High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,134
- Thread starter
- #61
kuna work mate wangu, alipata nayo ajali, hapo ndipo nilijua kuwa xtrail siyo gari ni jini la kuleta umaskini. yaani taa moja kubwa 350,000 ndogo 150,000 kwa taa 4 ni 2,000,000. yaani jumla ya cost ilikuwa milion 7 na point.
Duuuuuuu hatari kabisa spea ghali mno