Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Nanajamvi niko Serious kwa jambo hili, kwani nimekuwa muhanga wa Ngono hii kwa takribani miaka 11 sasa tangu nasoma F2. Sasa najiona kama nimeathirika na kazi hii kwani hata kama niwe na demu kwa siku kadhaa gheto ila lazima nianzie kwanza kwa kujibusti kwa Puchu then ndio dudu lipihe gia. Pia nimekuwa pia lazima nikiwa na demu lazima nistue na VIAGRA kwanza bila hivyo kimoja tu chali.

Sasa naombeni msaada wenu je naweza kuacha hii tabia kweli? Je kuna dawa ya kuacha hii kitu?

#CHAPUTA MSAADA WENU PIA NIMEAMBIWA HUMU MPO NA HICHI CHAMA ETI....

Ps: PUNYETO NA SI PUNYETI SIMU ZA KUFUTA HIZI LOOH..
 
PIGA PUNYETO YA DONDOLA,,AU NYUKI...hyo ndy suluhisho mkuu,,,CHUKUWA kifuko EMPTY cha ICE CREAM kwa UKUBWA wa DUSHE lako,,,CHUKUWA DONDOLA,,AU NYUKI WAWILI,,,wafungie kwenye KIFUKO,,,ingiza DUSHE humo ndani,,,funga pamoja,,,sasa vuta hisia ya DEMU UMTAKAYE KUMPIGIA NYETO,,,,kama ni ZARI,,au SANCHOKA,AU HATA JAMES DELICIUS,,,MKUU,,,huwezi amini ndani ya nusu dk UTAPIGA GOLI ,,dabble dabble HUJAWAHI mkuu,,na ukitoka hapo KICHWA cha DUSHE kinakuwa kama RUNGU..lakini ndy DAWA mkuu,,ile unasubiri KICHWA kipowe,,tayari MWEZI MMOJA ushapita,,UNAKUWA USHAPONA MKUU,,,nipe marejesho,,,BAADA YA MWEZI,,,,,KAMA LITAJIRUDIA TENA nakupa DOZE ingine...
Jamani mbavu zanguuuuuuuuuuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Aisee, mi nikiona nashindwa kulala nagonga kimoja chaaap,
Ngoja nikigonge kimoja fasta
 
kwel..ufafanuz zaid
Nimesoma vizuri biology yangu ya 4m4 tumeelezwa wazi kwamba punyeto ndio njia salama ya kujikinga na ukimwi na haina madhara yoyote, zaidi itakupa matatizo ya kisaikolojia na unakuw na hamu ambayo haiishi, yani unaweza kufanya n mwanamke mchana, usiku akakubania ukaenda bafuni ukapiga punyeto yani unakuwa na tatizo la kisaikolojia ambalo kimsingi ukuongezea hamu ya tendo la ndoa kila wakati, yani mtu anapiga bao moja unamwaga nje hlf unaunganisha lingine, yani kimsingi hizo ndizo nguvu za kiume, uwezo na nanilii kisimama. Sasa huyo anapotosha umma kwa story za vijiwe vya viduku bila kufanya tafiti.

Ukiona mtu anapiga punyeto na hamna nguvu basi huyo ni mgonjwa tangu zamani au nguvu zimepotea kutokana na sababu zingine kama STD, kisukali nk.
 
Nilianza kupiga punyeto mwaka 2007 nikiwa kidato na nimepiga kiasi Cha kutotaka uhusiano na msichana yeyote na Imefikia Hatua sioni Haja ya kua na msichana yeyote nilitafuta ushauri mwaka huu kutoka wadau mbali mbali wakanambia niwe na Msichana nikifanya ivyo but sisikii Raha kabisa nikiwa kitandani na msichana na Nina wiki moja tu tangu nianze mchakato huu nisaidueni tafadhali njia za kurudia kuwa kawaida kama zamani Ni tatizo na nasumbuka nalo Sana
Natamani kuwa kama wanaume wengine tafadhali nisaidueni
Mkuu pole hii ni kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa Wale walio athirika na huu Ushenzi.. njia rahisi nii hii hapa

nilimshauri Mwenzenu akafuata hii njia leo hii Ananishukuru,

Tenga siku 7 Bila kupiga nyeto..

(usiangalie picha za uchi/wala kushikana shikana na mwanamke ukiwa unajua huwez kumlala/epuka story za mapenzi zilizo kithiri/LEFT magrp yote ya whatsapp yanayojihusisha na mambo ya 18+)

ukifanikiwa kufika siku 7... futa kichwani.. anza tena (endelea) siku 7 zingine..

jumla utakuwa na siku 14... hapa Ubongo unakuwa katika recovery mode..

fanya tena huo mzunguko hadi ufikie siku 14 zingine...

(kaa chini.. omba mungu wako akuepushe na hako kamchezo... jiongezee imani na ujasiri kwa kutafakari kuweza kumudu siku nyingi bila PUNYETO)

malizia siku zingine kama kawaida.. na kama una DEMU nenda kasawazishe MATUTA na kama hauna basi kausha..

ukifanya hivyo... PUNYETO UNAISAHAU kabisa...

NB;MTU ALIYEKUWA NA MAZOEA YA KUPIGA PUNYETO ALAFU AKAWEZA KUACHA KABISA KUPIGA PUNYETO huyo mtu huwa na UPEKEE kunako 6x6.. pia mtu huohuyo anapata MIZUKA sana pale anapokutana na real INSTRUMENT...
 
hiyo njia ilikuwa ni the bestest kama duniani tungekuwa tunaishi mara mbili,but kama tunaishi mara moja,hakuna haja ya kuacha kupiga manyanga,tuendelee tu!ukianza kufuatilia trends za vitu vyenye madhara kwa sasa kila kitu kitaonekana hakifai...wewe hongera kwa kuacha sisi tunaendelea!
 
hiyo njia ilikuwa ni the bestest kama duniani tungekuwa tunaishi mara mbili,but kama tunaishi mara moja,hakuna haja ya kuacha kupiga manyanga,tuendelee tu!ukianza kufuatilia trends za vitu vyenye madhara kwa sasa kila kitu kitaonekana hakifai...wewe hongera kwa kuacha sisi tunaendelea!

mie sijawahi kupiga nyeto mzee
 
Back
Top Bottom