chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,339
- 1,318
Kwenye tume huru msiwaweke majaji wastaafu, wengi hawana hekima. Mtu akistaafu halafu mumpe nafasi ya kutumikia jamii anakuwa kama alisahau kitu. Tunaona mahakimu wastaafu kwenye mahakamani za nyumba, ona yule wa tume ya uchaguzi, ona msajili wa vyama, ona mnaowapa kusimamia bodi mbalimbali, yanayofanyika huko na wastaafu, Mungu tu ndie ajuae.