.

Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani?

Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.

Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.

Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.

Asante.
Mkuu hapa Rostam kaboronga, basi angalau angesema 'Yaspesa au mix pesa' !!!
Toba!!!
 
Hakuna mtu kaipokea vyema hili jina.

Walibadili tu.
Bado Lina maana ile ile. Kwa sasa ndio wamekinukisha zaidi.
Kama career corp inavyoitwa kariakoo, hii ya sasa mixx by Yas itasomeka “miks my As”… “changanya makalio”- bado ni uloda wa Tigo huo huo. Au labda ni ili waaendane na ile kauli “ sex sells”…ktk biashara. Ubunifu hafifu.
 
Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.

Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.

Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.

Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani?

Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.

Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.

Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.

Asante.
Mixx by yas hii imekaa kihuni sana kwa kweli
 
Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.

Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.

Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.

Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani?

Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.

Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.

Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.

Asante.
Sijawahi kuona jina baya la kampuni kama YAS, sijawahi kuona mtandao wa miamala ya kifedha hauna neno (au kiambata chochote) linalohusiana na fedha, kwa Tanzania MIXX BY YAS ndio wa kwanza.

Zaidi ya Lisaa sasa, sio menu (mssd)huduma hakuna. Huu mtandao unauswahili sana.
 
Akili zenu za kipuuuzi haziwezi fanya kampuni ziache kufanya business decisions. Yas au Mixx yana maana gani mbaya katika Kiswahili? Ni maneno ya Kiswahili kwanza?

Mlibadilisha maana ya neno Tigo walibadilisha jina? Wapuuzi unawapuuuza.

Nyie wamatumbi ndo mbadilike muache kuwaza ngono muda wote labda mtapiga hatua. Akili zenu zimeoza mnawaza ngono tu muda wote.
Jina baya!
 
Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.

Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.

Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.

Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani?

Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.

Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.

Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.

Asante.
Pale tiGo watoto wengi pia ni wajinga wajinga tu.
 
Back
Top Bottom