Mixx by Yas jina la kihuni sana badala ya Tigo Pesa

Mixx by Yas jina la kihuni sana badala ya Tigo Pesa

Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.

Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.

Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.

Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani??

Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.

Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.

Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu Huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.

Asante.
Kwahio wale wa kuomba tigo watakua wanaomba yas
 
Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.

Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.

Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.

Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani??

Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.

Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.

Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu Huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.

Asante.
Yani watu na kampuni yao na mipango yao ambayo wameshakamilisha kila kitu leo uje uwapangie cha kufanya?
Mamlaka za serikali kwani hawakuliona hilo?
Hivi watumiaji wao iliyokuwa Tigopesa ni waswahili pekee?
 
Yani watu na kampuni yao na mipango yao ambayo wameshakamilisha kila kitu leo uje uwapangie cha kufanya?
Mamlaka za serikali kwani hawakuliona hilo?
Hivi watumiaji wao iliyokuwa Tigopesa ni waswahili pekee?
Huu mtandao upo Tanzania ambao watumiaji wake wanatumia lugha ya kiswahili.

Sasa bibi wa kule nakapanya umwambie aseme mixx by Yas ataweza kweli?
 
Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.

Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.

Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.

Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani??

Halafuu, hayo matumizi ya maneno Mixx tulizoea ni lugha za watoto wa sekondari.

Sasa sisi watu wazima mnatukosea heshima maana hiyo sio lugha yetu.

Nawaomba wamiliki mfikirie kubadili hiyo Mixx by Yas maana mtawapa tabu bibi zetu Huko vijijini na pia sio kila mtu ni mhuni na anafurahia lugha za kihuni.

Asante.
Tigo rebranded to YAS as part of a strategic initiative by its parent company, Axian Telecom, to unify its mobile operations across several African markets. This rebranding aims to position the company as a pan-African, multi-market telecom provider with a cohesive brand identity. YAS is seen as a step toward leveraging synergies, enhancing customer experiences, and driving sustainable growth across its operations in Tanzania, Madagascar, Senegal, Togo, and Comoros. The move also reflects Axian’s commitment to providing innovative and inclusive technology solutions under a single, recognizable identity.
 
Tigo rebranded to YAS as part of a strategic initiative by its parent company, Axian Telecom, to unify its mobile operations across several African markets. This rebranding aims to position the company as a pan-African, multi-market telecom provider with a cohesive brand identity. YAS is seen as a step toward leveraging synergies, enhancing customer experiences, and driving sustainable growth across its operations in Tanzania, Madagascar, Senegal, Togo, and Comoros. The move also reflects Axian’s commitment to providing innovative and inclusive technology solutions under a single, recognizable identity.
Asante kwa historia fupi.

Ila hilo jina lao wabakie nalo , wateja wapewe jingine.
 
Back
Top Bottom