Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mizimu ni nini?Mkataa asili ni mtumwa
Si kila mtu anaweza kuwa mzimu wenye nguvu iwe hasi au chanya.. Mizimu mingine ni poyoyo tuuKwani mizimu ni nini?
Je kila mfu ni mzimu?
Asante kwa kutolea ufafanuzi hilli, kwamaana hata kama huamini kitu haina maana hakipo na au hata kama unaaamini kitu, vivyo hivyo huwezi dhibitisha kipoSi kila mtu anaweza kuwa mzimu wenye nguvu iwe hasi au chanya.. Mizimu mingine ni poyoyo tuu
Mizimu yenye nguvu huanzia huku duniani ambapo mtu husika alikuwa na uwezo ama nguvu za ziada katika jamii..
Hawa kiasili hata kuzaliwa kwao kuliambata na matukio kadhaa yasiyo ya kawaida ama kukitabiriwa na wengine walikuwa na alama maalum kwenye miili yao
Wengi wao walikuwa na nguvu kwenye jamii na kutumainiwa na wengine..walikuwa kwa sehemu kubwa ni viongozi wa kaya, koo, nknk.. Na hawa walikufa vifo vya asili bila mateso
Kuna mizimu mibaya pia .. Hii watu wake walikufa kwa lazima bila wakati wao kutimia hivyo kusaka kisasi
Ukifa, naamini wewe utakuwa mzimu mwema wenye nguvuSi kila mtu anaweza kuwa mzimu wenye nguvu iwe hasi au chanya.. Mizimu mingine ni poyoyo tuu
Mizimu yenye nguvu huanzia huku duniani ambapo mtu husika alikuwa na uwezo ama nguvu za ziada katika jamii..
Hawa kiasili hata kuzaliwa kwao kuliambata na matukio kadhaa yasiyo ya kawaida ama kukitabiriwa na wengine walikuwa na alama maalum kwenye miili yao
Wengi wao walikuwa na nguvu kwenye jamii na kutumainiwa na wengine..walikuwa kwa sehemu kubwa ni viongozi wa kaya, koo, nknk.. Na hawa walikufa vifo vya asili bila mateso
Kuna mizimu mibaya pia .. Hii watu wake walikufa kwa lazima bila wakati wao kutimia hivyo kusaka kisasi
Niombee hii fanaka[emoji1545][emoji1752]Ukifa, naamini wewe utakuwa mzimu mwema wenye nguvu
Amina, imeshakuwaNiombee hii fanaka[emoji1545][emoji1752]
Nakuombea pia [emoji1752]Amina, imeshakuwa
InshallahNakuombea pia [emoji1752]
Je ni sahihi kuwaomba mizimu watuombee? Je utaratibu wa kuwaomba upoje?Nakuombea pia [emoji1752]
Mizimu haiombi bali inalinda ana inaharibu au inaonya na kuelekeza kupitia ndoto maono na matukio halisiJe ni sahihi kuwaomba mizimu watuombee? Je utaratibu wa kuwaomba upoje?
Mtu au kiumbe chochote kikifa hakiwezi kusikia, kuona, kuhisi wala kujibu chochote.Halafu mtu akifa anageuka kuwa mzimu, kesho mnaenda kumuomba alete mvua, huu upuuzi tumeupata wapi? Mfu anapata wapi Nguvu za kuleta mvua?
Ni Imani ya kijinga tu.Kumbe unajua inatoa adhabu pia, basi elewa inaleta mvua, baraka na neema sio kwa waafrica tu hata races nyingine hufanya hivi..
Mizimu ni nini?Mtu au kiumbe chochote kikifa hakiwezi kusikia, kuona, kuhisi wala kujibu chochote.
Kwahiyo kuamini kuwa mizimu inaweza kuleta mvua au kufanya chochote ni Upumbavu na Ujinga.
akiwa race nyingine wafu wanawaita mitume au watakatifu ila huku inaitwa mizimuKumbe unajua inatoa adhabu pia, basi elewa inaleta mvua, baraka na neema sio kwa waafrica tu hata races nyingine hufanya hivi..