Pmrika
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 374
- 210
Spea zipo kibao, Nenda Ilala machinga comlex - duka linaitwa Zizu ni la mzee mmoja wa kiarabu anuwalaza kama zidane. Duka jingine lipo mtaa wa Msimbazi kama umetokea kitou cha bakhresa naelekea klabu ya simba au msimbazi poloce, duka lipo karibu na Bank ya Diamond Trust upande wa kulia. Duka linaitwa kwa Nyange -zipo kila aina ya spea za subaru pale sema tu ni bei kidogo lakini ukifunga ni mkataba. sio kama za toyota.