Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa Mkuu. Utashangaa mpaka akili yako isielewe je Ni huyu huyu aliekubali kipindi kile au mwingine. Wanachungulia Sana maslai.Mh!! Hata shetani akizeeka anakuwa Malaika......
Halafu Pinda ukimrudisha madarakani leo, hayo maneno atayakana mchana kweupe.
Hata Mama Samia siku akitoka madarakani utasikia tumechelewa sana kupata katiba mpya.
Tulishatoka huko Zanzibar na muuafaka, Kikwete na katiba mpya na kualika upinzani Ikulu labda kama ulikua ujazaliwa.Misimamo iliyopitiliza kwenye dunia ya sasa ndiyo mambo ya "Kilongi" chief, siku hizi issues zinaisha kwa mazungumzo na "compromises", Ni mwendo wa kula na kuliwa, wewe ukitaka kula tu basi dunia ya sasa inakutema! Mambo ya akina Fidel castro, Che Guavara, Mugabe hayana nafasi kwenye ulimwengu wa sasa
Wapinzani sio kwamba wanataka kutoboa au usifikiri wanataka madaraka tu. Wanataka kuikomboa nchi kutoka kwenye makucha ya mkoloni mweusi. Nchi iwe huru na mfumo unaoeleweka. Sio leo anakuja mpigaji anaanza kuzima zima umeme kuanzia asubuhi. Tunataka uhakika wa mambo mengi. Kama hawa mafisadi kupitia madowans katiba iseme tu piga risasi kama china. Mtu anapatikana na nyumba 100 wakati mshahara wake unajulikana twanga risasi.Kwa nini mnapenda kupinga, kukashfu na kubeza kila kitu, as long as kinatoka upande ambao hamkubaliani nao? Kwa style hii itachukua muda mrefu sana wapinzani kutoboa
Rushwa na MaCCM
Sijui watakuelewa?Makada wenzangu wa ccm tutafute kazi za kufanya tuanze ujasiriamali mapema tujiandae kisaikoloji kuvaa vimini na kuuza Baa na kukata maumo, tuendako ni kugumu sana kwa upande wetu maisha yana kasi ya 5G tunapotea kwenye rama soon pesa ya umma inaenda kua mama mkwe,mambo ya kulala mbele na mabegi ya kura yanaenda kukomeshwa
Haa haa just haa haa MaCCM kama kawaida yao, yanakimbia katiba mpya.
Huyu mpuuzi baada ya kutoka madarakani ndiyo anaona umuhimu wa tume huru
Waliopo madarakani hawatakubaliMakada wenzangu wa ccm tutafute kazi za kufanya tuanze ujasiriamali mapema tujiandae kisaikoloji kuvaa vimini na kuuza Baa na kukata maumo, tuendako ni kugumu sana kwa upande wetu maisha yana kasi ya 5G tunapotea kwenye rama soon pesa ya umma inaenda kua mama mkwe,mambo ya kulala mbele na mabegi ya kura yanaenda kukomeshwa
Ila Pinda angechukua ile 2015 leo hii tungekuwa na Katiba MpyaHuyu mpuuzi baada ya kutoka madarakani ndiyo anaona umuhimu wa tume huru
Mmgghhff labda !!!."Kuna mambo ambayo sisi CCM kama chama tawala lazima tubebe dhima. Tutoe uongozi. Kwa, mfano hili la Tume Huru ya Uchaguzi kizuizi ni nini? Hili ni jambo ambalo lazima tukubaliane na wenzetu wa upinzani na tuanze mchakato wa kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi"
Chanzo: Darmpya
Aliyekuambia China wanapiga risasi mafisadi nani?Wapinzani sio kwamba wanataka kutoboa au usifikiri wanataka madaraka tu. Wanataka kuikomboa nchi kutoka kwenye makucha ya mkoloni mweusi. Nchi iwe huru na mfumo unaoeleweka. Sio leo anakuja mpigaji anaanza kuzima zima umeme kuanzia asubuhi. Tunataka uhakika wa mambo mengi. Kama hawa mafisadi kupitia madowans katiba iseme tu piga risasi kama china. Mtu anapatikana na nyumba 100 wakati mshahara wake unajulikana twanga risasi.
Hii ni team legacy 😂😂😂😂😂
Technology ni hatari Sana.
Watanielewa tu sina ubaya nimesoma upepo unavyovuma wasiponielewa muda utawaelewesha tuSijui watakuelewa?