Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Mbona kazi nyepesi waje FBI na serikali ikubali kuwalipa FBI ndani ya wiki mbili majibu yanapatikana

Haipingiki: nchi hii wanamtandao hawakubali kushindwa

Ndio maana lowasa alikuwa anatetemeka jukwaaan+kuji.........wakati ni mgonbea uraisi kupitia CHADEMA
 
Mkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Mwandiko wako umeeleweka.
 
kuna mtu anaitwa tumia akili, jaribu kufuatilia nyuzi zake!

ilikua ni mission na ilifanikiwa!

kwa mujibu wa huyu jamaa hawa viongozi waliobaki ndio wazalendo wapenda nchi.
Yule tumia akili unaonesha dhahiri Kuna kitu nyuma ya pazia
 
Mkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Mwisho wa siku wote tu mavumbi na mavumbini tutarudi
 
Nimefuatilia mjadala, na nashawishika kusema ni Sexless ndie bila shaka amemwelewa mleta mada vizuri sana kwamba they're in denial! Nami nasisitiza, ni upumbavu hata kufikiria let alone kuamini eti JPM kauawa!! Mtu kaanza kuumwa moyo hata kabla hajaingia kwenye siasa halafu leo mtu uamini kuna mkono wa mtu!! Yaani watu kwa ujinga tu wanataka kuaminishana JPM alikuwa threats kwa watu na ndo maana wamemwondoa!!
Fuatilia Uzi wa mtu anayeitwa tumia akili nadhani Kuna kitu. Mimi nilishindwa kuelewa
 
Fuatilia Uzi wa mtu anayeitwa tumia akili nadhani Kuna kitu. Mimi nilishindwa kuelewa
Watu walimchoka Magu na kwahiyo posts za kumuombea Magu kifo zipo nyingi tu!! Na lilipokuja janga la korona, na vile alivyokuwa anapuuzia, maombi na utabiri mbaya dhidi yake ndo ukazidi kuongezeka!! Na mtu wa kwanza kabisa anayekumbukwa kueleza kuhusu JPM kufa alikuwa Godbless Lema!

 
Mbona kazi nyepesi waje FBI na serikali ikubali kuwalipa FBI ndani ya wiki mbili majibu yanapatikana

Haipingiki: nchi hii wanamtandao hawakubali kushindwa

Ndio maana lowasa alikuwa anatetemeka jukwaaan+kuji.........wakati ni mgonbea uraisi kupitia CHADEMA
Safi Sana na FBI wakija waanze na matukio yote ya watu kutekwa,kupigwa masasi,kupoteza,kuuliwa,kubakwa na mwisho kifo cha Rais wetu kipenzi.
 
Sababu zipo nyingi kulingana na uelewa....
1.Kifo
2.Kiroho hapa kuna mambo mengi yapo mfano vifo vya yohane na yesu kwenye maandiko utapata mang'amuz kwa mbali
3.Usalama
4.Misimamo binafsi
5.Maadui
 
Mkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Yaani hizi zote need hisia tu, tena zisizo na mashiko, yaani wewe unatuona sisi nI mburura kiasi hiki, yaani mauaji ya raia yalikuwa yanatokea tu ghafla bila kujua, na yeye anakaa kimya? (Magufuli ninayemjua litokee Jambo kwa ghafla then akae kimya???) Hahahaaa...

Aongee kupitia Luninga kwamba watu Aina ya Lissu adhabu yao ni kifo then ashambuliwe kwa risasi then utwambie imetokea bila yeye kufahamu, halafu Magufuli huyo huyo amnyime matibabu, amfute ubunge na kupiga marufuku wabunge wa chama chake kwenda kumuona halafu useme alikuwa hajui ilitokea ghafla tu...

Wapotee kina Been Saanane, Azory Gwanda, na wengine wengi, kelele zipigwe usiku na mchana, rJpm ajikaushe tuliii na hahusiki, are you serious???

Wewe onyesha mahaba yako binafsi kwa JOM ni haki taking, na wengine wanaomuona shetani kwa matendo yake pia usiwalaumu hata kidogo, Kuna aliowatendea ubaya ulioharibu maisha yao jumla jumla kwa hila tu.
 
Back
Top Bottom