Thanks brother![emoji3][emoji3]quality aspect is something else ....
Let's keep an eye on the basic purposes of mobile phones...
Mara nyingi Mungu akiwa hajabariki hela unaweza kujikuta mtu una room moja unajisifia maisha yanaenda poa na kwamba unaokoa pesa, Hahahha! Ngoja chambichambi iingie-unaweza Hama usiku ghafla manake unaweza kuona changamoto za ghafla Ambazo hukuwahi kuziona.
Hela inapoishia siku zote na akili zetu huishia hapo hapo