Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,015
Ukiona kacomromise kutoa nusu, ujue haki yako ni kupata nzima, kwann ukose haki yako nzima hakuna haki nusu ,Bora kupata nusu kuliko kukosa kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona kacomromise kutoa nusu, ujue haki yako ni kupata nzima, kwann ukose haki yako nzima hakuna haki nusu ,Bora kupata nusu kuliko kukosa kabisa
Katiba yetu itachukua muda kuandikwa kwa sababu ya Muungano huu. Muungano umetunasa sana.Mzee wetu ajenda kwa sasa ni KATIBA Mpya ambayo ndani yake kuna huo muundo wa hiyo tume unayosemea. hatutaki mambo nusu nusu.
Hiyo hata isipofuatwa utafanya nini?? Katiba inaruhusu mikutano ya siasa, mbona mnazuiliwa?Mzee wetu ajenda kwa sasa ni KATIBA Mpya ambayo ndani yake kuna huo muundo wa hiyo tume unayosemea. hatutaki mambo nusu nusu.
Misimamo iliyopitiliza kwenye dunia ya sasa ndiyo mambo ya "Kilongi" chief, siku hizi issues zinaisha kwa mazungumzo na "compromises", Ni mwendo wa kula na kuliwa, wewe ukitaka kula tu basi dunia ya sasa inakutema! Mambo ya akina Fidel castro, Che Guavara, Mugabe hayana nafasi kwenye ulimwengu wa sasaMawazo yako ya kilongi sana mkuu, sijui hata kwenye maisha kama unafanikiwa kwa kutumia hii policy yako.
Na waliotukosesha mwisho was siku wakaja kuambiwa wanawashwa washwa.Endeleeni kushupaza shingo, hamjifunzi, huku kushupaza shingo kwenu ndiyo kulisababisha tukose katiba mpya 2014
Makada wenzangu wa ccm tutafute kazi za kufanya tuanze ujasiriamali mapema tujiandae kisaikoloji kuvaa vimini na kuuza Baa na kukata mauno, tuendako ni kugumu sana kwa upande wetu maisha yana kasi ya 5G tunapotea kwenye rama soon pesa ya umma inaenda kua mama mkwe,mambo ya kulala mbele na mabegi ya kura yanaenda kukomeshwa
Makada wenzangu wa ccm tutafute kazi za kufanya tuanze ujasiriamali mapema tujiandae kisaikoloji kuvaa vimini na kuuza Baa tuendako ni kugumu sana kwa upande wetu maisha yana kasi ya 5G tunapotea kwenye rama soon
Huyo ndiye Makamu Mwenyekiti Bara mwaka kesho akichukua nafasi ya Mzee MangulaView attachment 2047118
Hii inatoka moyoni akimaanisha tume huru kweli kweli?! Au ni chezo CCM wanataka kutufanya mazuzu tuingie kwenye 18?
Tumeshuhudia mahakama ikijidhirisha kutokuwa huru, tumeona tume huru ya Jecha wa Jecha ilichofanya kule Zanzibar.
Tumuunge mkono Pinda kwa tahadhari kubwa sana, atazamwe kwa jicho la tatu.
Unayoyasema huyajui ndugu au utakuwa una msukumo toka mahali ambao sisi hatuwezijua lengo lake nini.Endeleeni kushupaza shingo, hamjifunzi, huku kushupaza shingo kwenu ndiyo kulisababisha tukose katiba mpya 2014
Mazingaombwe......Baada ya kubanwa na mabeberu ndio mnaona umuhimu ya Tume huru ya uchaguzi? ...... CCM mnatia aibu sana kwa hihi tibia zenu.
Tunasubiria na katiba mpya !
CCM chama kubwa, hata Mwenyekiti wa Tume akiwa Mdude bado watatoboaMakada wenzangu wa ccm tutafute kazi za kufanya tuanze ujasiriamali mapema tujiandae kisaikoloji kuvaa vimini na kuuza Baa tuendako ni kugumu sana kwa upande wetu maisha yana kasi ya 5G tunapotea kwenye rama soon pesa ya umma inaenda kua mama mkwe,mambo ya kulala mbele na mabegi ya kura yanaenda kukomeshwa
Tuambie unayoyajua MkuuUnayoyasema huyajui ndugu au utakuwa una msukumo toka mahali ambao sisi hatuwezijua lengo lake nini.