mbona limekaa ka tusi languoni? nime google nikUlizwa kama niko under 18,Hapo tigo wamebugi step, mixx by yas ndio upuuzi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona limekaa ka tusi languoni? nime google nikUlizwa kama niko under 18,Hapo tigo wamebugi step, mixx by yas ndio upuuzi gani?
Kwahiyo Dar nzima ni mapunguani??Kuna bibi wa kijijin anatumia mtandao unaitwa Yas? Bibi gan huyo
Hao Yas wamewaona watu daslama wote hamnazo ndo wakaja na hilo jina lao
Madeni yalishafutwa na MwamposaMadeni yafe wapi nivushe wamepita na ela yangu ya mixx by yas
Njoo kanisani Jumapili. Uwahi mapema tusolve issue yako ndo tutaanza nayo.Hivi madeni yetu tigo pesa si ndio yatakua yamekufa au
Mkuu wewe hauna TiGO??Hivi kuna mtu mzima mwenye akili zake timamu anaweza kumiliki sim card ya huo mtandao?
Jina lililopita na lenyewe lilikuwa limejaa utata mtupu [emoji3]
Kumiliki line ya huo mtandao ni zaidi ya uwendawazimu
Kwahio wale wa kuomba tigo watakua wanaomba yasSijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.
Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.
Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.
Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani??
Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.
Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.
Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu Huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.
Asante.
We si uite hivyohivyo tigopesa, mbona kuna watu airtel wanaita zain up-to-date na wanaeleweka!?Uhuni hauzoeleki.
Mixx by Yas ndio upuuzi gani??
Please fanya hivyo.. Jina linakera hiliNatamani niende pale Sam NUJOMA niwapige makofi hawa kenge mpaka watuondolee huu ujinga wao.
Yani watu na kampuni yao na mipango yao ambayo wameshakamilisha kila kitu leo uje uwapangie cha kufanya?Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.
Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.
Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.
Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani??
Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.
Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.
Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu Huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.
Asante.
HahahhaahHilo jina litazoeleka na litatumika mtake msitake
Huu mtandao upo Tanzania ambao watumiaji wake wanatumia lugha ya kiswahili.Yani watu na kampuni yao na mipango yao ambayo wameshakamilisha kila kitu leo uje uwapangie cha kufanya?
Mamlaka za serikali kwani hawakuliona hilo?
Hivi watumiaji wao iliyokuwa Tigopesa ni waswahili pekee?
Tigo rebranded to YAS as part of a strategic initiative by its parent company, Axian Telecom, to unify its mobile operations across several African markets. This rebranding aims to position the company as a pan-African, multi-market telecom provider with a cohesive brand identity. YAS is seen as a step toward leveraging synergies, enhancing customer experiences, and driving sustainable growth across its operations in Tanzania, Madagascar, Senegal, Togo, and Comoros. The move also reflects Axian’s commitment to providing innovative and inclusive technology solutions under a single, recognizable identity.Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.
Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.
Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.
Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani??
Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.
Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.
Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu Huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.
Asante.
Asante kwa historia fupi.Tigo rebranded to YAS as part of a strategic initiative by its parent company, Axian Telecom, to unify its mobile operations across several African markets. This rebranding aims to position the company as a pan-African, multi-market telecom provider with a cohesive brand identity. YAS is seen as a step toward leveraging synergies, enhancing customer experiences, and driving sustainable growth across its operations in Tanzania, Madagascar, Senegal, Togo, and Comoros. The move also reflects Axian’s commitment to providing innovative and inclusive technology solutions under a single, recognizable identity.
Wangeuta hata Yas pesa, Yas money au y-money wangepungukiwa nini?Uhuni hauzoeleki.
Mixx by Yas ndio upuuzi gani??
Uhuni hauzoeleki.
Mixx by Yas ndio upuuzi gani??