Mizengo Pinda: Tuanze mchakato wa kuwa na Tume huru ya Uchaguzi
"Kuna mambo ambayo sisi CCM kama chama tawala lazima tubebe dhima. Tutoe uongozi. Kwa, mfano hili la Tume Huru ya Uchaguzi kizuizi ni nini? Hili ni jambo ambalo lazima tukubaliane na wenzetu wa upinzani na tuanze mchakato wa kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi"

Chanzo: Darmpya
Kumbe kunauwezekano wa kuwapata wanaccm wenye akili!!
Tatizo ccm wanajua ikiwepo tume huru ya uchaguzi, wangi wao hawata toboa
 
"Kuna mambo ambayo sisi CCM kama chama tawala lazima tubebe dhima. Tutoe uongozi. Kwa, mfano hili la Tume Huru ya Uchaguzi kizuizi ni nini? Hili ni jambo ambalo lazima tukubaliane na wenzetu wa upinzani na tuanze mchakato wa kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi"

Chanzo: Darmpya
Kwahiyo anafuta ile kauli yake ya "wapigwe tu"?
 
Umenena point tupu mkuu!
Na sisi kwa mtazamo wa mzee huyu imepaswa tuongoze gia ili tukoleze mwendo wa kuipata Tume huru ya uchaguzi
Vyama vya upinzani ikitokea ccm na serikali wako tayari kwenda kwenye dialogue kwajili ya kuboresha tume ya uchaguzi wasipoteze hii fursa washiriki kikamilifu.

CCM kwenye suala la katiba mpya wameshaanza kulegea
 
"Kuna mambo ambayo sisi CCM kama chama tawala lazima tubebe dhima. Tutoe uongozi. Kwa, mfano hili la Tume Huru ya Uchaguzi kizuizi ni nini? Hili ni jambo ambalo lazima tukubaliane na wenzetu wa upinzani na tuanze mchakato wa kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi"

Chanzo: Darmpya
Mh 🤔🤔 ngoja waje MATAGA tusikie wanasemaje!!
 
Tume huru ya Uchaguzi sio kitisho sana kwa CCM

Kama Ccm inaweza kuwa na Wazalendo hadi ndani ya vyama vikuu vyenyewe vya Upinzani ndio itakosa 'Wazalendo' kwny hiyo Tume huru
Hujui maana ya uzalendo!
 
View attachment 2047118

Hii inatoka moyoni akimaanisha tume huru kweli kweli?! Au ni chezo CCM wanataka kutufanya mazuzu tuingie kwenye 18?

Tumeshuhudia mahakama ikijidhirisha kutokuwa huru, tumeona tume huru ya Jecha wa Jecha ilichofanya kule Zanzibar.

Tumuunge mkono Pinda kwa tahadhari kubwa sana, atazamwe kwa jicho la tatu.
Uchunguzi wangu umebaini kwamba Mizengo Pinda ametumwa kujaribu kufifisha madai ya Katiba Mpya , huwezi kuwa na Tume Huru bila kuwa na Katiba mpya , katiba itakayomg'oa meno Mwenyekiti wa ccm
 
CCM si mliendelea na Bunge la Katiba mpya na mkapigisha kura Hadi watu waliokuwa mahututi huko India Ili column ienee!
Na tukabiwa Katiba pendekezwa imepitishwa na kilichobaki ni kupeleka Kwa wananchi ikapigiwe kura!!!

Sasa swali:Kushupaza shingo kulizuia Nini CCM/Serikali kuipeleka Katiba pendekezwa Kwa wananchi ikapigiwe kura???

Acheni ujinga!
Mchakato ulishavurugwa na akina Lipumba, Slaa, Mbowe (UKAWA)
 
Hapo ndipo tunapofeli,

Rome haikujengwa kwa siku moja, lazima tuanze kujenga kimoja kimoja.
Unaponegotiate na mwenye madaraka, you ask for more, if you get less you take it then continue to strongly ask for the remaining part or more than what you asked before.

Huu mpango wa kukataa kila kitu eti tuendelee kusubiria for everything to be settled for once and all, itatuchukua karne.
Katiba mpya yes, you get tume huru in the process also is yes, now through tume huru you can get more MP's and then they can help to insist on katiba mpya.
 
Huyu Pinda kaongea hayo akiwa na akili zake timamu au amelewa?

#ukikaidiutapigwatu
 
Mzee nae snitch anaanza kuwapa mzigo wenzake yeye alikua wapi kipindi chake au hakufahamu hilo swala ni mhimu?
 
Back
Top Bottom