HahahHaya mambo ya PM-pembeni muonane, siyo poa. Mwaga kila MTU apate kaujuzi
Unaweza ukachukua CD ya buku na ukabani ukaupload video na pua usipate hata shilling moja YouTube wanatumia algorithm moja hatari sanangoja nianze biashara ya kuchukua cd za hizi season zilizo tafsiliwa nazi bana kwenye computer naamishia kwenye smartphone yangu nafungua account YouTube napiga hela maana wabongo kwahizi season wanapenda kinominomi kwa masaa ma 5 nachukua views wangu 1000 mkwanja ninao wakutoshaa sina shida ya maisha cd ya buku naingiza 1,0000 sinashida dadeki walai
ngoja nianze biashara ya kuchukua cd za hizi season zilizo tafsiliwa nazi bana kwenye computer naamishia kwenye smartphone yangu nafungua account YouTube napiga hela maana wabongo kwahizi season wanapenda kinominomi kwa masaa ma 5 nachukua views wangu 1000 mkwanja ninao wakutoshaa sina shida ya maisha cd ya buku naingiza 1,0000 sinashida dadeki walai
Sina mkuu ndo maana nimeuliza pia taratibu za kusajili zikoje!??Iyo channel unayo tayar?