Ndama Jeuri
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 1,520
- 1,504
Hahahahaha! Ukiwa muongo usiwe msahaulifuBaba hiyo 2 years ago vipi? Mnapo edit hayo mambo mnatakiwa kujiridhisha kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha! Ukiwa muongo usiwe msahaulifuBaba hiyo 2 years ago vipi? Mnapo edit hayo mambo mnatakiwa kujiridhisha kwanza
Hahahahaha! Kama wamekosea time watched iweje wasikosee kwenye hizo views.walakini tayari
Nilianzisha uzi huu baada ya kusoma article fulani kwenye mojawapo ya magazeti yaliyoko online. Mwandishi alikuwa akipima mavazi na video effects za wimbo mmoja dhidi ya wimbo mwingine na ku-conclude kuwa wimbo mzuri unahitaji investment kubwa katika video kwa kuwekeza katika mavazi na video effects ili kuvutia watazamaji. VYote hayo hayakuingia akilini mwangu kwa kuangalia video hizo tatu za juu sana hapo Youtube.Umeeleweka ila ungewagusia waliokufanya kuandika uzi huu..!!
Hata mimi nimekiona hii kitu huko you tube sasa sijajua ina maana gani hasa![]()
Angalia hapo palipozungushiwa duara jekundu, hiyo ndiyo hali halisi ambapo views wa halali
Ukishakuwa na email ya google unaweza kutengeneza Chanel/ kama unatumia kompyuta kwenye youtube menu pembeni utaona sehemu imeandikwa my channel bonyeza hapo na ufuate maelekezo wala haichukui nuda
Kuna sehem wanasema uingize account ya malipo mkuuUkishakuwa na email ya google unaweza kutengeneza Chanel/ kama unatumia kompyuta kwenye youtube menu pembeni utaona sehemu imeandikwa my channel bonyeza hapo na ufuate maelekezo wala haichukui nuda
Kwa hiyo AdSense wameshakukubalia;!/
Ukiacha mambo ya timu na siasa, jamiiforums ina watu wanaosidiana zaidi ya ndugu.
Hongera mwalimu thesym.
You deserve blessings [emoji120] [emoji120]Kwa hiyo AdSense wameshakukubalia;!/
Kama kwenye add payment method hapo jaza info za benk account