MJADALA: Je, ni kwa namna gani YouTube humlipa mmiliki wa account?

MJADALA: Je, ni kwa namna gani YouTube humlipa mmiliki wa account?

Unalipwa kwa kutumia AdSense ili uweze kupata matangazo ya adsense videos zako. Zinatakiwa kuwa na viewers angalau 10000 na ujitahidi kuweka video ambazo haziviolet mambo ya copyrights. Ili kuweza kutoa pesa unapaswa ufikishe angalau $100 na utachagua njia ya kulipwa
Uko vizuri
 
Ninayo channel YouTube ila kuna mtu humu alinibania kujua how to make money on YouTube

Nyagei
 
Mkuu nina acount pia but from now walinitumia,code furan ili ni verify account shda nilitumia adress isiyo rasm sasa sijui napataje zile pin msaaada kama kuna artenatv please
 
Habari zenu Jf
Natumaini wote mu wazima..

Niende moja kwa moja kwenye mada!!
Kwanza mniwie radhi kwa kuwa maelezo mengi yatatolewa kwa njia ya video hapa chini hii nikwa sababu ya ugumu wa kulieleza swala hili kwa maandishi tuu!!

Maada ni namna ya kutengeneza pesa kupitia mtandao wa YouTube

Nimekuwa nikifuatilia sana video nyingi za YouTube na kuja kujua kwamba watu wanapiga pesa nyingi sana kupitia video zao wanazo tengeneza na kuzi post kwenye channel zao za YouTube
Nahasa wenzetu wa nchi zingine kama ulaya na kwingine watu wanatumia YouTube kama ajira zao na wanapata pesa kwa njia rahisi!!
Lakini wenda bado watu wengi kwa nchi kama zetu hawajafahamu pia kua hii ni fursa kubwa ya kutengeneza pesa wewe kazi yako ni kutengeneza tu video!!

Hebu na wewe amua Leo utengeneze channel yako na utengeneze video zako uanze kupata pesa!!!

Unaweza jiuliza utatengeneza video za aina gani??
Unaweza tengeneza video aina yoyote ile
Mfano video za kufundisha au kuelekeza kitu Fulani(tutorial) ,vichekesho, movie etc
Kazi yako nikui promote channel yako ili kuwa na wadau!!!

Hatua ya kwanza ni kutengeneza YouTube Channel yako na hatua ya pilini kuwezesha account yako kupitia kwa kuunganisha YouTube channel yako na adsence account kwani hawa ndio wanao lipa

Video hapa chini inaeleza hatua ya kwanza hadi ya mwisho!!!
Wale wazoefu karibuni pia kwa mawazo
Tazama hapa!!

 
Habari zenu Jf
Natumaini wote mu wazima..

Niende moja kwa moja kwenye mada!!
Kwanza mniwie radhi kwa kuwa maelezo mengi yatatolewa kwa njia ya video hapa chini hii nikwa sababu ya ugumu wa kulieleza swala hili kwa maandishi tuu!!

Maada ni namna ya kutengeneza pesa kupitia mtandao wa YouTube

Nimekuwa nikifuatilia sana video nyingi za YouTube na kuja kujua kwamba watu wanapiga pesa nyingi sana kupitia video zao wanazo tengeneza na kuzi post kwenye channel zao za YouTube
Nahasa wenzetu wa nchi zingine kama ulaya na kwingine watu wanatumia YouTube kama ajira zao na wanapata pesa kwa njia rahisi!!
Lakini wenda bado watu wengi kwa nchi kama zetu hawajafahamu pia kua hii ni fursa kubwa ya kutengeneza pesa wewe kazi yako ni kutengeneza tu video!!

Hebu na wewe amua Leo utengeneze channel yako na utengeneze video zako uanze kupata pesa!!!

Unaweza jiuliza utatengeneza video za aina gani??
Unaweza tengeneza video aina yoyote ile
Mfano video za kufundisha au kuelekeza kitu Fulani(tutorial) ,vichekesho, movie etc
Kazi yako nikui promote channel yako ili kuwa na wadau!!!

Hatua ya kwanza ni kutengeneza YouTube Channel yako na hatua ya pilini kuwezesha account yako kupitia kwa kuunganisha YouTube channel yako na adsence account kwani hawa ndio wanao lipa

Video hapa chini inaeleza hatua ya kwanza hadi ya mwisho!!!
Wale wazoefu karibuni pia kwa mawazo
Tazama hapa!!


kwa maana hiyo Mchungaji Gwajima atakuwa analipwa hela nyingi mnooo
 
Sio rahisi.......

Kumiliki Channel YouTube inayoelezea mambo fulani siyo jambo la michezo....ni jambo linalohitaji kujitoa......

YouTube kweli lakini lazima tujue kuwa GOODTHING TAKES TIME TO HAPPENS.....you need to be patient in the process......

Good luck guys

[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]

https://www.quora.com/Can-you-reall...swer/Roshan-Swift-1?share=e6d28af5&srid=uNihd
Kweli "it takes a time" lakini inawezekana ni wewe tu hata ndani ya mda mfupi unaweza anza kulipwa mtu kama masanja akipost video yake ndani ya wiki ni views wengi hata zaidi ya 120k
 
Habari zenu Jf
Natumaini wote mu wazima..

Niende moja kwa moja kwenye mada!!
Kwanza mniwie radhi kwa kuwa maelezo mengi yatatolewa kwa njia ya video hapa chini hii nikwa sababu ya ugumu wa kulieleza swala hili kwa maandishi tuu!!

Maada ni namna ya kutengeneza pesa kupitia mtandao wa YouTube

Nimekuwa nikifuatilia sana video nyingi za YouTube na kuja kujua kwamba watu wanapiga pesa nyingi sana kupitia video zao wanazo tengeneza na kuzi post kwenye channel zao za YouTube
Nahasa wenzetu wa nchi zingine kama ulaya na kwingine watu wanatumia YouTube kama ajira zao na wanapata pesa kwa njia rahisi!!
Lakini wenda bado watu wengi kwa nchi kama zetu hawajafahamu pia kua hii ni fursa kubwa ya kutengeneza pesa wewe kazi yako ni kutengeneza tu video!!

Hebu na wewe amua Leo utengeneze channel yako na utengeneze video zako uanze kupata pesa!!!

Unaweza jiuliza utatengeneza video za aina gani??
Unaweza tengeneza video aina yoyote ile
Mfano video za kufundisha au kuelekeza kitu Fulani(tutorial) ,vichekesho, movie etc
Kazi yako nikui promote channel yako ili kuwa na wadau!!!

Hatua ya kwanza ni kutengeneza YouTube Channel yako na hatua ya pilini kuwezesha account yako kupitia kwa kuunganisha YouTube channel yako na adsence account kwani hawa ndio wanao lipa

Video hapa chini inaeleza hatua ya kwanza hadi ya mwisho!!!
Wale wazoefu karibuni pia kwa mawazo
Tazama hapa!!


Wewe mwenyewe hapa unajitangaza ili tuangalie halafu unasema rahisi
 
Kweli "it takes a time" lakini inawezekana ni wewe tu hata ndani ya mda mfupi unaweza anza kulipwa mtu kama masanja akipost video yake ndani ya wiki ni views wengi hata zaidi ya 120k
Usijifananishe na masanja ndugu uoni jina lenyewe tu linajitangaza swali ni kwamba kwa sisi tusio na jina tufanye vp....???
 
Wewe mwenyewe hapa unajitangaza ili tuangalie halafu unasema rahisi
Haha mkuu ndio sikatai lakini ni kusudi langu pia kuwasaidia watu wengine ambao wenda hawafahamu sijataka kuficha like ninacho kifahamu kwani hii ni fulsa kama zingine, sema kwa namna Fulani vitu hivi vinaonekana vigeni huku kwetu lakini ni vitu vya kawaida naamini kwa wale ambao wataamua watakuja kuleta mrejeaho siku moja humu..
 
Habari zenu Jf
Natumaini wote mu wazima..

Niende moja kwa moja kwenye mada!!
Kwanza mniwie radhi kwa kuwa maelezo mengi yatatolewa kwa njia ya video hapa chini hii nikwa sababu ya ugumu wa kulieleza swala hili kwa maandishi tuu!!

Maada ni namna ya kutengeneza pesa kupitia mtandao wa YouTube

Nimekuwa nikifuatilia sana video nyingi za YouTube na kuja kujua kwamba watu wanapiga pesa nyingi sana kupitia video zao wanazo tengeneza na kuzi post kwenye channel zao za YouTube
Nahasa wenzetu wa nchi zingine kama ulaya na kwingine watu wanatumia YouTube kama ajira zao na wanapata pesa kwa njia rahisi!!
Lakini wenda bado watu wengi kwa nchi kama zetu hawajafahamu pia kua hii ni fursa kubwa ya kutengeneza pesa wewe kazi yako ni kutengeneza tu video!!

Hebu na wewe amua Leo utengeneze channel yako na utengeneze video zako uanze kupata pesa!!!

Unaweza jiuliza utatengeneza video za aina gani??
Unaweza tengeneza video aina yoyote ile
Mfano video za kufundisha au kuelekeza kitu Fulani(tutorial) ,vichekesho, movie etc
Kazi yako nikui promote channel yako ili kuwa na wadau!!!

Hatua ya kwanza ni kutengeneza YouTube Channel yako na hatua ya pilini kuwezesha account yako kupitia kwa kuunganisha YouTube channel yako na adsence account kwani hawa ndio wanao lipa

Video hapa chini inaeleza hatua ya kwanza hadi ya mwisho!!!
Wale wazoefu karibuni pia kwa mawazo
Tazama hapa!!


Sio rahisi sana kumake pesa youtube kama unavyoongea
 
Usijifananishe na masanja ndugu uoni jina lenyewe tu linajitangaza swali ni kwamba kwa sisi tusio na jina tufanye vp....???
Mwanzo hua hivi...
Huo nimetoa mfano wapo wengine hata wa kawaida kabisa
Mitandao ya kijamii inaweza kua njia nzuri ya kusambaza video yako na ukapata wadau wa kudumu ..kikubwa utengeneze kitu kinacho eleweka ili usipoteze views wako
 
Usijifananishe na masanja ndugu uoni jina lenyewe tu linajitangaza swali ni kwamba kwa sisi tusio na jina tufanye vp....???
Kuna rafiki angu mmoja alianza hii kazi miezi minne iliyo pita lakini hadi Ana watu wengi sana

Mwanzo huwa hivi
 
JF kuna watu wanaleta video zao siku hizi chini wanaandika..

"please dont forget to subscribe" hawa watu wanaongezeka hapa JF kwa kasi sana...vipi mkuu ni mkakati wao wa kutaka kuongeza viewers ili wapige pesa?
 
Back
Top Bottom