Mtafute jamaa anaitwa magoti fundi magari Facebook atakusaidia,ni mtaalam wa wa hizo key programming na mambo mengine ya umeme kwenye magari ya kisasa.Msaada na ushauri, nimefunga universal keyless entry system kwenye nissan xtrail lakini milango yote inafunga vizuri kwa remote kasoro wa dereva tu ina ukishafunga na funguo wakati wa kufungua unafungua vizuri tu na remote, fundi wa umeme ameangaika hadi amesalenda mwenyewe, kwahymwenye wazo lolote??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]X-trail a.k.a KUBWA JINGA
Stori za vijiwenKuana jamaa yangu aliuza kwa nusu bei baada ya kulitumia kwa miezi sita tu... Anasema ni shida hana hamu sikumdadisi zaidi
Ndiyo mara yako ya kwanza kutumia huo mfumo? (Sorry for this question)Msaada na ushauri, nimefunga universal keyless entry system kwenye nissan xtrail lakini milango yote inafunga vizuri kwa remote kasoro wa dereva tu ina ukishafunga na funguo wakati wa kufungua unafungua vizuri tu na remote, fundi wa umeme ameangaika hadi amesalenda mwenyewe, kwahymwenye wazo lolote??
You don't have financial muscle to own and maintain Athlete. May be FEKON or SANLG brands.Why would you doubt what I have done for couple of times..! Don’t despise someone you know nothing about..!
Hili ni la nguoni kabisa, badilisheni mada mnaenda kubayaYou don't have financial muscle to own and maintain Athlete. May be FEKON or SANLG brands.
Ila watu mna mbwembwe aisee. Hiv mlango wa Nyumbani kwako una-lock na rimoti?Tatizo sio griss ni mfumo wa gari za nissan yaan hata ukiwa ndani ya gari ukalock milango, inayolock ni mingine ila wa dereva haulock mpk ulock manually
Aisee. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]You don't have financial muscle to own and maintain Athlete. May be FEKON or SANLG brands.
Rushanju naomba ufunguke kwa kina unaposema uwe makini na mfumo wake wa upozajiNinayo NISSAN X-TRAIL tangu mwaka 2011 hadi leo iko barabarani. Nimebadikisha fan belt mara moja na ball joint mara mbili. Stabilizer link ndo mara nyingi. Lkn sijaona tatizo hiyo gari kabisa. Ni nzuri kwa masafa marefu. Uwe makini na mfumo wake wa upozaji.
Nimekutana na watu wawili wameharibikiwa na Engine za magari hayo na wanasema tatixo lilisnzia kwenye mfumo wa upozaji. Mmoja alisema mfuniko ulikuwa haurudishi maji kwenye radiator na nyingine iliharibika thermostats.Rushanju naomba ufunguke kwa kina unaposema uwe makini na mfumo wake wa upozaji
OkMkuu post zote hizo mpaka kufikia hii yako ni ya 511 bado tu unahitaji ushauri? Au unahitaji ushauri wa aina gani?
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Huko Japan Ina maana hawaendeshi Tena Xtrail kwa sababu Ni mbovu?Nimekutana na watu wawili wameharibikiwa na Engine za magari hayo na wanasema tatixo lilisnzia kwenye mfumo wa upozaji. Mmoja alisema mfuniko ulikuwa haurudishi maji kwenye radiator na nyingine iliharibika thermostats.
Old model vp?Xtrail ni chombo wazee...xtrail new model ya kuanzia 2007 kuendelea ,ukiweka hapo na harrier au kluger zote zinaonekana sawa ,ila in price wise xtrail ipo chini ,so xtrail ni mashine...talking by experience
Nayo ipo poa zaidi engine yake ni konki qr25 nahisi,hao wanaosema xtrail ni mbovu sijui kama wanazifaham vizuriOld model vp?
Asante MkuuNayo ipo poa zaidi engine yake ni konki qr25 nahisi,hao wanaosema xtrail ni mbovu sijui kama wanazifaham vizuri
Siajaelewa mdau. Je Ni bora kuliko Harrier na Kluger au ni inferior kuliko Kluger?Xtrail ni chombo wazee...xtrail new model ya kuanzia 2007 kuendelea ,ukiweka hapo na harrier au kluger zote zinaonekana sawa ,ila in price wise xtrail ipo chini ,so xtrail ni mashine...talking by experience