ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Nimefuatilia mjadala, na nashawishika kusema ni Sexless ndie bila shaka amemwelewa mleta mada vizuri sana kwamba they're in denial! Nami nasisitiza, ni upumbavu hata kufikiria let alone kuamini eti JPM kauawa!! Mtu kaanza kuumwa moyo hata kabla hajaingia kwenye siasa halafu leo mtu uamini kuna mkono wa mtu!! Yaani watu kwa ujinga tu wanataka kuaminishana JPM alikuwa threats kwa watu na ndo maana wamemwondoa!!
Mola kaanza na wale extremesVipi kuhusu vifo vya wengine ndani ya miezi mitatu. Sasa hivi hakuna kiongozi anyekufa na Corona, ugonjwa wa moyo, ugonjwa wowote.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Vijana bhana mmekosa kazi... Unavosimulia Sasa unaweza hisi alikuwa pembeni anashuhudia nae kumbe vistory vya magengeni
Especially kama uliua watu
Ingekuwa hivi basi hadi muda huu mkuu wa majeshi, IGP na DGIS wangekufa pia, ule ni mpango wa Mungu tu..Vilipangwa, mkakati, inner cycle, watu wa karibu, muhimu wote kuondelewa. Mfugale, kijazi, Waziri wa Majeshi,wote ilibidi wauliwe, Wafe.
Ingekuwa hivi basi hadi muda huu mkuu wa majeshi, IGP na DGIS wangekufa pia, ule ni mpango wa Mungu tu..
Sasa hao wengine "waliuawa:" kwa sababu walikuwa na athari gani na kwa akina nani kama ambavyo mnajaribu kuaminisha watu kwamba JPM aliuawa kwa sababu alikuwa threat kwa baadhi ya watu?! Btw, kwani utawala wa sasa upo kwenye COVID-19 Denial kama ulivyokuwa utawala wa Magu?! Wakati wenzenu wamechanja, utawala wa Magu ulikuwa unasemaje kuhusu chanjo?! Au unajisahaulisha? Na unataka kujisahaulisha hata Mpango alipoponea tundu la sindano kwa hiyo hiyo COVID-19?Vipi kuhusu vifo vya wengine ndani ya miezi mitatu. Sasa hivi hakuna kiongozi anyekufa na Corona, ugonjwa wa moyo, ugonjwa wowote.
teknolojia.Wa karibu yake kama Maalim??
Kwani wale walinzi wake wa 24/7 walikuwa wapi?
poor arguement
uongoteknolojia.
Akamtafute kwenye vichaka vya Chato labda alifichwa Na wachawi wataalamu wa ChatoSukuma gang. Rejection/denial disorder itawaua. Kubalini tu kwamba mzimu wenu ushaenda. Sasa ukijadili ndiyo atafufuka?
Au unadhani Mzena hospital walitupatia mgomba yeye bado wamemficha?
Sasa hao wengine walikuwa na athari gani kama ambavyo mnajaribu kuaminisha watu kwamba JPM alikuwa threat kwa baadhi ya watu?! Btw, kwani utawala wa sasa upo kwenye COVID-19 Denial kama ulivyokuwa utawala wa Magu?! Wakati wenzenu wamechanja, utawala wa Magu ulikuwa unasemaje kuhusu chanjo?! Au unajisahaulisha?
[emoji28][emoji28]magu yeye kwa akili zake za kijinga alidhani ataishi milele?
Hizi tuhuma nzito mnazoandika kisa mna ID fake si sahihi. Huu si uhuru wa maoni ndugu.Vilipangwa, mkakati, inner cycle, watu wa karibu, muhimu wote kuondelewa. Mfugale, kijazi, Waziri wa Majeshi,wote ilibidi wauliwe, Wafe.
Akamtafute kwenye vichaka vya Chato labda alifichwa Na wachawi wataalamu wa Chato.
Hizi tuhuma nzito mnazoandika kisa mna ID fake si sahihi. Huu si uhuru wa maoni ndugu.
Kuliko Huo wako?Kwanini siku zote, kila comment yako unaandika upuuzi?
Si umuulize Mungu sasa?Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Endelea kuamini sio tishio lakini wenzako wamechanja, na wale ambao walikuwa wanakejeli chanjo sina haja ya kukukumbusha kilichowakuta!! Na hapa nakukumbusha tena hata Phillip Mpango alitokea dirishani!Taratibu, ongea taratibu ueleweke.
Covid ipo, ila sio tishio kivile, kusimamisha watoto kuenda shule, Chuoni, shughuli zote za kijami, kazi zote.
Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!