abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Hahaaaa
Hii ni team legacy [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni team legacy [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Misimamo iliyopitiliza kwenye dunia ya sasa ndiyo mambo ya "Kilongi" chief, siku hizi issues zinaisha kwa mazungumzo na "compromises", Ni mwendo wa kula na kuliwa, wewe ukitaka kula tu basi dunia ya sasa inakutema! Mambo ya akina Fidel castro, Che Guavara, Mugabe hayana nafasi kwenye ulimwengu wa sasa
Bwashee EU wanabana korodani .....Ni jambo jema!
Kwaakili hizi ndio maana ccm anawakomesha milele wee unaamini kila porojo zao pole Chadema wako mbele ya muda sanaKwa nini mnapenda kupinga, kukashfu na kubeza kila kitu, as long as kinatoka upande ambao hamkubaliani nao? Kwa style hii itachukua muda mrefu sana wapinzani kutoboa
Naipenda tume huru, lakini composition ya Tume ipo kikatiba sasa huyu mamba si aseme wazi kwamba tunahitaji mabadiliko ya Katiba???"Kuna mambo ambayo sisi CCM kama chama tawala lazima tubebe dhima. Tutoe uongozi. Kwa, mfano hili la Tume Huru ya Uchaguzi kizuizi ni nini? Hili ni jambo ambalo lazima tukubaliane na wenzetu wa upinzani na tuanze mchakato wa kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi"
Chanzo: Darmpya
Kuna fisi hazitakuelewa.Hili suala la tume huru ya uchaguzi ni suala la msingi sana.
Kilichotokea 2020 hakikuwa na afya kwa nchi yetu ipo siku kutaiangamiza nchi.
2008 kenya waliuana law sababu ya tume ya uchaguzi kufanya upumbavu.
2010 Zimbabwe wakauana kwa sababu ya tume ya uchaguzi kufanya upumbavu.
Ivory coast waliuana kwa sababu ya tume ya uchaguzi.
Tunataka mpaka nini kitokee ndiyo tujue umuhimu wa tume ya uchaguzi.
Uchaguzi wa 2000 Kyle Zanzibar uliondoka na roho za watu.Kuna fisi hazitakuelewa.
Hivi alisema hayo kweli?Tume huru ya uchaguzi lazima ianze na katiba, uwezi kutunga Sheria iliyo kinyume cha katiba. Mzee Pinda atusaidie yeye hiyo tume huru inaundwaje endapo katiba inabaki ileile?
Je hiyo tume itatokana na wananchi au itatokana na wanasiasa? Nadhani kujadili kuwa na tume huru ni makosa na nimchongo wa TCD kupunguza Kasi ya mambo yanayoendelea Sasa. Tumekwama na tumekuwa watu wakulumbana Kwa miaka Sasa, malumbano yalianza baina ya viongozi lakini Sasa yamekwenda Hadi Kwa wananchi wa chini, hakuna mwenye Imani na mfumo wa kisiasa na hata waliopitishwa na mfumo uliopo wa siasa hakuna mwenye uwezo wakusimama mbele ya wananchi kusema walimchagua.
Hoja ibaki moja TU ya katiba mpya, ndani ya katiba mpya mengine yote yatapata ufumbuzi. TCD waache agenda za michongo, wasimame kuhesabiwa kwa kudai Kati mpya SIYO kuitia Katiba viraka.
Mwisho, wanapojadili Tum huru wajiulize bunge lakupitisha hiyo sheria ya kuunda tume huru ni lipi? Bing la Sasa linaweza kupitisha sheria ya Tume huru? Bunge la chama kimoja lipitishe sheria ya kuunda tume huru.....labda wapewe maelekezo.
Tukitaka tume huru tutengeneze bunge jipya la katiba , la sivyo hata bunge la kubadili sheria Kwa sasa halikidhi vigezo vya mabunge ya kidemokrasia
Wapi tumegomea? Samia kasema changamoto za kiuchumi zinazotokana na Corona zikiisha Katiba itapatikana, ni kitu gani kigumu sana kusubiri? Hata dunia itatushangaa tukianza hekaheka za Katiba kipindi hiki kigumu ambacho dunia inapitaKwa hiyo nyie mnaoogomea katiba mpya ya wananchi hamna misimamo iliyopitiliza?
Nilikuwepo, ile katiba ilikuwa ni kianzio kizuri! Jambo kubwa lililokataliwa na Kikwete lilikuwa ni Muungano wa serikali 3, lakini mengine karibu yote yalikubaliwa yakiwemo ya kuondoa vyeo vya wakuu wa mikoa, wilaya na kuunda tume huru ya uchaguzi!! Huwezi ukashinda kila kituWala haikukosekana kwa sababu ya kushupaza shingo kwani katiba pendekezwa iliyochakachuliwa na wahuni ipo, na inangoja kura ya maoni. Ila kwakuwa wewe ni bendera fuata upepo ukisikia Ukawa ndio waliokwamisha katiba unarukia humo humo.
Fanyeni haraka, imechelewa sana hii tume
Huwezi kutunga katiba mpya ili uweze kupata tume huru ya uchaguzi.Tume huru ya uchaguzi lazima ianze na katiba, uwezi kutunga Sheria iliyo kinyume cha katiba. Mzee Pinda atusaidie yeye hiyo tume huru inaundwaje endapo katiba inabaki ileile?
Je hiyo tume itatokana na wananchi au itatokana na wanasiasa? Nadhani kujadili kuwa na tume huru ni makosa na nimchongo wa TCD kupunguza Kasi ya mambo yanayoendelea Sasa. Tumekwama na tumekuwa watu wakulumbana Kwa miaka Sasa, malumbano yalianza baina ya viongozi lakini Sasa yamekwenda Hadi Kwa wananchi wa chini, hakuna mwenye Imani na mfumo wa kisiasa na hata waliopitishwa na mfumo uliopo wa siasa hakuna mwenye uwezo wakusimama mbele ya wananchi kusema walimchagua.
Hoja ibaki moja TU ya katiba mpya, ndani ya katiba mpya mengine yote yatapata ufumbuzi. TCD waache agenda za michongo, wasimame kuhesabiwa kwa kudai Kati mpya SIYO kuitia Katiba viraka.
Mwisho, wanapojadili Tum huru wajiulize bunge lakupitisha hiyo sheria ya kuunda tume huru ni lipi? Bing la Sasa linaweza kupitisha sheria ya Tume huru? Bunge la chama kimoja lipitishe sheria ya kuunda tume huru.....labda wapewe maelekezo.
Tukitaka tume huru tutengeneze bunge jipya la katiba , la sivyo hata bunge la kubadili sheria Kwa sasa halikidhi vigezo vya mabunge ya kidemokrasia