OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ulimwengu unawataka waseme hivyo kuhalalisha Ukomavu mamluki na usio na uhalisia kiutekelezaji ndani ya nafsi zao.View attachment 2047118
Hii inatoka moyoni akimaanisha tume huru kweli kweli?! Au ni chezo CCM wanataka kutufanya mazuzu tuingie kwenye 18?
Ungefurahi zaidi angesema hakuna cha tume huru?View attachment 2047118
Hii inatoka moyoni akimaanisha tume huru kweli kweli?! Au ni chezo CCM wanataka kutufanya mazuzu tuingie kwenye 18?
Tumeshuhudia mahakama ikijidhirisha kutokuwa huru, tumeona tume huru ya Jecha wa Jecha ilichofanya kule Zanzibar.
Tumuunge mkono Pinda kwa tahadhari kubwa sana, atazamwe kwa jicho la tatu.
ambacho hujaelewa ni niniUngefurahi zaidi angesema hakuna cha tume huru?
Kwa nini mnapenda kupinga, kukashfu na kubeza kila kitu, as long as kinatoka upande ambao hamkubaliani nao? Kwa style hii itachukua muda mrefu sana wapinzani kutoboaMazingaombwe......Baada ya kubanwa na mabeberu ndio mnaona umuhimu ya Tume huru ya uchaguzi? ...... CCM mnatia aibu sana kwa hihi tibia zenu.
Tunasubiria na katiba mpya !
Wasipotoboa inakuuma niniKwa nini mnapenda kupinga, kukashfu na kubeza kila kitu, as long as kinatoka upande ambao hamkubaliani nao? Kwa style hii itachukua muda mrefu sana wapinzani kutoboa
Watu wanaelewa, hii ni danganya toto, badala ya kuongelea katiba uanze kuwashughulisha watu na tume ili waache katiba wakati tume itapatikana ndani ya katiba,Kwa nini mnapenda kupinga, kukashfu na kubeza kila kitu, as long as kinatoka upande ambao hamkubaliani nao? Kwa style hii itachukua muda mrefu sana wapinzani kutoboa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kesho utasikia Samia kamtembelea Waziri Mkuu mstaafu Pinda nyumbani.
Endeleeni kushupaza shingo, hamjifunzi, huku kushupaza shingo kwenu ndiyo kulisababisha tukose katiba mpya 2014Mzee wetu ajenda kwa sasa ni KATIBA Mpya ambayo ndani yake kuna huo muundo wa hiyo tume unayosemea. hatutaki mambo nusu nusu.
Bora kupata nusu kuliko kukosa kabisaWatu wanaelewa, hii ni danganya toto, badala ya kuongelea katiba uanze kuwashughulisha watu na tume ili waache katiba wakati tume itapatikana ndani ya katiba,
Farao alipoanza kushindwa alitoa ruhusa nusu nusu ila baadae alilazomika kutoa full freedom kwa kuwa Musa alikataa hizo nusu nusu.
Tangu lini likawa jema? Si mnasema tume yenu ni huru Leo mnaongelea lugha za wapinzani?Ni jambo jema!
Mawazo yako ya kilongi sana mkuu, sijui hata kwenye maisha kama unafanikiwa kwa kutumia hii policy yako.Endeleeni kushupaza shingo, hamjifunzi, huku kushupaza shingo kwenu ndiyo kulisababisha tukose katiba mpya 2014