High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,134
- Thread starter
- #101
Duuh, namshukuru aliye anzisha huu uzi,, nilikuwa nmejipanga wiki ijayo naenda kununua hii gari hakika nimeghairi kimoja.
Kitu kikishatiliwa mashaka wewe ukajitumbukiza baadae ya kikuta unabakia na ninge,, ninge,, nyingi sipendi, afadhali kuepuka mapema. Kiukweli muundo wake ulikuwa unanivutia sana ila gari ya kunifanya maskini hapana,, tupilia mbali huko...
Kama unahela nunua tu maana hela yako itasaidia pale
Spea ukiambiwa kiasi fulani ww unatoa tu ukiambiwa agiza nairobi unatoa tu ila kama una hela ya kiasi bora toyota huwezi anza kuagiza mbali kama uko mikoani mara uende dar ni shiida