Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Mimi ninachojuwa mtu wa kwanza kutoa taarifa ya kutokuonekana kwa magufuli ni Tundu Antipas Lissuu. Huyu ndo mtu wa kwanza kuleta hizi habari huko Twitter na ndo sintomfahamu na taharuki ikaanzia hapa,Rais yupo wapi Rais yupo wapi mpaka kutangazwa kwa kifo chake. Sasa lisu ana majibu sahihi
 
Jikite kwenye mada
Magufuli alikuwa na mipango mibaya sana na Tanzania. Likiwemo kukataa kuondoka madarakani (rejea namna alivyodhibiti bunge kuwa la chama kimoja)
Ili mipango ifanikiwe ilikuwa lazima Wazee wafe. Alianza na mkapa kabla ya uchaguzi ili watu wasistuke.
Baadae mipango ilikuwa kumuua jakaya . Ili pasiwepo mtu wa kumkemea akitaka kufanya muovu wake.kwa bahati mbaya akafa kabla.
Asingekufa ilikuwa anamuua JAKAYA MAPEMA SANA.
 
Mimi ninachojuwa mtu wa kwanza kutoa taarifa ya kutokuonekana kwa magufuli ni Tundu Antipas Lissuu. Huyu ndo mtu wa kwanza kuleta hizi habari huko Twitter na ndo sintomfahamu na taharuki ikaanzia hapa,Rais yupo wapi Rais yupo wapi mpaka kutangazwa kwa kifo chake. Sasa lisu ana majibu sahihi
Alifanya hivyo kwa sababu vyombo vilishindwa kuupasha umma juu ya hali ya raisi!
Hata haya yanayoendelea mitandaoni ni matokeo ya usiri juu ya afya yake wakati anaumwa. Mliiacha mitandao itengeneze habar juu ya afya ya raisi. Sasa inatengeneza habar juu yah kifo chake
Mtulieeee
 
Alifanya hivyo kwa sababu vyombo vilishindwa kuupasha umma juu ya hali ya raisi!
Hata haya yanayoendelea mitandaoni ni matokeo ya usiri juu ya afya yake wakati anaumwa. Mliiacha mitandao itengeneze habar juu ya afya ya raisi. Sasa inatengeneza habar juu yah kifo chake
Mtulieeee
Serikali ina msemaji wa serikali. Vyombo vya habari vinasikiliza kwake. Sasa hivyo vyombo vingesema nini kama msemaji hajazungumza? Na Lissu Hakuwa rafiki wa serikali wala wa Rais iweje aje from nowhere kuuliza hali ya Rais kama hakufahamu Kuna jambo
 
Hili swali litamsumbua Dk Janabi mpaka siku anaachana na Dunia.
 
Serikali ina msemaji wa serikali. Vyombo vya habari vinasikiliza kwake. Sasa hivyo vyombo vingesema nini kama msemaji hajazungumza? Na Lissu Hakuwa rafiki wa serikali wala wa Rais iweje aje from nowhere kuuliza hali ya Rais kama hakufahamu Kuna jambo
Huyo msemaji wa serikali naye ni chombo cha serikali siyo mtu. Hakufanya kazi yake ndo maana watu wa kina lisu wakatafuta habar wanapopajua na kuhabarisha watu.
Badala ya kulaumu vyomb vya serikali wewe unamlaumu lisu????
PM alisema raisi anachapa kazi zake kumbe yupo MZENA ! Hawa wote unatakiwa uwalaumu siyo kina lisu! Wale ni wapuliza filimbi tu
 
Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.

Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Magufuli ni ujeuri wake na kudharau Rona ikamuonyesha Cha mtemakuni.

Ila pia ilikuwa ni mpango wa Mungu kutuepusha na muovu Yule aliyejivika ngozi ya kondoo. Utasikia "mniombee hii Vita ni ya kiuchumi" kwa uchumi gani.

Tutakufa wote Ila huyu amejitakia.
 
Mkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
"Wapangaji wakampangia ziara za Morogoro... na Dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza.... " Kimla kwenye msafara walitumia utalaamu upi kumumaliza???
 
Huyo msemaji wa serikali naye ni chombo cha serikali siyo mtu. Hakufanya kazi yake ndo maana watu wa kina lisu wakatafuta habar wanapopajua na kuhabarisha watu.
Badala ya kulaumu vyomb vya serikali wewe unamlaumu lisu????
PM alisema raisi anachapa kazi zake kumbe yupo MZENA ! Hawa wote unatakiwa uwalaumu siyo kina lisu! Wale ni wapuliza filimbi tu
Tusidanganyane! Lissu anafahamu ukweli
 
Tusidanganyane! Lissu anafahamu ukweli
Acha kulazimisha yasiyowekana ndugu yangu. Lisu alikuwa na taarifa kutoka kwa haohao watu wenu wa kitengo TISS. sasa unataka lisu ashtakiwe kwamba alihusika na kufa kibudu kwa magufuli?
Mbona kuna kachero mstaafu mmoja yeye ndo alikuwa wa kwanza kutujuza kwamba magufuli Kafa zaidi ya wiki kabla????? Au hukumbuko?
Haya tufanye lisu alikuwa anajua kwamba magufuli Kafa! So??
 
Back
Top Bottom