leomessi10
Member
- Feb 25, 2021
- 58
- 35
Mkuu unaweza mtag apakuna mtu anaitwa tumia akili, jaribu kufuatilia nyuzi zake!
ilikua ni mission na ilifanikiwa!
kwa mujibu wa huyu jamaa hawa viongozi waliobaki ndio wazalendo wapenda nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unaweza mtag apakuna mtu anaitwa tumia akili, jaribu kufuatilia nyuzi zake!
ilikua ni mission na ilifanikiwa!
kwa mujibu wa huyu jamaa hawa viongozi waliobaki ndio wazalendo wapenda nchi.
Unasumbuliwa na sukuma gang disorderWe ni mwehu kwel yaan, pumbav kabsa
True! Ilifika maana mjambazi wanashirikiana na wenye dhamana kupora maskini?Unajua unafanya utemi kwa nia njema sana. Kuwasaidia Maskini.
Magu atakuwa alihusika na kuondoka kwa BenKifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Dah.
Inafikirisha!!
True! Ilifika maana mjambazi wanashirikiana na wenye dhamana kupora maskini?
Mwandiko wako umeeleweka.Mkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Yule tumia akili unaonesha dhahiri Kuna kitu nyuma ya paziakuna mtu anaitwa tumia akili, jaribu kufuatilia nyuzi zake!
ilikua ni mission na ilifanikiwa!
kwa mujibu wa huyu jamaa hawa viongozi waliobaki ndio wazalendo wapenda nchi.
Mwisho wa siku wote tu mavumbi na mavumbini tutarudiMkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Fuatilia Uzi wa mtu anayeitwa tumia akili nadhani Kuna kitu. Mimi nilishindwa kuelewaNimefuatilia mjadala, na nashawishika kusema ni Sexless ndie bila shaka amemwelewa mleta mada vizuri sana kwamba they're in denial! Nami nasisitiza, ni upumbavu hata kufikiria let alone kuamini eti JPM kauawa!! Mtu kaanza kuumwa moyo hata kabla hajaingia kwenye siasa halafu leo mtu uamini kuna mkono wa mtu!! Yaani watu kwa ujinga tu wanataka kuaminishana JPM alikuwa threats kwa watu na ndo maana wamemwondoa!!
Watu walimchoka Magu na kwahiyo posts za kumuombea Magu kifo zipo nyingi tu!! Na lilipokuja janga la korona, na vile alivyokuwa anapuuzia, maombi na utabiri mbaya dhidi yake ndo ukazidi kuongezeka!! Na mtu wa kwanza kabisa anayekumbukwa kueleza kuhusu JPM kufa alikuwa Godbless Lema!Fuatilia Uzi wa mtu anayeitwa tumia akili nadhani Kuna kitu. Mimi nilishindwa kuelewa
Ben alifika pale kwa sababu ya Ticha.Magu alifika pale kwa sababu ya Ben, sasa atamuuaje mtu aliye mfikisha pale?
Hata babu yangu na mkewe vilifatana ni mambo yakawaida.Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Safi Sana na FBI wakija waanze na matukio yote ya watu kutekwa,kupigwa masasi,kupoteza,kuuliwa,kubakwa na mwisho kifo cha Rais wetu kipenzi.Mbona kazi nyepesi waje FBI na serikali ikubali kuwalipa FBI ndani ya wiki mbili majibu yanapatikana
Haipingiki: nchi hii wanamtandao hawakubali kushindwa
Ndio maana lowasa alikuwa anatetemeka jukwaaan+kuji.........wakati ni mgonbea uraisi kupitia CHADEMA
Yaani hizi zote need hisia tu, tena zisizo na mashiko, yaani wewe unatuona sisi nI mburura kiasi hiki, yaani mauaji ya raia yalikuwa yanatokea tu ghafla bila kujua, na yeye anakaa kimya? (Magufuli ninayemjua litokee Jambo kwa ghafla then akae kimya???) Hahahaaa...Mkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Haya nenda kachunguze sasa!Kifo ni kifo, wote tutapita hapo. Ila Mazingira ya kupita hapo lazima yachunguzwe kwa viongozi wakuu, wakubwa.
Kwa sababu waliambukizana covid19Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!