Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Chief ulifanikiwa kuacha au ulikuja kurudia tena!
 
atudanganyiki....sisi na CHAPUTA damdam
Punyeto itakufanya udharaulike....ctasahau mwaka Jana 2017 nlgombana na demu wangu na kila mtu alibaki na Mambo yake...lakin athari ya stress zilinifanya nipige punyeto Sana mpaka baadae ugomv ulipoisha nkaonana nae ila akaanza kusema nimekua na kibamia...niliumia kisaikolojia Sana na najitahid kuacha hizi ishu co nzur hata kidogo!!!kwa sasa naona naweza kuvumlia na kufanya mazoez kwa wingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Porn star gani fundi kwako uliekuwa unapenda kumpigia nyeto?
 
Hakikisha kila ukilala uwe unaota ndoto nyevu japo mara tatu kwa usiku mmoja itakusaidia Sana.
 
Kichwa cha habari chahusika. Kutokana na uhaba wa pesa nimegundua mbinu rahisi ya kujiridhisha kimapenzi (pasipo gharama wala hofu ya magonjwa nyemelezi). Ila nimekuwa addicted kiasi haipiti siku bila kujichua. Nifanyeje ili niache?
Uza smartphone baada ya miez 3 had 4 uje na mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole
Lakini pia hongera kwa kupona.
Siyo kwamba tabia ni ngozi,ila ni kwamba
Nguvu ya kujua mabaya ina madhara mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…